Ubungo mataa: Trafiki agongwa na pikipiki akikimbilia kusimamisha lori

Ubungo mataa: Trafiki agongwa na pikipiki akikimbilia kusimamisha lori

Kwa kawaida ukiona mtu anafurahia mabaya yamkute mwingine,ana ushetani mwingi sana chini ya moyo wake umejaa.

Binaadam msafi wa moyo haijalishi kaumizwaje,ila mbaya wake yakimfika ya kuliza naye hulia pia.

Nakubali mkuu nikikumbuka jiwe alivyokua anafurahia mateso kwa wengine.
 
Kuna moja kamsimamisha jamaa,jamaa akamwambia nawahi ndege airport kama kuniandikia niandikie niache ,trafiki kagoma kaa mbele ya gari hataki kutoka ,jamaa akamwambia trafik toka nitakugonga ,trafiki akajibu ,gonga tuone ,jamaa akapita naye trafiki amekaa kwenye bonet ya cruiser jamaa akatembea naye Kama movie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]hii ndio Bongo nyoso
 
Kazi wanafanya ila baadhi wanaoenea kama huyo trafic madereva wengi hawampendi nasikia hana huruma kabisa
Yana roho mbaya sana haya majitu

Na ndo maana hayajawahi kutusua life, wengi wamejaaa wivu, roho mbaya na msongo wa mawazo...

Nina kisasi nao cha kulipa fain ya kupakaziana, so kishandu kanisuuza nafsi
 
Ukiona hivyo huyo trafic police arobaini zake zimetimia, kwa uonevu aliozoea kuufanya.
Nakubaliana na wewe mkuu[emoji848][emoji848]

Na asipokufa akatoe sadaka na aache uonevu kwa binadamu wenzake!

Yaan yanajionaga yako juu ya sheria
 
Yana roho mbaya sana haya majitu

Na ndo maana hayajawahi kutusua life, wengi wamejaaa wivu, roho mbaya na msongo wa mawazo...

Nina kisasi nao cha kulipa fine ya kupakaziana, so kishandu kanisuuza nafsi
Duu pole sana
 
Back
Top Bottom