Ubungo: Shule ya Msingi Upendo Kuna Mwalimu ana Master's Degree anafundisha darasa la kwanza

Ubungo: Shule ya Msingi Upendo Kuna Mwalimu ana Master's Degree anafundisha darasa la kwanza

Leo nilibahatika kutembelea shule ya msingi Upendo iliyoko katika manispaa ya Ubungo, jijini Dar es salaam.

Nilikutana na class mate wangu ambaye kwa Sasa ni mwalimu pale Upendo. Huyu mshkaji mwanzoni alikua ni mwalimu katika shule ya sekondari lkn kwasasa anafundisha shule ya msingi, hili Jambo lilinishangaza kidogo lakini class mate akanihakikishia kwamba sio yeye peke yake wapo wengi pale.

Kilichonishangaza zaidi ni pale aliponiambia kwamba, pale Upendo Kuna mwalimu ana master's degree anafundisha darasa la kwanza.

MWALIMU MWENYE MASTER'S DEGREE anafundisha darasa la kwanza (std one). Hakuishia hapo, akaniambia Kuna mwalimu ana degree moja anafundisha MEMKWA. wakati naendelea kushangaa akanimaliza kabisa aliposema, mwalimu mkuu anachukua untrained teachers (vijana wa mtaani) kuja kufundisha darasa la Saba.

This is abuse of power and misallocation of scarce resources.

Sijui kama ndio sera za manispaa ya Ubungo.

Taifa linasomesha watu halafu tunawapanga kufundisha MEMKWA, kwa nini wale washkaji za mwalimu mkuu ambao Ni untrained wasifundishe MEMKWA?

I rest my case.
Huko kwa wenzetu Japan hayo madarasa yanafundishwa na maprofesa
 
Kwenye nchi za wenzenu walioendelea, walimu wa Nursery hadi darasa la nne ni walimu walioelimika sana..
Wakiwafuatia walimu wa watoto wenye changamoto za ubongo.
Ndiyo. Lack of exposure. Mpaka wenye PhDs wanafundisha primary. Binti yangu alifundishwa Fizikia middle school na Dr. Diana (Ph.D ya Fizikia) pamoja na Dr. Andrew (Ph.D ya English). Huko high schools ndiyo PhDs kibao.

Huku kwetu kwenye elimu ya kuunga unga inaonekana ni ajabu kwa sababu pengine hata mishahara ya wasomi hawa ni ya chini sana na hakuna marupurupu wala incentives zo zote. Na wanadharauliwa tu na jamii - tofauti kabisa na hadhi ya mwalimu, kwa mfano, katika nchi za Skandinavia.

Elimu yetu ina matatizo mengi mno mpaka hata unashindwa uanzie wapi. Kuanzia kwenye mtazamo wa jamii kudharau walimu (Mpwayungu effect), miundo mbinu haba, mishahara midogo, mazingira magumu n.k.
 
Leo nilibahatika kutembelea shule ya msingi Upendo iliyoko katika manispaa ya Ubungo, jijini Dar es salaam.

Nilikutana na class mate wangu ambaye kwa Sasa ni mwalimu pale Upendo. Huyu mshkaji mwanzoni alikua ni mwalimu katika shule ya sekondari lkn kwasasa anafundisha shule ya msingi, hili Jambo lilinishangaza kidogo lakini class mate akanihakikishia kwamba sio yeye peke yake wapo wengi pale.

Kilichonishangaza zaidi ni pale aliponiambia kwamba, pale Upendo Kuna mwalimu ana master's degree anafundisha darasa la kwanza.

MWALIMU MWENYE MASTER'S DEGREE anafundisha darasa la kwanza (std one). Hakuishia hapo, akaniambia Kuna mwalimu ana degree moja anafundisha MEMKWA. wakati naendelea kushangaa akanimaliza kabisa aliposema, mwalimu mkuu anachukua untrained teachers (vijana wa mtaani) kuja kufundisha darasa la Saba.

This is abuse of power and misallocation of scarce resources.

Sijui kama ndio sera za manispaa ya Ubungo.

Taifa linasomesha watu halafu tunawapanga kufundisha MEMKWA, kwa nini wale washkaji za mwalimu mkuu ambao Ni untrained wasifundishe MEMKWA?

