wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Kwa kawaida ukiona mtu anafurahia mabaya yamkute mwingine,ana ushetani mwingi sana chini ya moyo wake umejaa.
Binaadam msafi wa moyo haijalishi kaumizwaje,ila mbaya wake yakimfika ya kuliza naye hulia pia.
Nakubali mkuu nikikumbuka jiwe alivyokua anafurahia mateso kwa wengine.