Ubungo: Shule ya Msingi Upendo Kuna Mwalimu ana Master's Degree anafundisha darasa la kwanza

Ubungo: Shule ya Msingi Upendo Kuna Mwalimu ana Master's Degree anafundisha darasa la kwanza

Leo nilibahatika kutembelea shule ya msingi Upendo iliyoko katika manispaa ya Ubungo, jijini Dar es salaam.

Nilikutana na class mate wangu ambaye kwa Sasa ni mwalimu pale Upendo. Huyu mshkaji mwanzoni alikua ni mwalimu katika shule ya sekondari lkn kwasasa anafundisha shule ya msingi, hili Jambo lilinishangaza kidogo lakini class mate akanihakikishia kwamba sio yeye peke yake wapo wengi pale.

Kilichonishangaza zaidi ni pale aliponiambia kwamba, pale Upendo Kuna mwalimu ana master's degree anafundisha darasa la kwanza.

MWALIMU MWENYE MASTER'S DEGREE anafundisha darasa la kwanza (std one). Hakuishia hapo, akaniambia Kuna mwalimu ana degree moja anafundisha MEMKWA. wakati naendelea kushangaa akanimaliza kabisa aliposema, mwalimu mkuu anachukua untrained teachers (vijana wa mtaani) kuja kufundisha darasa la Saba.

This is abuse of power and misallocation of scarce resources.

Sijui kama ndio sera za manispaa ya Ubungo.

Taifa linasomesha watu halafu tunawapanga kufundisha MEMKWA, kwa nini wale washkaji za mwalimu mkuu ambao Ni untrained wasifundishe MEMKWA?

I rest my case.
Ndo maana sitaki kusoma tena hii diploma yangu yanitosha
 
Huko kwa wenzetu Japan hayo madarasa yanafundishwa na maprofesa
Acha kulinganisha Japan na nchi ambayo watoto hawana madesk wanakaa chini kwenye vumbi, watoto wanakaa 150 kwenye chumba kimoja, madarasa mawili yanatumia chumba kimoja Kama hii shule ya Upendo nilikofanya ziara. Mwalimu mkuu anapangiwa na mchepuko wake kila kitu.
Shule za Japan walimu Wana maadili mema.
 
Acha kulinganisha Japan na nchi ambayo watoto hawana madesk wanakaa chini kwenye vumbi, watoto wanakaa 150 kwenye chumba kimoja, madarasa mawili yanatumia chumba kimoja Kama hii shule ya Upendo nilikofanya ziara. Mwalimu mkuu anapangiwa na mchepuko wake kila kitu.
Shule za Japan walimu Wana maadili mema.
Sasa hiyo Masters degree yake ndiyo itumike kuleta mambo mapya hapo shuleni
 
Umechanganya Mambo mengi sana.Kwanza Kuna Masters na Degree,Pili kuna walimu wa Mtaani kuja kufundisha.Sasa Sijajua Shida ni nini?Je ni mwalimu mkuu ndio shida?au ni rafiki yako Ndio Shida?

Mwambie afanye kazi kwa bidii afundishe watoto vizuri na afurahie kazi ya ualimu.Kupata nafasi ya kutengeneza msingi wa watoto ni Priviledge.Afanye Vizuri.Hayo mengine kama ni ya kiuutawala au kiutendaji yafikishe kwenye ofisi husika kwa ajili ya hatua zaidi
 
Acha kulinganisha Japan na nchi ambayo watoto hawana madesk wanakaa chini kwenye vumbi, watoto wanakaa 150 kwenye chumba kimoja, madarasa mawili yanatumia chumba kimoja Kama hii shule ya Upendo nilikofanya ziara. Mwalimu mkuu anapangiwa na mchepuko wake kila kitu.
Shule za Japan walimu Wana maadili mema.
Ooh kumbe shida ni Mwalimu Mkuu na Mchepuko wake?
 
Ooh kumbe shida ni Mwalimu Mkuu na Mchepuko wake?
Hata Mimi baada ya kuwauliza wenyeji waliniambia mkuu ana tatizo.
Hii shule wengi ni wanawake, hivyo kuzidi kumpa mchepuko apange kila kitu kutumia mihemko ndio shida.
Mfano, darasa la MEMKWA Lina wanafunzi sita (6) Lina ingia saa nne na kutoka saa sita yaani wanasoma masaa mawili lakini Lina walimu ( 6) mmoja ana degree.
Matokeo yake hii nguvu kazi haitumiki ipadavyo. Walimu 6, wanafunzi 6 kwa masaa 2? Wakati darasa la Saba Kuna wanafunzi zaidi ya 200 lakini walimu Ni ( 3) watatu tu.
Afisa elimu,mratibu fiatilieni mkikuta tofauti leteni mrejesho mods wanipige ban ya wiki mbili.
Otherwise nitaibua madudu mengine katika hii manispaa.
 