I rest my case.
Dah! Aisee? Shida yako nini nini ndg. mtoa mada? Unalalamika? au unatoa dukuduku lako? au unatoa ushauri? au unashangaa? au unasikitika? au huelewi kinachoendelea?
Me nakushauri NENDA KATAFUTE PESA acha watu wenzako nao watafute pesa.
 
Ndio vizuri maana unaweza kuona mtoto anaruka madarasa mpaka chuo kikuu
 
Huko kwa wenzetu Japan hayo madarasa yanafundishwa na maprofesa
Yes Exactly. Hayo madarasa ndiko kuliko na kazi ngumu sana ya kumtoa mtoto hatua ya kutajua kitu hadi kuwa anajua kitu.
Huko sio eti mtoto ajue tu abechedeiefugi....... Hapana. Ni zaidi ya hapo. Mtoto aweze kuzoea kuwa bila mzazi, mtoto aweze kujisitiri e.g. kupenga kamasi, kukaa pamoja na watoto wenzake (kuishi katika jamii) n.k. Ni ngumu sana -wapo watoto watundu, wakorofi, wagomvi, wenye fujo n.k. hayo yote mwl. wa madarasa hayo ni lazima akabiliane nayo la sivyo kwenye madarasa hayo hapafundishiki kitu. Mwl ndiye Mzazi, ndiye Polisi, ndiye Hakimu, ndiye Msuluhishi na mtoa Taarifa kwa Wazazi (Parents). Nyie yasikieni tu hayo madarasa usiombe ukapangiwa kushughulika au kuwa Mkurugenzi wa "kampuni" hiyo. Hakuna rangi utaacha kuona.
 
Yes Exactly. Hayo madarasa ndiko kuliko na kazi ngumu sana ya kumtoa mtoto hatua ya kutajua kitu hadi kuwa anajua kitu.
Huko sio eti mtoto ajue tu abechedeiefugi....... Hapana. Ni zaidi ya hapo. Mtoto aweze kuzoea kuwa bila mzazi, mtoto aweze kujisitiri e.g. kupenga kamasi, kukaa pamoja na watoto wenzake (kuishi katika jamii) n.k. Ni ngumu sana -wapo watoto watundu, wakorofi, wagomvi, wenye fujo n.k. hayo yote mwl. wa madarasa hayo ni lazima akabiliane nayo la sivyo kwenye madarasa hayo hapafundishiki kitu. Mwl ndiye Mzazi, ndiye Polisi, ndiye Hakimu, ndiye Msuluhishi na mtoa Taarifa kwa Wazazi (Parents). Nyie yasikieni tu hayo madarasa usiombe ukapangiwa kushughulika au kuwa Mkurugenzi wa "kampuni" hiyo. Hakuna rangi utaacha kuona.
Naam
 
Yes Exactly. Hayo madarasa ndiko kuliko na kazi ngumu sana ya kumtoa mtoto hatua ya kutajua kitu hadi kuwa anajua kitu.
Huko sio eti mtoto ajue tu abechedeiefugi....... Hapana. Ni zaidi ya hapo. Mtoto aweze kuzoea kuwa bila mzazi, mtoto aweze kujisitiri e.g. kupenga kamasi, kukaa pamoja na watoto wenzake (kuishi katika jamii) n.k. Ni ngumu sana -wapo watoto watundu, wakorofi, wagomvi, wenye fujo n.k. hayo yote mwl. wa madarasa hayo ni lazima akabiliane nayo la sivyo kwenye madarasa hayo hapafundishiki kitu. Mwl ndiye Mzazi, ndiye Polisi, ndiye Hakimu, ndiye Msuluhishi na mtoa Taarifa kwa Wazazi (Parents). Nyie yasikieni tu hayo madarasa usiombe ukapangiwa kushughulika au kuwa Mkurugenzi wa "kampuni" hiyo. Hakuna rangi utaacha kuona.
Naam
 
Yes Exactly. Hayo madarasa ndiko kuliko na kazi ngumu sana ya kumtoa mtoto hatua ya kutajua kitu hadi kuwa anajua kitu.
Huko sio eti mtoto ajue tu abechedeiefugi....... Hapana. Ni zaidi ya hapo. Mtoto aweze kuzoea kuwa bila mzazi, mtoto aweze kujisitiri e.g. kupenga kamasi, kukaa pamoja na watoto wenzake (kuishi katika jamii) n.k. Ni ngumu sana -wapo watoto watundu, wakorofi, wagomvi, wenye fujo n.k. hayo yote mwl. wa madarasa hayo ni lazima akabiliane nayo la sivyo kwenye madarasa hayo hapafundishiki kitu. Mwl ndiye Mzazi, ndiye Polisi, ndiye Hakimu, ndiye Msuluhishi na mtoa Taarifa kwa Wazazi (Parents). Nyie yasikieni tu hayo madarasa usiombe ukapangiwa kushughulika au kuwa Mkurugenzi wa "kampuni" hiyo. Hakuna rangi utaacha kuona.
Naam
 
