aise
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 5,175
- 16,488
Mkuu chimba kisima uuze maji, kwenye tatizo ndio penye fursa.
Wachaga wazee wa fursa wangeshachukua hilo dili fasta, ukiona hivyo huenda maji yake yana chumvi sana au ni gharama sana kuyapata hayo maji, kuna sehemu nilienda Malamba mawili kuchimba kisima mpaka upate maji ni almost 8 milion, na hapo huenda ukapata ya chumvi.
Sasa shida yote ya nini.
Nilichoona kule mtu ananunua tenki kubwa anaagiza gari inaleta maji anawauzia watu.