Mwambie alete CV yake wizarani.
Asije kuwa ana masters ya uchawi unataka tumpe kitengo ale pesa kiulaini.
 
May be you have a good point but let me point out that, MEMKWA Ni stream moja, wanasoma saa nne Hadi saa sita, amewapanga walimu sita.
Darasa la Saba lenye stream tatu, Kuna walimu watatu (3) tu.
Darasa la pili Kuna walimu kumi.
Webu wenye mamlaka wafuatilie isionekane mkuu anafanyiwa majungu.
Unaijua
 
Sasa ajabu ni ni ni? Kwamba watoto wafundishwe na wenye elimu ndogo kwakuwa ni level ya chini?
 
Napenda kukufahamisha kwamba, Mimi Niko manispaa ya Ubungo sekta ya elimu.
Ni masikitiko yangu tu kwamba Kuna misallocation ya resources kubwa Sana hapa Ubungo.
Sijui Kama mkurugenzi ana habari.
Kuna watu wako hapa kwa manufaa binafsi, Kuna vigogo hapa Wana ma woman friend wengi tu, hongo kubwa wanayotoa Ni kwenda kusahihisha mitihani ya drs la Saba na fomfoo.
Wasahihishaji mitihani Ni hao hao, miaka nenda miaka Rudi.
Tena umenichokoza.
Ngoja niandae kitu kuhusu mwalimu mkuu wa Upendo na mchepuko wake ambaye Ni ...
 
W
Nianze kwa kukuuliza hao uliotajiwa ni degree na master za miaka ipi rafiki ?

Kama ni za miaka kuanzia 2010 muache mwalimu mkuu atafute wenye ahueni ,aisee Kuna watu Wana sijui degree sijui master ni wajinga hata kusema umpe cheo tumbo linatetemeka .

Siku hizi wenye elimu kubwa ndiyo majinga majinga tu ni Bora mwanao kutundishwa na mwalimu wa certificate kuliko kijeba chenye degree muda wote kiko Instagram na telegram kucheki connection
Wewe hauna shahada ya kwanza wala shahada ya uzamili ndiomaana unaonea wivu wenye hizo elimu.

Tena ukiajiriwa ukawakuta astashahada na stashahada ndio wamejaa ofisini .halafu wewe unashahada tambua utapigwa majungu.
 
W

Wewe hauna shahada ya kwanza wala shahada ya uzamili ndiomaana unaonea wivu wenye hizo elimu.

Tena ukiajiriwa ukawakuta astashahada na stashahada ndio wamejaa ofisini .halafu wewe unashahada tambua utapigwa majungu.
Dah rafiki una uhakika Sina hiyo degree Wala master ndugu ? Huko kwenu kuna daktari wa certificate au wa la Saba ?
Karibu ulanzi rafiki ,kampeni zimekaribia niko na diwani tunaweka mikakati ya Kijiji chetu wakati wa uchaguzi
 
Huyo wa masters je kama alisoma childhood education unataka akafyndishe fom6?

Huyo wa memkwa je kama alisoma bed adult education unataka akafyndishe f2?

Ualimu sio kusovu magazijuto tu Kuna mambo mengi.

Masters za ualimu Kwa Sasa ni nyingi mno.
Hahahahaha mkuu umenikumbusha kitu, Nina jamaa angu nilisoma nae Education udsm miaka ya nyuma... Sasa field alienda kufundisha shule Moja ya kata ipo hapo mtaani kwao,, Baba yake akawa anagomba kila siku akisema "inakuwaje unasoma chuo kikuu Cha Dar es salaam halafu unafanya kazi ya ualimu"

Mkuu watu wanadhani mwalimu ni mtu aliyefeli na hana elimu yoyote ya maana ndo maana watu wanashangaa kumuona MTU ana M.A anafundisha primary, wasijue pengine ame specialize huko.

Miaka ya nyuma Kuna wanafunzi nilikua nawafundisha secondary sasa wakifika mpaka chuo kikuu, nikionana nao kipindi Cha likizo ni full kunihadithia mambo ya Udsm cjui udom wakidhan Mimi cjawahi kufika huko... Utasikia kule chuo kikuu boom tunapewa cjui Nini na nini....
 
MEMKWA ni darasa zito na pana sana na huyo,lile ni darasa la makundi rika,unaweza kuta kila mwanafunzi humo darasani ana hatua aliyofikia tofauti na wenzake,kwa wanafunzi 8 unaweza tenga makundi rika kama 6 yaani madarasa sita kwenye stream moja,unaongea tu ili jamaa yako aende sijui darasagani! Kwanza kuna watu wana masters zao mashuleni lkn hawawezi kufundisha,dharula kibao na hata kufundisha hawajui,tofauti na yupe wa upe
 
Back
Top Bottom