Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida ya maji maeneo ya Kibangu 1996- 2000 ilinifanya nichukie kibangu na jirani yake .. hata nilipoanza maisha sikufikiria kununua eneo kiwanja huko hata uchimbaji wa maji maeneo hayo sio mrahisi
Karibuni kigamboni..
Watu wako busy kuliombea taifa huku wakiacha viongozi wanafanya wanavyotaka. Kuomba hakujawahi kulikomboa taifa lolote.Na ni Dar es Salaam na Kuna bahari kubwa tu ya India, ni aibu Kwa chama tawala kuwa baada ya miaka 60 ya uhuru bado watu wanateseka na shida ya maji, uarabuni huko wanakoenda kuomba misaada na kuwapa bandari zetu wanaishi jangwani lakini hawana shida ya maji Kwa kuwa wanayafanyia desalination maji ya bahari na yanakuwa potable Kwa ajili ya kunyweka Kwann tusiombe huo utaalamu tukayafanyia desalination maji ya bahari ya Hindi yakawa potable Kwa ajili ya kunyweka na hivyo kupunguzia watu adhabu ya kukaa miezi mingi bila maji ambayo kimsingi ni muhimu Kwa maisha ya binadamu Kwa kweli ni aibu Kwa nchi iliyobarikiwa maziwa makubwa, mito, na bahari kuwa na shida ya maji, AIBU hii haipatikani popote duniani isipokuwa Tanzania tu
Bonyokwa ya Tabata maji yapo. Huku hatutaki mchezo, yakikosekana tu wiki dawasa wanakipata . Kuna group la dawasa lakujadili masuala ya maji, so tatizo lolote linashughulikiwa. Tena yanatoka na pressure kubwa hadi yanapasua mabomba.Bonyokwa ipi? Halafu haipo Ubungo. Maji tunapata
Mbaya zaidi hata hao wanaoliombea taifa ni MACHAWA wa Rais na Chama chakeWatu wako busy kuliombea taifa huku wakiacha viongozi wanafanya wanavyotaka. Kuomba hakujawahi kulikomboa taifa lolote.
Hili hili linatosha kuwawajibisha viongozi. Sema nini wao wameshiba, tumewaajiri wameshindwa kazi basi tuwatoe tuwaajiri wengine, yaani bana hii sema watu ni waoga mno, yaani mtu umemuajiri wewe unashangaa Tena unaanza kumuogopa tena