Tatizo liko wap s aliomba ualimu wa primary au aliteuliwa
 
Leo nilibahatika kutembelea shule ya msingi Upendo iliyoko katika manispaa ya Ubungo, jijini Dar es salaam.

Nilikutana na class mate wangu ambaye kwa Sasa ni mwalimu pale Upendo. Huyu mshkaji mwanzoni alikua ni mwalimu katika shule ya sekondari lkn kwasasa anafundisha shule ya msingi, hili Jambo lilinishangaza kidogo lakini class mate akanihakikishia kwamba sio yeye peke yake wapo wengi pale.

Kilichonishangaza zaidi ni pale aliponiambia kwamba, pale Upendo Kuna mwalimu ana master's degree anafundisha darasa la kwanza.

MWALIMU MWENYE MASTER'S DEGREE anafundisha darasa la kwanza (std one). Hakuishia hapo, akaniambia Kuna mwalimu ana degree moja anafundisha MEMKWA. wakati naendelea kushangaa akanimaliza kabisa aliposema, mwalimu mkuu anachukua untrained teachers (vijana wa mtaani) kuja kufundisha darasa la Saba.

This is abuse of power and misallocation of scarce resources.

Sijui kama ndio sera za manispaa ya Ubungo.

Taifa linasomesha watu halafu tunawapanga kufundisha MEMKWA, kwa nini wale washkaji za mwalimu mkuu ambao Ni untrained wasifundishe MEMKWA?

I rest my case.
Kufundisha kama ilivo kwa taaluma zingine zozote kama zinaathiriwa na issue ya :-
1.Demand and supply
2.Competence
3.Technology
4.Contents and contexts
Ok,hao walimu Wana masters ya nini?,yaani ulisoma degree ya education ukapiga master ya HR baasi tu wewe ni mtaalamu
Masters degree inabidi ieandane na comptence yako,watu hawalipwi Kwa kua Wana masters wanalipwa Kwa kua masters Yao inaweza kuzalisha kitu genuine,........
Hii nadhalia ya mtu kusoma akiamini akiamliza anajua vitu kuliko wengine ni nadhalia ya KISHAMBA sana
Lengo la kusoma ni kuwa na maarifa genuine ambayo yatwrza kutatua changamoto za jamii
Sasa kama wewe una masters unachofanya form six anakifanya kwa weredi uliotukuka,watu wakulipe mabilioni Kwa kua tu una masters?
 
Ndiyo. Lack of exposure. Mpaka wenye PhDs wanafundisha primary. Binti yangu alifundishwa Fizikia middle school na Dr. Diana (Ph.D ya Fizikia) pamoja na Dr. Andrew (Ph.D ya English). Huko high schools ndiyo PhDs kibao.

Huku kwetu kwenye elimu ya kuunga unga inaonekana ni ajabu kwa sababu pengine hata mishahara ya wasomi hawa ni ya chini sana na hakuna marupurupu wala incentives zo zote. Na wanadharauliwa tu na jamii - tofauti kabisa na hadhi ya mwalimu, kwa mfano, katika nchi za Skandinavia.

Elimu yetu ina matatizo mengi mno mpaka hata unashindwa uanzie wapi. Kuanzia kwenye mtazamo wa jamii kudharau walimu (Mpwayungu effect), miundo mbinu haba, mishahara midogo, mazingira magumu n.k.
Naunga mkono hoja. Yani itoshe tu kusema "Bila mwalimu; mbele ni giza tuu"
Kwa mantiki hiyo inatakiwa ziwepo juhudi za makusudi kabisa kuhakikisha nchi inapata na inakuwa na Waalimu bora na sio nchi inajilimbikizia watu kwa maelfu na kuwalipa mishahara alimradi tu wanaitwa jina ni waalimu.
 
