T11
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 5,101
- 4,560
Hujaisoma vizuri bosiNi tukio la Kusikitisha ila linachekesha sana na nimejikuta ninacheka mno hasa uliposema baada ya Kugongwa huko na Pikipiki akaamka na kusimamisha Lori.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujaisoma vizuri bosiNi tukio la Kusikitisha ila linachekesha sana na nimejikuta ninacheka mno hasa uliposema baada ya Kugongwa huko na Pikipiki akaamka na kusimamisha Lori.
Kumbuka huyo askari ana mke na watoto, hatujafika huko kuombeana mabaya, Yesu alitupenda kama jinsi tulivyo, Mungu angeangalia maovu Yetu hakika hamna ambaye Angepona, tuombeana badala ya kuchukiana
Tofautisha kazi zao, na majukumu yao kwa mujibu wa sheria!!hakuna mtu unayejielewa ukamchukia mtu pale anapotimiza majukumu yake kwa mujibu wa sheria.Wasipofanya Kazi zao mnalalamika pia
Kwani hao wanaobambikiwa kesi na kufungwa kila siku na hao hao askari hawana familia?!!unao sikia baadhi yao wameuawa eti walikuwa majambazi wanalushiana risasi na polisi hawana familia?ACHA UNAFIKI!!Kumbuka huyo askari ana mke na watoto, hatujafika huko kuombeana mabaya, Yesu alitupenda kama jinsi tulivyo, Mungu angeangalia maovu Yetu hakika hamna ambaye Angepona, tuombeana badala ya kuchukiana
Daa! Mkuu, naona unawafahamu vilivyo!!Kiduku na ndala anavaa kama zinataka kuanguka na pikipiki anakalia upande hanyooki kama wengine
Hasira hasara. Kama ni kweli hiyo ndege hakuipanda!Kuna moja kamsimamisha jamaa,jamaa akamwambia nawahi ndege airport kama kuniandikia niandikie niache ,trafiki kagoma kaa mbele ya gari hataki kutoka ,jamaa akamwambia trafik toka nitakugonga ,trafiki akajibu ,gonga tuone ,jamaa akapita naye trafiki amekaa kwenye bonet ya cruiser jamaa akatembea naye Kama movie
Na usikute hivi tunavyoongea ameishajichimbia machimboni Mererani!Yani bora jamaa kama aliosha tu sababu angesema asimame aangalie kilichotokea kesi ambayo wangempa ingekuwa balaa!
Lazma ujichimbieNa usikute hivi tunavyoongea ameishajichimbia machimboni Mererani!
[emoji3][emoji3][emoji3] alimfikisha mpaka wapi !Kuna moja kamsimamisha jamaa,jamaa akamwambia nawahi ndege airport kama kuniandikia niandikie niache ,trafiki kagoma kaa mbele ya gari hataki kutoka ,jamaa akamwambia trafik toka nitakugonga ,trafiki akajibu ,gonga tuone ,jamaa akapita naye trafiki amekaa kwenye bonet ya cruiser jamaa akatembea naye Kama movie
Daa masikini jamani sasa ndiyo kutafuta sifa tena zakijingayeah mkuu,alikuwa na watalii toka Mikumi ,na ametoka mikumi anawawahisha ndege ya jioni
Kwahiyo wewe hulishafika October 2021?Hata wale waliopigwa risasi kule Pemba Oktoba 2021 walikuwa binadamu wenye familia. Hata akina Maalim, Jusa, Mazrui wana familia zao pia...
Kwahiyo wewe hulishafika October 2021?
jamaa aliwekewa barrier mikese,tajiri akapigiwa simu,watalii wakawahishwa airport na mtu mwingine ila jamaa alibawekwa ndani kwanza,ila kwenye kesi baadaye jamaa alikuja kushindaHasira hasara. Kama ni kweli hiyo ndege hakuipanda!
Afadhali nmekuona! Naomba km unaweza nitag ule uzi wa Bongoman unahusu safari za Congo na yule mwenzie Rama ..Mwendo wa ngiri 😁
Kumbuka huyo askari ana mke na watoto, hatujafika huko kuombeana mabaya, Yesu alitupenda kama jinsi tulivyo, Mungu angeangalia maovu Yetu hakika hamna ambaye Angepona, tuombeana badala ya kuchukiana