Ubungo: Shule ya Msingi Upendo Kuna Mwalimu ana Master's Degree anafundisha darasa la kwanza

Ubungo: Shule ya Msingi Upendo Kuna Mwalimu ana Master's Degree anafundisha darasa la kwanza

Hiyo ni kawaida kabisa ukizingatia na ubora wa elimu ya Tanzania. Kuwa na maste degree ya bongo haimaanishi hutakiwi kufundisha madarasa ya awali.kwahiyo wewe ukitaka wenye elimu mbovumbovu au ndogo ndiyo watufundishie watoto wetu?hata ulaya walimu wa masters Hadi PhD hufundisha darasa la kwanza lakini malipo tu ndiyo yanakuwa makubwa.
Point yake ni hio, anataka wafundishwe na walimu vimeo kuendeleza kizazi ya wajinga katika hili taifa
 
Kwenye internal schools ambazo ni chache sana Tanzania hao ni wasaidizi wa walimu. Primary ndo panahitajika walimu kama hao hili wajenge msingi bora kwa watoto wetu. Kinachotakiwa alipwe mshahara unaoendeana na elimu yake.
 
Nianze kwa kukuuliza hao uliotajiwa ni degree na master za miaka ipi rafiki ?

Kama ni za miaka kuanzia 2010 muache mwalimu mkuu atafute wenye ahueni ,aisee Kuna watu Wana sijui degree sijui master ni wajinga hata kusema umpe cheo tumbo linatetemeka .

Siku hizi wenye elimu kubwa ndiyo majinga majinga tu ni Bora mwanao kutundishwa na mwalimu wa certificate kuliko kijeba chenye degree muda wote kiko Instagram na telegram kucheki connection
 
Leo nilibahatika kutembelea shule ya msingi Upendo iliyoko katika manispaa ya Ubungo, jijini Dar es salaam.

Nilikutana na class mate wangu ambaye kwa Sasa ni mwalimu pale Upendo. Huyu mshkaji mwanzoni alikua ni mwalimu katika shule ya sekondari lkn kwasasa anafundisha shule ya msingi, hili Jambo lilinishangaza kidogo lakini class mate akanihakikishia kwamba sio yeye peke yake wapo wengi pale.

Kilichonishangaza zaidi ni pale aliponiambia kwamba, pale Upendo Kuna mwalimu ana master's degree anafundisha darasa la kwanza.

MWALIMU MWENYE MASTER'S DEGREE anafundisha darasa la kwanza (std one). Hakuishia hapo, akaniambia Kuna mwalimu ana degree moja anafundisha MEMKWA. wakati naendelea kushangaa akanimaliza kabisa aliposema, mwalimu mkuu anachukua untrained teachers (vijana wa mtaani) kuja kufundisha darasa la Saba.

This is abuse of power and misallocation of scarce resources.

Sijui kama ndio sera za manispaa ya Ubungo.

Taifa linasomesha watu halafu tunawapanga kufundisha MEMKWA, kwa nini wale washkaji za mwalimu mkuu ambao Ni untrained wasifundishe MEMKWA?

I rest my case.
Mm nilishakuta PHD na ni teacher wa primary..
 
Haina shida,inatakiwa aitumie hyo masters yake kuwafanya hao wajukuu wetu wamaste mfumo mzima wa uelewa wao
 
Leo nilibahatika kutembelea shule ya msingi Upendo iliyoko katika manispaa ya Ubungo, jijini Dar es salaam.

Nilikutana na class mate wangu ambaye kwa Sasa ni mwalimu pale Upendo. Huyu mshkaji mwanzoni alikua ni mwalimu katika shule ya sekondari lkn kwasasa anafundisha shule ya msingi, hili Jambo lilinishangaza kidogo lakini class mate akanihakikishia kwamba sio yeye peke yake wapo wengi pale.

Kilichonishangaza zaidi ni pale aliponiambia kwamba, pale Upendo Kuna mwalimu ana master's degree anafundisha darasa la kwanza.

