Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
mkuu hapo unashindwa nini kuelewa ,wageni wametoka mbugani mikumi wanawahishwa Dar airport warudi kwaoNdege ilikuwa ya kwenda Morogoro?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu hapo unashindwa nini kuelewa ,wageni wametoka mbugani mikumi wanawahishwa Dar airport warudi kwaoNdege ilikuwa ya kwenda Morogoro?
Boda boda wana bifu mpaka na watoto wa shule.sembuse traffic!!!Hawa watu ni shida sana, wanatakiwa kujirekebisha mana wameshaweka uadui kati yao na watu wanaomiliki vitu vya moto
Yani bora jamaa kama aliosha tu sababu angesema asimame aangalie kilichotokea kesi ambayo wangempa ingekuwa balaa!Hapo Ubungo pembeni huwa kuna difenda za polisi zimepaki hawakufanya lolote?
Kwao Ni Morogoro?mkuu hapo unashindwa nini kuelewa ,wageni wametoka mbugani mikumi wanawahishwa Dar airport warudi kwao
Kwa kawaida ukiona mtu anafurahia mabaya yamkute mwingine,ana ushetani mwingi sana chini ya moyo wake umejaa.Kumbuka huyo askari ana mke na watoto, hatujafika huko kuombeana mabaya, Yesu alitupenda kama jinsi tulivyo, Mungu angeangalia maovu Yetu hakika hamna ambaye Angepona, tuombeana badala ya kuchukiana
Badala ya kuwahi wito,unaweza wahishwa peponi[emoji85][emoji85][emoji85][emoji23][emoji23]ukitaka kuwahi sehemu wachukue wale
Then kesho yake anakuja traffic mwingine hapo,kazi inaendelea.Hapendwi kila mtu anafurahi kilichompata
Hukuvuka taa nyekundu na ukabambikiwa kesi,mara ngapi hili limekupata mpaka useme hutasamehe traffic yeyote??Ni kwelo Ila hao watu ukiingia kwenye 18 zao hawana huruma kabisa
Kuna siku nilikamatwa kiuonevu kabisa tena wakanitishia kunibadilishia kesi.
Sikuvuka taa ikiwa nyekundu Ila wakasema nimevuka taa ikiwa nyekundu, nilipatwa na hasira nisijue Cha kufanya
Hivyo kwa uchungu sana nasema simuonei huruma traffic yoyote yule
Halafu jamaa alipaa na ndege au[emoji16][emoji16][emoji16]Kuna moja kamsimamisha jamaa,jamaa akamwambia nawahi ndege airport kama kuniandikia niandikie niache ,trafiki kagoma kaa mbele ya gari hataki kutoka ,jamaa akamwambia trafik toka nitakugonga ,trafiki akajibu ,gonga tuone ,jamaa akapita naye trafiki amekaa kwenye bonet ya cruiser jamaa akatembea naye Kama movie
Hakuna watu wanaojiona wamefanikiwa mno kama wale ambao wanaokaa kwenye daladala seat ya mbele.Then kesho yake anakuja traffic mwingine hapo,kazi inaendelea.
Umasikini unaharibu akili,hata ukijikwa utahisi jiwe linakusababishia njaa,wakati hauko makini kutembea.
Wasipofanya Kazi zao mnalalamika pia
🤔 Hyaani hata Mimi nawashangaa Sana Hawa traffic, ile ni high way lakini wamo tu, na hakuna wa kuwakemea ,🙄Jamaa wanapiga mkono hadi kwenye hiyo highway ya Kimara <> Kibaha...
Angepewa kesi kubwa na kipondo cha hali ya juuYani bora jamaa kama aliosha tu sababu angesema asimame aangalie kilichotokea kesi ambayo wangempa ingekuwa balaa!
😂😂😂😂😂😂 hata mi ningeflash tu yani naongeza na giaAngepewa kesi kubwa na kipondo cha hali ya juu
🤔 Hyaani hata Mimi nawashangaa Sana Hawa traffic, ile ni high way lakini wamo tu, na hakuna wa kuwakemea ,🙄
Hakuna watu wanaojiona wamefanikiwa mno kama wale ambao wanaokaa kwenye daladala seat ya mbele.
Bilashaka mkuu utakua ni mpanda daladala tena unapendaga kukaa Ile seat pale.
Hizi comment zako zinaonesha wewe ni wakupanda daladala, sometimes Bora ukae kimya tu Maana kidogo nitoe tusi.
Ungekua karibu hapa ningekupa konzi la utosi.
Hii ndio jf mkuu😂😂😂Yani jamaa alikuwa anatoka moro kuja dar kuwahi ndege?
Ni tukio la Kusikitisha ila linachekesha sana na nimejikuta ninacheka mno hasa uliposema baada ya Kugongwa huko na Pikipiki akaamka na kusimamisha Lori.Katika tukio la kustaajabisha na kushangaza hadi kuacha watu midomo wazi askari wa usalama barabarani aliekuwa kasimana mita chache kutoka mataa Ubungo kama unaelekea barabara ya Mandela (geti la kwanza la kushoto songas) askari ambae alikuwa kasimama hapo akiongea na dereva wa kirikuu alichokamata ameingia barabarani ghafla ili kuwahi kusimamisha lori lilokuwa linapita ndipo alipopata makasa huu pale alipokutana na pikipiki ilokuwa speed maarufu kama kishandu).
Tukio lenyewe ni kuwa huyu trafic alikuwa kashakamata kirikuu kikapaki pembeni kushoto.wakati wanadadiliana na dereva wa kirikuu mara likatoka lori ambalo limetokea mataa linaelekea buguruni,ndipo huyo trafic akakatuza mbele ya kirikuu ghafla kuwahi barabarani ili asimamishe lori kumbe kuna pikipiki ilikuwa speed inapita kushoto mwa hili lori ndik ikamvaa hugo askari hadi kumtupa pembeni na kumburuza.
Kwa ile hali niliyoona kama shughuda yuke askari kaumia sana tena sana maana alikuwa chini haongei wala hajigusi.
Nukuu ya mashuhuda:
Wacha afee wamezoea kula hela yetu hawa, msimguse mwacheni afe.mwisho:kwa ile kauli niliyosikia pale hata sikuangaika kutoa msaada wala kuhangaika kupiga piga.
My take; Polisi jirekebisheni kaeni vizuri na raia wameshawachoka mambo mnayowafanyia. Poleni sana .