Ubungo mataa: Trafiki agongwa na pikipiki akikimbilia kusimamisha lori

Ubungo mataa: Trafiki agongwa na pikipiki akikimbilia kusimamisha lori

Kuna tatizo lingine kubwa, Nathan Hili linamhusu Mheshimiwa mkuu wa Mkoa kwa Msaada, eneo LA gerezani, Kuna genge LA watu wanne na wanatembea na Bajaji na reflector Nyekundu!! Ila najua kuna taasisi imewatuma!! Eneo limevurugwa sana na biashara na hakuna parking!! Wameandaa maeneo kama sita (6) hapa Kariakoo Gerezani na kuchapisha vibao "taxii" parking na kukaa pembeni, Ukijikuta umeona ni kama parking ukikaribia kupark wanakuja na kukutisha na kukufungia gari na kudai Rushwa!! Jamani Tumefikaje hapa kuwaajiri hawa Majizi!? Ni rahisi kwenda pale na kuwakuta hawana hata tone LA aibu!! Mheshimiwa Makala (Mkuu wa mkoa) tuokoe na matapeli hawa wanatuharibia nchi!! Karibia na Shule ya Kisarawe maeneo hayo na wapo matapeli wanne!! Wanadai rushwa bila aibu
Dawa ni kuwa na mguu wa kuku tu na kuchapa matako yao haraka! Waambie atakaefunga ni atakula shaba tu
 
Yana roho mbaya sana haya majitu

Na ndo maana hayajawahi kutusua life, wengi wamejaaa wivu, roho mbaya na msongo wa mawazo...

Nina kisasi nao cha kulipa fain ya kupakaziana, so kishandu kanisuuza nafsi

30 tu imekufanya ujae moto hivi???

kumbe nawewe hujatusua basi.
 
Traffic wameacha kazi ya kuangalia usalama barabarani na kujiingiza katika kupokea rushwa kutoka kwa magari ya mizigo na abiria. Sijawahi kusikia takukuru imemkamata traffic!

takukuru ihangaike na watu ambao mnawapa wenyewe hela!!!

kama mna uchungu daini risiti,huo ndio usafi wa mwili na roho.
 
jamaa aliwekewa barrier mikese,tajiri akapigiwa simu,watalii wakawahishwa airport na mtu mwingine ila jamaa alibawekwa ndani kwanza,ila kwenye kesi baadaye jamaa alikuja kushinda

lakini mahabusu alikaa kwa upumbavu wake.
 
Kuna tatizo lingine kubwa, Nathan Hili linamhusu Mheshimiwa mkuu wa Mkoa kwa Msaada, eneo LA gerezani, Kuna genge LA watu wanne na wanatembea na Bajaji na reflector Nyekundu!! Ila najua kuna taasisi imewatuma!! Eneo limevurugwa sana na biashara na hakuna parking!! Wameandaa maeneo kama sita (6) hapa Kariakoo Gerezani na kuchapisha vibao "taxii" parking na kukaa pembeni, Ukijikuta umeona ni kama parking ukikaribia kupark wanakuja na kukutisha na kukufungia gari na kudai Rushwa!! Jamani Tumefikaje hapa kuwaajiri hawa Majizi!? Ni rahisi kwenda pale na kuwakuta hawana hata tone LA aibu!! Mheshimiwa Makala (Mkuu wa mkoa) tuokoe na matapeli hawa wanatuharibia nchi!! Karibia na Shule ya Kisarawe maeneo hayo na wapo matapeli wanne!! Wanadai rushwa bila aibu

Mambo ya CCM hayo
 
Kumbuka huyo askari ana mke na watoto, hatujafika huko kuombeana mabaya, Yesu alitupenda kama jinsi tulivyo, Mungu angeangalia maovu Yetu hakika hamna ambaye Angepona, tuombeana badala ya kuchukiana.
Mbona wao hawatupendi?? Wao wanapenda pesa zaidi kuliko binadamu mwenzie.
 
wale boda boda wanaoning’iniza visendo alafu wana virasta kati kati uku pembeni wamenyoa ni hatari sana,,,! honi ndo breki
 
Ni kwelo Ila hao watu ukiingia kwenye 18 zao hawana huruma kabisa

Kuna siku nilikamatwa kiuonevu kabisa tena wakanitishia kunibadilishia kesi.

Sikuvuka taa ikiwa nyekundu Ila wakasema nimevuka taa ikiwa nyekundu, nilipatwa na hasira nisijue Cha kufanya
Hivyo kwa uchungu sana nasema simuonei huruma traffic yoyote yule
Mkuu hata huyu aliepitiwa kishandu?
 
Kumbuka huyo askari ana mke na watoto, hatujafika huko kuombeana mabaya, Yesu alitupenda kama jinsi tulivyo, Mungu angeangalia maovu Yetu hakika hamna ambaye Angepona, tuombeana badala ya kuchukiana.
Yesu? Hapa Yerusalem. Wao mbona hawatupendi?
Mimi polisi wote siwapendi. Nina uncle wangu yuko pale O bay station huwa moyoni simpendi japo ndugu yangu. Polisi wangese sana.
 
Back
Top Bottom