MWALIMU MWENYE MASTER'S DEGREE anafundisha darasa la kwanza (std one). Hakuishia hapo, akaniambia Kuna mwalimu ana degree moja anafundisha MEMKWA. wakati naendelea kushangaa akanimaliza kabisa aliposema, mwalimu mkuu anachukua untrained teachers (vijana wa mtaani) kuja kufundisha darasa la Saba.

This is abuse of power and misallocation of scarce resources.

Sijui kama ndio sera za manispaa ya Ubungo.

Taifa linasomesha watu halafu tunawapanga kufundisha MEMKWA, kwa nini wale washkaji za mwalimu mkuu ambao Ni untrained wasifundishe MEMKWA?

I rest my case.
Masters degree kufundisha std 1 nimeipenda 🤣🤣🤣
 
Kama hapati mshahara labda ila kama anapokea mashahara we unaona shida gani?


Kada ya elimu inauhaba wa waliku 12000 tu sec 2000 primary 9000
Na mtaani wako walimu hawajaajiliwa zaid ya 20,000 elfu ajabu mwaka huu kuna vijana wataenda kusoma ualimu
 
Leo nilibahatika kutembelea shule ya msingi Upendo iliyoko katika manispaa ya Ubungo, jijini Dar es salaam.

Nilikutana na class mate wangu ambaye kwa Sasa ni mwalimu pale Upendo. Huyu mshkaji mwanzoni alikua ni mwalimu katika shule ya sekondari lkn kwasasa anafundisha shule ya msingi, hili Jambo lilinishangaza kidogo lakini class mate akanihakikishia kwamba sio yeye peke yake wapo wengi pale.

Kilichonishangaza zaidi ni pale aliponiambia kwamba, pale Upendo Kuna mwalimu ana master's degree anafundisha darasa la kwanza.

MWALIMU MWENYE MASTER'S DEGREE anafundisha darasa la kwanza (std one). Hakuishia hapo, akaniambia Kuna mwalimu ana degree moja anafundisha MEMKWA. wakati naendelea kushangaa akanimaliza kabisa aliposema, mwalimu mkuu anachukua untrained teachers (vijana wa mtaani) kuja kufundisha darasa la Saba.

This is abuse of power and misallocation of scarce resources.

Sijui kama ndio sera za manispaa ya Ubungo.

Taifa linasomesha watu halafu tunawapanga kufundisha MEMKWA, kwa nini wale washkaji za mwalimu mkuu ambao Ni untrained wasifundishe MEMKWA?

I rest my case.
Hili halijakaa sawa kabisa, kiutawala hata kiutumishi, either mwalim mkuu ana shida au kuna figisi? Afisa elimu anataarifa? Mkurugenzi ana taarifa?
 
Shida ni huyo mwalimu,kama mhusika hajielewi,sisi tutamsaidiaje?
 
Ubungo hata Afya kuna Vimeo. Hizo miss allocation zipo nyingi tu.
Na kuna masoko makubwa, kuna biashara kede.
Na ndo lango la kuingia katikati ya mji linakua na mishkeli namna hiyo, aibu hii.
 
Leo nilibahatika kutembelea shule ya msingi Upendo iliyoko katika manispaa ya Ubungo, jijini Dar es salaam.

Nilikutana na class mate wangu ambaye kwa Sasa ni mwalimu pale Upendo. Huyu mshkaji mwanzoni alikua ni mwalimu katika shule ya sekondari lkn kwasasa anafundisha shule ya msingi, hili Jambo lilinishangaza kidogo lakini class mate akanihakikishia kwamba sio yeye peke yake wapo wengi pale.

Kilichonishangaza zaidi ni pale aliponiambia kwamba, pale Upendo Kuna mwalimu ana master's degree anafundisha darasa la kwanza.

MWALIMU MWENYE MASTER'S DEGREE anafundisha darasa la kwanza (std one). Hakuishia hapo, akaniambia Kuna mwalimu ana degree moja anafundisha MEMKWA. wakati naendelea kushangaa akanimaliza kabisa aliposema, mwalimu mkuu anachukua untrained teachers (vijana wa mtaani) kuja kufundisha darasa la Saba.

This is abuse of power and misallocation of scarce resources.

