Ubungo mataa: Trafiki agongwa na pikipiki akikimbilia kusimamisha lori

Ubungo mataa: Trafiki agongwa na pikipiki akikimbilia kusimamisha lori

Ni tukio la Kusikitisha ila linachekesha sana na nimejikuta ninacheka mno hasa uliposema baada ya Kugongwa huko na Pikipiki akaamka na kusimamisha Lori.
Hujaisoma vizuri bosi
 
Hata wale waliopigwa risasi kule Pemba Oktoba 2021 walikuwa binadamu wenye familia. Hata akina Maalim, Jusa, Mazrui wana familia zao pia...
Kumbuka huyo askari ana mke na watoto, hatujafika huko kuombeana mabaya, Yesu alitupenda kama jinsi tulivyo, Mungu angeangalia maovu Yetu hakika hamna ambaye Angepona, tuombeana badala ya kuchukiana
 
Kumbuka huyo askari ana mke na watoto, hatujafika huko kuombeana mabaya, Yesu alitupenda kama jinsi tulivyo, Mungu angeangalia maovu Yetu hakika hamna ambaye Angepona, tuombeana badala ya kuchukiana
Kwani hao wanaobambikiwa kesi na kufungwa kila siku na hao hao askari hawana familia?!!unao sikia baadhi yao wameuawa eti walikuwa majambazi wanalushiana risasi na polisi hawana familia?ACHA UNAFIKI!!
 
Njia ya goba mbezi na mbezi kinyerezi kuna dada m1trafiki bonge sura ngumu yan huyo ni rushwa tu!
 
Kuna moja kamsimamisha jamaa,jamaa akamwambia nawahi ndege airport kama kuniandikia niandikie niache ,trafiki kagoma kaa mbele ya gari hataki kutoka ,jamaa akamwambia trafik toka nitakugonga ,trafiki akajibu ,gonga tuone ,jamaa akapita naye trafiki amekaa kwenye bonet ya cruiser jamaa akatembea naye Kama movie
Hasira hasara. Kama ni kweli hiyo ndege hakuipanda!
 
Lakini tuwe wakweli jamani. Waswahili bila kubanwabanwa wanajisahau sana.
Bila hivyo, itakuwa shida sana barabarani!
Mtu anaendesha gari usiku akimulikiwa na tochi, huku yuko chakali!
 
Iendeshwe oparesheni angalau mara mbili kwa mwaka kuvikamata hivi vipikipiki .unakuta pkpkkp mbovu sana.kelele,mpira kipara,haina site mirroow na dereva sio timamu.

Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
 
Kuna moja kamsimamisha jamaa,jamaa akamwambia nawahi ndege airport kama kuniandikia niandikie niache ,trafiki kagoma kaa mbele ya gari hataki kutoka ,jamaa akamwambia trafik toka nitakugonga ,trafiki akajibu ,gonga tuone ,jamaa akapita naye trafiki amekaa kwenye bonet ya cruiser jamaa akatembea naye Kama movie
[emoji3][emoji3][emoji3] alimfikisha mpaka wapi !
 
Hasira hasara. Kama ni kweli hiyo ndege hakuipanda!
jamaa aliwekewa barrier mikese,tajiri akapigiwa simu,watalii wakawahishwa airport na mtu mwingine ila jamaa alibawekwa ndani kwanza,ila kwenye kesi baadaye jamaa alikuja kushinda
 
Kumbuka huyo askari ana mke na watoto, hatujafika huko kuombeana mabaya, Yesu alitupenda kama jinsi tulivyo, Mungu angeangalia maovu Yetu hakika hamna ambaye Angepona, tuombeana badala ya kuchukiana

Mbowe hana mke na watoto?
 
Back
Top Bottom