Kwani kuna aliye kubishia kuhusu hilo unalojuwa wewe na sisi sote?Mimi CCM nimeijua tangu 2016 kipindi cha mwendawazimu jiwe.
CCM walichofanya 2019 na 2020 ndicho kitakachofanywa 2024/2025
Ignition of turmoil, (kuwasha machafuko) ndicho CCM wanakitaka,Ni kweli tupu halafu unadhani kuna uchaguzi hapo zaidi ni uchafuzi
EEeeenHeEEEEE!Tena kama wewe ilitakiwa upigwe mpaka uchakae .Nitafurahi sana kuona na kusikia umepigwa vizuri mpaka akili ikukae sawa kichwani mwako.
Wala huwezi kuilaumu Chadema wala Uongozi kwenye hili. Hata wewe mwenyewe ukweli huo unaufahamu.Nafasi ya ukatibu mkuu kwa John Mnyika haimtoshi. Yuko soft sana.
Hata sasa hivi wakimtaka anapatikana tu pamoja na majina yake fake hayo.Kama unajiamini jitokeze hadharani kwa majina yako halisi na useme maneno yako haya halafu uone kitakachofuata.
Kwani huyu DC hana kwake, haiendi kanisani au msikitini. Kwanini aishi kwenye jamii kama hiyo mambo yawe powa tu. Kama ni mimi asingemaliza hata wikiKwamba wanasababisha fujo, ikumbukwe kwamba Wagombea wa uchaguzi wa serikali za Mitaa wa Chama hicho wapo kwenye ofisi za Halmashauri kusubiri hatima yao
Ngoja tusubiri namna watakavyopigwa kwa maelekezo ya Mtukufu DC
===============
"DC Ubungo, amewafungia ndani Wagombea wa serikali za mitaa wa Chadema na kuagiza wapigwe kwa madai ya kuleta fujo ofisi za halmashauri. Wagombea hao ambao walienguliwa, walikata rufaa, lakini wakaambiwa rufaa zao zimetupiliwa mbali bila maandishi. Leo wameenda ofisi za halmashauri ya Ubungo, ili kushinikiza wapewe barua zinazoonesha kwamba rufaa zao zimetupiliwa mbali.
Soma Pia:
"Lakini badala ya kupewa barua, wamefungiwa ndani ya ofisi hizo huku DC akidai kwenda kuleta polisi ili kuwatia adabu (kuwapiga na kuwaweka mahabusu). Hali ni kama inavyoonekana, milango imefungwa kwa nje na wagonbea wa Chadema wapo ndani!"
- Dodoma: Walioenguliwa CHADEMA wakosa tena sifa!
- CCM: TAMISEMI itambue demokrasia yetu ni changa, ipuuze makosa madogomadogo katika hatua ya rufaa uchaguzi Serikali za mitaa
- CHADEMA: Baada ya Waziri wa TAMISEMI kusema Wagombea walioenguliwa wakate rufaa, tumepokea taarifa ofisi za Mitaa, Vitongoji na Vijiji zimefungwa
Utakuwa mtoto siyo rizikicHADEMA HAINA NGUVU YA SASA HIVI INAONEWA HADI NA MKUU WA WILAYA NA MNYIKA YUPO TU
CCM wanachofanya ni uhujumu uchumu pekee, unaandaa uchaguzi kwa mabilioni ya fedha huku ukijua uchaguzi haupo, ni upumbavuIgnition of turmoil, (kuwasha machafuko) ndicho CCM wanakitaka,
Humu tuanaandika kila siku kuhusu uncertainty yaani ni nini kiini cha changamoto na jinsi ya kukabiliana nazo
You can not fool all people, all the time
Namshukuru Mungu kwa kuniwezesha kutimiza wajibu wangu
Siyo kwenye uchaguzi tu, CCM hupitisha sera ambazo hawajui madhara yake hapo baadae, (the aftermath of implemented policies)CCM wanachofanya ni uhujumu uchumu pekee, unaandaa uchaguzi kwa mabilioni ya fedha huku ukijua uchaguzi haupo, ni upumbavu
Lile ni kusanyiko la watu wapumbavu snSiyo kwenye uchaguzi tu, CCM hupitisha sera ambazo hawajui madhara yake hapo baadae, (the aftermath of implemented policies)
CCM= Bunge la CCM
Wanaahirisha kufikiri kizalendo a.k.a kujizima dataLile ni kusanyiko la watu wapumbavu sn
Binadamu akipata changamoto huamsha ubongo, anapoamsha ubongo kupata suluhisho hukutana na ubunifuni ambao wewe uliyemsabashia changamoto kwa akili zilezile zilizo tengeneza tatizo huwezi tena kukabiliana nayeEEeeenHeEEEEE!
Kuna siku mkuu 'Lucas', tena naona inakuja haraka kuliko ilivyo tegemewa! Endeleeni kuwachakaza hao jamaa hadi akili ziwaruke vichwani.
Sisi sote tutaungana nanyi katika furaha yenu, ingawaje tutakuwa na hofu kuu mioyoni mwetu.
Usikose kumhimiza mama aongeze nguvu kwenye eneo hilo linalo wapa nyinyi raha nyingi mioyoni mwenu.
Nilipo sema wewe ni mgonjwa kichwani, sikukosea hata mara moja, maana inazidi kuwa bayana kwamba wewe ni mgonjwa.
Wanawaza kuiba mali za umma pekeeWanaahirisha kufikiri kizalendo a.k.a kujizima data
Haiwezekani kwasasa kwa kizazi kilichopo madhara yake taifa litakuwa linaongozwa na wajinga/wapumbavu, vile vile watataka ufikiri wanavyotaka wao je wewe utakubali?, yaani kusafishwa ubongo, (brainwash)Vyama vingi nashauri visiwepo kibakie chama kimoja,
Ubaya wake chama kimoja baadae wakishindwana ndio mwanzo wa makundi ya waasi,
Kwa siasa za bongo,najuta kwann nilipoteza muda kujiandikisha kwakweli.
DC hana uwezo wa kufanya kiclichoandikwacHADEMA HAINA NGUVU YA SASA HIVI INAONEWA HADI NA MKUU WA WILAYA NA MNYIKA YUPO TU
Na tokea mwanzo tulisemaKosa kubwa sana walilolifanya CHADEMA ni kukubali kuingia kwenye huu uchafuzi.
Mkuu sijawahi kukujibu. Utanisamehe, ila nahisi huna akili timamu. Au unahusika na damu za watu. Hao wakifia humo ofisini kuna uchunguzi mtakaofanya zaidi ya kutunga. Kama unajidai una nguvu utapiganaje na mtu uliyemfunga mikono ? Mpe nafasi na vipaombele sawa halafu muingie uwanjani, na mtuletee matokeo.CHADEMA wazushi na waongo sana.Mmepoteza ushawishi kwa watanzania na kubakia watu wakutunga vihabari vya uongo na kizushi.
Viongozi wa Mozambique walikuwa na kiburi zaidi ya hao wa Tanzania uliza wanachopitia sasa hiviCHADEMA wazushi na waongo sana.Mmepoteza ushawishi kwa watanzania na kubakia watu wakutunga vihabari vya uongo na kizushi.