Sijui kama ndio sera za manispaa ya Ubungo.

Taifa linasomesha watu halafu tunawapanga kufundisha MEMKWA, kwa nini wale washkaji za mwalimu mkuu ambao Ni untrained wasifundishe MEMKWA?

I rest my case.
ualimu ni wito,
unaweza kufundisha ngazi yoyote ile licha ya level au kiwango cha elimu uliyonayo ilimradi tu una taaluma husika 🐒
 
ualimu ni wito,
unaweza kufundisha ngazi yoyote ile licha ya level au kiwango cha elimu uliyonayo ilimradi tu una taaluma husika 🐒
Kwanini tusiwatumie wa cheti kufundisha MEMKWA ili huyu wa degree tumtumie kwenye secondary.
Sasa hivi walimu wa shule za msingi wanakwenda kusahihisha mtihani wa form four na form six, kwani wale wanaofundisha form six Wana dhambi gani.
Why can't everybody stick to his/her lane?
 
Kwanini tusiwatumie wa cheti kufundisha MEMKWA ili huyu wa degree tumtumie kwenye secondary.
Sasa hivi walimu wa shule za msingi wanakwenda kusahihisha mtihani wa form four na form six, kwani wale wanaofundisha form six Wana dhambi gani.
Why can't everybody stick to his/her lane?
nasisitiza uwalimu ni wito.
Mwalimu wa mchango pekee ndio anaweza nung'unika na kubabaika na ngazi ya ualimu aliyonayo kwamba ni ya chini au juu 🐒

nina mfano halisi, wa mwalimu wa shule ya msingi kutoka kanda ya ziwa, alijiendeleza akapata diploma ya ualimu, akapangiwa kufundisha sekondari akaomba kubakizwa shule ya msingi. akiwa hapo msingi akajiendeleza tena kusoma mpaka akawa daktari katika masula ya linguistics alipomaliza, bado akarudi kufundisha shule ya msingi....

mpaka utaratibu maalumu ulipofanywa na chuo alichokua akisoma, kufanya jitihada za kumfadhili masomo yake zaidi na wakafanikiwa kumbakiza chuoni hapo kama mkufunzi mkuu, soon atakua Prof.🐒

hiyo ya walimu gani kusahisha mitiani gani sijui, sina hakika sana japo inawezekana...

Kwankusahihisha mawaswali ya kuchagua A, B au C ama True and False kutumia marking scheme ni Lazima uwe na Elimu gani?🐒
 
Leo nilibahatika kutembelea shule ya msingi Upendo iliyoko katika manispaa ya Ubungo, jijini Dar es salaam.

Nilikutana na class mate wangu ambaye kwa Sasa ni mwalimu pale Upendo. Huyu mshkaji mwanzoni alikua ni mwalimu katika shule ya sekondari lkn kwasasa anafundisha shule ya msingi, hili Jambo lilinishangaza kidogo lakini class mate akanihakikishia kwamba sio yeye peke yake wapo wengi pale.

Kilichonishangaza zaidi ni pale aliponiambia kwamba, pale Upendo Kuna mwalimu ana master's degree anafundisha darasa la kwanza.

MWALIMU MWENYE MASTER'S DEGREE anafundisha darasa la kwanza (std one). Hakuishia hapo, akaniambia Kuna mwalimu ana degree moja anafundisha MEMKWA. wakati naendelea kushangaa akanimaliza kabisa aliposema, mwalimu mkuu anachukua untrained teachers (vijana wa mtaani) kuja kufundisha darasa la Saba.

This is abuse of power and misallocation of scarce resources.

Sijui kama ndio sera za manispaa ya Ubungo.

Taifa linasomesha watu halafu tunawapanga kufundisha MEMKWA, kwa nini wale washkaji za mwalimu mkuu ambao Ni untrained wasifundishe MEMKWA?

I rest my case.

Safi sana inatakiwa iwe hivyo, nchi zinazojielewa waalimu wa vidudu kindergarten wana PhD, Masters ili kuwajengea msingi mzuri wanafunzi wa ngazi hiyo.
 
Back
Top Bottom