Samson Ernest
JF-Expert Member
- Aug 28, 2014
- 557
- 858
Poleni sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikia umepita UDSM, hapo chini ndiyo nini??hazijari wala nn.
Mxxxxiiiiieeew.
Ubungo Kibangu mtaa wa Kajima kuna shida sugu ya maji, na Mbunge ni Profesa kitila mkumbo lakini hamna kitu ametusaidia
Suluhisho la maji alileta mradi wa matenk yaani matenki yanajazwa maji kisha wananchi wanauziwa maji nayo ni kama yametelekezwa.
Ni mwezi wa tatu huu hatuna maji naombeni mtusaidie namba ya Waziri Aweso hali ni mbaya!!
Tuna miezi mitatu bila maji na wananchi wanateseka na huku hamna visima, imagine mateso wanayopitia wananchi.
Mwenye namba ya waziri aweso naomba please hali ni mbaya sana tushalalamika tumechoka dawasa wametupuuza!!
Ndio inawezekana akihama anahama nacho, kuna wataalamu wakuhamisha wapoAmepanga hafu achimbe kisima
Nijibu kuhusu UDSM, Au hapo chini??Nasikia umepita UDSM, hapo chini ndiyo nini??
Naisi yupo bado mkoani anafanya kuahadisiwaKuhusu bonyokwa nadhani umekosea kuandika ni uwongo
Umeishia darasa la ngapi wewe?Mbona unakuwa muongo mzee minipo kimara stopover maji mbona siyo shida kama unavyosema kukatika yanakatika ila siyo kama unavyosema et miezi mitatu kitu unachotakiwa kufanya ndo hata mimi nimefanya nimenunua simitank ya lita 2000 ndo nipo nayo ingawa nyumba ya kupanga najua nikimaliza ujenzi nikiamia kwangu ntaondoka nayo
Mkuu kwa hiyo tuki waletea kwa 1500, wateja ni wengi mno?Dumu ni hadi 2000 kwa sasa
Pole sana mkuu najaribu kuwaza mkijisaidia mnachambia nini!??Ubungo kuna shida ya maji sio poa
Usijichanganye ukapanga Ubungo kibangu, kajima,makoka, Rivaside juu au Msewe, maeneo mengi ya Mbezi
Mfano Ubungo kibangu huwa ni kawaida ya watu kukaa miezi mitatu mpaka 6 bila maji
Maji yakitoka ni mara moja kwa mwezi tena yatoke hata lisaa hayamalizi.
Kuna mtaa unaitwa Kajima (Rivaside juu) huu mtaa ni balaa hamna siku imewahi kutokea maji yakakaa hata robo siku hali ni mbaya sana na huku hakuna visima, watu wamelalamika Dawasa na wameenda hadi dawasa lakini dawasa ni kama wamepuuza na kuwatelekeza wananchi
Tunaomba mtupazie sauti jamani, tunaomba jamiiforum mtupostie kero yetu hii kwenye page zenu za mitandao ya kijamii labda waziri atatusikiliza maana tumelalamika ngazi zote lakini hatujapata msaada wowote
Hizo sehemu hazifai