KERO Wananchi Kibangu mtaa wa Kajima jimbo la Ubungo hatuna maji mwezi wa tatu sasa

KERO Wananchi Kibangu mtaa wa Kajima jimbo la Ubungo hatuna maji mwezi wa tatu sasa

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Mkuu chimba kisima uuze maji, kwenye tatizo ndio penye fursa.

Wachaga wazee wa fursa wangeshachukua hilo dili fasta, ukiona hivyo huenda maji yake yana chumvi sana au ni gharama sana kuyapata hayo maji, kuna sehemu nilienda Malamba mawili kuchimba kisima mpaka upate maji ni almost 8 milion, na hapo huenda ukapata ya chumvi.
Sasa shida yote ya nini.

Nilichoona kule mtu ananunua tenki kubwa anaagiza gari inaleta maji anawauzia watu.
 
Umeongea ukweli halisi, afu Mamlaka za Maji hazijari wala nn.
Mxxxxiiiiieeew.
 
Bonyokwa ipi? Halafu haipo Ubungo. Maji tunapata
 
Ubungo kuna shida ya maji sio poa

Usijichanganye ukapanga Ubungo kibangu, kajima,makoka, Rivaside juu au Msewe, bonyokwa na maeneo mengi ya Mbezi

Mfano Ubungo kibangu huwa ni kawaida ya watu kukaa miezi mitatu mpaka 6 bila maji

Maji yakitoka ni mara moja kwa mwezi tena yatoke hata lisaa hayamalizi.

Hizo sehemu hazifai

Toka lini umekuwa mshauri wa wapi watu waishi?acha watu waishi watakapo. Maji si issue hata kidogo.
 
Dar ni mji wa hovyo, tunaita jiji lakini haina hadhi hiyo;
1. Uhaba wa maji sehemu nyingi
2. Uchafu uliokithiri
3. Makazi holela sehemu nyingi.

I have never noticed tatizo la maji Dar es salaam , naongelea personal experience!
 
Ubungo kuna shida ya maji sio poa

Usijichanganye ukapanga Ubungo kibangu, kajima,makoka, Rivaside juu au Msewe, bonyokwa na maeneo mengi ya Mbezi

Mfano Ubungo kibangu huwa ni kawaida ya watu kukaa miezi mitatu mpaka 6 bila maji

Maji yakitoka ni mara moja kwa mwezi tena yatoke hata lisaa hayamalizi.

Kuna mtaa unaitwa Kajima (Rivaside juu) huu mtaa ni balaa hamna siku imewahi kutokea maji yakakaa hata robo siku hali ni mbaya sana na huku hakuna visima, watu wamelalamika Dawasa na wameenda hadi dawasa lakini dawasa ni kama wamepuuza na kuwatelekeza wananchi

Tunaomba mtupazie sauti jamani, tunaomba jamiiforum mtupostie kero yetu hii kwenye page zenu za mitandao ya kijamii labda waziri atatusikiliza maana tumelalamika ngazi zote lakini hatujapata msaada wowote

Hizo sehemu hazifai
Bado hujasema! Likizo hii nakuja hukohuko kibangu kuenjoy life
 
Ubungo kuna shida ya maji sio poa

Usijichanganye ukapanga Ubungo kibangu, kajima,makoka, Rivaside juu au Msewe, bonyokwa na maeneo mengi ya Mbezi

Mfano Ubungo kibangu huwa ni kawaida ya watu kukaa miezi mitatu mpaka 6 bila maji

Maji yakitoka ni mara moja kwa mwezi tena yatoke hata lisaa hayamalizi.

Kuna mtaa unaitwa Kajima (Rivaside juu) huu mtaa ni balaa hamna siku imewahi kutokea maji yakakaa hata robo siku hali ni mbaya sana na huku hakuna visima, watu wamelalamika Dawasa na wameenda hadi dawasa lakini dawasa ni kama wamepuuza na kuwatelekeza wananchi

Tunaomba mtupazie sauti jamani, tunaomba jamiiforum mtupostie kero yetu hii kwenye page zenu za mitandao ya kijamii labda waziri atatusikiliza maana tumelalamika ngazi zote lakini hatujapata msaada wowote

Hizo sehemu hazifai
Yule profesa tamaa mbele analifahamu hilo?
 
Maji yapo mto Ruvu, tatizo Serikali imeshindwa kutatua tatizo la miundombinu ya maji.
 
Juma Aweso yuko pale sababu ya vitu viwili tu sitavitaja ila kiukweli hamna kitu pale.
Ngoja nivitaje,ndumba na dini
 
Back
Top Bottom