KERO Wananchi Kibangu mtaa wa Kajima jimbo la Ubungo hatuna maji mwezi wa tatu sasa

KERO Wananchi Kibangu mtaa wa Kajima jimbo la Ubungo hatuna maji mwezi wa tatu sasa

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Superleta

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2019
Posts
575
Reaction score
655
Ubungo kuna shida ya maji sio poa

Usijichanganye ukapanga Ubungo kibangu, kajima,makoka, Rivaside juu au Msewe, maeneo mengi ya Mbezi

Mfano Ubungo kibangu huwa ni kawaida ya watu kukaa miezi mitatu mpaka 6 bila maji

Maji yakitoka ni mara moja kwa mwezi tena yatoke hata lisaa hayamalizi.

Kuna mtaa unaitwa Kajima (Rivaside juu) huu mtaa ni balaa hamna siku imewahi kutokea maji yakakaa hata robo siku hali ni mbaya sana na huku hakuna visima, watu wamelalamika Dawasa na wameenda hadi dawasa lakini dawasa ni kama wamepuuza na kuwatelekeza wananchi

Tunaomba mtupazie sauti jamani, tunaomba jamiiforum mtupostie kero yetu hii kwenye page zenu za mitandao ya kijamii labda waziri atatusikiliza maana tumelalamika ngazi zote lakini hatujapata msaada wowote

Hizo sehemu hazifai

NIMEONA NIWEKE LINK YA DAWASA HAPA WANANCHI WANALALAMIKA WANAJIBIWA HOVYO TUNAOMBENI MSAADA HAPA JF[emoji1313]

 
Ubungo Kibangu mtaa wa Kajima kuna shida sugu ya maji, na Mbunge ni Profesa Kitila Mkumbo lakini hamna kitu ametusaidia

Suluhisho la maji alileta mradi wa matenkI yaani matenki yanajazwa maji kisha wananchi wanauziwa maji nayo ni kama yametelekezwa.

Ni mwezi wa tatu huu hatuna maji. Naombeni mtusaidie namba ya Waziri Aweso hali ni mbaya!!

Tuna miezi mitatu bila maji na wananchi wanateseka na huku hamna visima, imagine mateso wanayopitia wananchi.

Mwenye namba ya Waziri Aweso naomba please hali ni mbaya sana tushalalamika tumechoka DAWASA wametupuuza!!
 
Mfano Ubungo kibangu huwa ni kawaida ya watu kukaa miezi mitatu mpaka 6 bila maji

Maji yakitoka ni mara moja kwa mwezi tena yatoke hata lisaa hayamalizi.
 

Attachments

  • 593904-Ally-Carter-Quote-I-don-t-want-tea-I-want-justice.jpg
    593904-Ally-Carter-Quote-I-don-t-want-tea-I-want-justice.jpg
    1.2 MB · Views: 2
Na ni Dar es Salaam na Kuna bahari kubwa tu ya India, ni aibu Kwa chama tawala kuwa baada ya miaka 60 ya uhuru bado watu wanateseka na shida ya maji, uarabuni huko wanakoenda kuomba misaada na kuwapa bandari zetu wanaishi jangwani lakini hawana shida ya maji Kwa kuwa wanayafanyia desalination maji ya bahari na yanakuwa potable Kwa ajili ya kunyweka Kwann tusiombe huo utaalamu tukayafanyia desalination maji ya bahari ya Hindi yakawa potable Kwa ajili ya kunyweka na hivyo kupunguzia watu adhabu ya kukaa miezi mingi bila maji ambayo kimsingi ni muhimu Kwa maisha ya binadamu Kwa kweli ni aibu Kwa nchi iliyobarikiwa maziwa makubwa, mito, na bahari kuwa na shida ya maji, AIBU hii haipatikani popote duniani isipokuwa Tanzania tu
 
Ubungo kuna shida ya maji sio poa

Usijichanganye ukapanga Ubungo kibangu, kajima,makoka, Rivaside juu au Msewe, bonyokwa na maeneo mengi ya Mbezi

Mfano Ubungo kibangu huwa ni kawaida ya watu kukaa miezi mitatu mpaka 6 bila maji

Maji yakitoka ni mara moja kwa mwezi tena yatoke hata lisaa hayamalizi.

Hizo sehemu hazifai
Mbona unakuwa muongo mzee minipo kimara stopover maji mbona siyo shida kama unavyosema kukatika yanakatika ila siyo kama unavyosema et miezi mitatu kitu unachotakiwa kufanya ndo hata mimi nimefanya nimenunua simitank ya lita 2000 ndo nipo nayo ingawa nyumba ya kupanga najua nikimaliza ujenzi nikiamia kwangu ntaondoka nayo
 
Pole
Ubungo kuna shida ya maji sio poa

Usijichanganye ukapanga Ubungo kibangu, kajima,makoka, Rivaside juu au Msewe, bonyokwa na maeneo mengi ya Mbezi

Mfano Ubungo kibangu huwa ni kawaida ya watu kukaa miezi mitatu mpaka 6 bila maji

Maji yakitoka ni mara moja kwa mwezi tena yatoke hata lisaa hayamalizi.

Hizo sehemu hazifai
POle sana na nyie pia mnaishi maisha ya kupanga
 
Ubungo kuna shida ya maji sio poa

Usijichanganye ukapanga Ubungo kibangu, kajima,makoka, Rivaside juu au Msewe, bonyokwa na maeneo mengi ya Mbezi

Mfano Ubungo kibangu huwa ni kawaida ya watu kukaa miezi mitatu mpaka 6 bila maji

Maji yakitoka ni mara moja kwa mwezi tena yatoke hata lisaa hayamalizi.

Hizo sehemu hazifai
Shida ya maji maeneo ya Kibangu 1996- 2000 ilinifanya nichukie kibangu na jirani yake .. hata nilipoanza maisha sikufikiria kununua eneo kiwanja huko hata uchimbaji wa maji maeneo hayo sio mrahisi


Karibuni kigamboni..
 
Na ni Dar es Salaam na Kuna bahari kubwa tu ya India, ni aibu Kwa chama tawala kuwa baada ya miaka 60 ya uhuru bado watu wanateseka na shida ya maji, uarabuni huko wanakoenda kuomba misaada na kuwapa bandari zetu wanaishi jangwani lakini hawana shida ya maji Kwa kuwa wanayafanyia desalination maji ya bahari na yanakuwa potable Kwa ajili ya kunyweka Kwann tusiombe huo utaalamu tukayafanyia desalination maji ya bahari ya Hindi yakawa potable Kwa ajili ya kunyweka na hivyo kupunguzia watu adhabu ya kukaa miezi mingi bila maji ambayo kimsingi ni muhimu Kwa maisha ya binadamu Kwa kweli ni aibu Kwa nchi iliyobarikiwa maziwa makubwa, mito, na bahari kuwa na shida ya maji, AIBU hii haipatikani popote duniani isipokuwa Tanzania tu
Well said
 
Back
Top Bottom