Hao unaowaita un-trained teachers mara nyingi wanakuwa vizuri sana kwenye kufundisha darasa la saba and other candidate classes....
Enzi hizo (1990-2000) nawakumbuka walimu hawa wa kitaa(un-trained teachers) kwa darasa la saba Ibunga-mabibo,Willy,Vitaris(Rip) & Patrick -Kagera(friends corner),Dany-Mburahati(kanisani),Tr brother -mabibo.
 
Kufundisha kama ilivo kwa taaluma zingine zozote kama zinaathiriwa na issue ya :-
1.Demand and supply
2.Competence
3.Technology
4.Contents and contexts
Ok,hao walimu Wana masters ya nini?,yaani ulisoma degree ya education ukapiga master ya HR baasi tu wewe ni mtaalamu
Masters degree inabidi ieandane na comptence yako,watu hawalipwi Kwa kua Wana masters wanalipwa Kwa kua masters Yao inaweza kuzalisha kitu genuine,........
Hii nadhalia ya mtu kusoma akiamini akiamliza anajua vitu kuliko wengine ni nadhalia ya KISHAMBA sana
Lengo la kusoma ni kuwa na maarifa genuine ambayo yatwrza kutatua changamoto za jamii
Sasa kama wewe una masters unachofanya form six anakifanya kwa weredi uliotukuka,watu wakulipe mabilioni Kwa kua tu una masters?
Nanukuu:
"Hii nadhalia ya mtu kusoma akiamini akiamliza anajua vitu kuliko wengine ni nadhalia ya KISHAMBA sana
Lengo la kusoma ni kuwa na maarifa genuine ambayo yatwrza kutatua changamoto za jamii
Sasa kama wewe una masters unachofanya form six anakifanya kwa weredi uliotukuka,watu wakulipe mabilioni Kwa kua tu una masters?"

Hayo 👆 👆 ni sahihi kabisa. Yupo mtu mmoja aliwahi kusema habari ya kamba na urefu wake. Chukua mfano huo na uone kwamba unapoenda kusoma unaenda kununua kamba ya kujifunga ili uweze kula i.e. Bila kamba huwezi kula (Ndiyo condition iliyowekwa). Kila chakula kimewekwa umbali tofauti na kwa hiyo ukitaka chakula aina fulani sharti ukanunue kamba itakayokufikisha hapo. Wewe unaenda (Training) panapouzwa kamba (Chuo)huendi kununua kamba kulingana na hitaji lako (Lengo) bali unajinunulia tu alimradi ni kamba. Lakini unataka ule kile ulicho kusudia na umekipenda. Hapo utakuja kuwafanyia fujo wenzako. Wewe ulipenda Ualimu lakini hukuenda chuo cha Ualimu i.e. huna cheti cha Ualimu (Dip, Bsc, masters Phd n.k.) ila una cheti cha Sheria au Cheti cha Mlinzi wa Taifa (MT). Ukikubaliwa kufundisha, hiyo ni hisani tuu au ni kutokana na uhaba wa waalimu uliopo. (Samahani nimeandika mareefu mnisamehe.)
 
Leo nilibahatika kutembelea shule ya msingi Upendo iliyoko katika manispaa ya Ubungo, jijini Dar es salaam.

Nilikutana na class mate wangu ambaye kwa Sasa ni mwalimu pale Upendo. Huyu mshkaji mwanzoni alikua ni mwalimu katika shule ya sekondari lkn kwasasa anafundisha shule ya msingi, hili Jambo lilinishangaza kidogo lakini class mate akanihakikishia kwamba sio yeye peke yake wapo wengi pale.

Kilichonishangaza zaidi ni pale aliponiambia kwamba, pale Upendo Kuna mwalimu ana master's degree anafundisha darasa la kwanza.

MWALIMU MWENYE MASTER'S DEGREE anafundisha darasa la kwanza (std one). Hakuishia hapo, akaniambia Kuna mwalimu ana degree moja anafundisha MEMKWA. wakati naendelea kushangaa akanimaliza kabisa aliposema, mwalimu mkuu anachukua untrained teachers (vijana wa mtaani) kuja kufundisha darasa la Saba.

This is abuse of power and misallocation of scarce resources.

Sijui kama ndio sera za manispaa ya Ubungo.

Taifa linasomesha watu halafu tunawapanga kufundisha MEMKWA, kwa nini wale washkaji za mwalimu mkuu ambao Ni untrained wasifundishe MEMKWA?

I rest my case.
Safi sana, sasa Tanzania tunaanza kuelekea pazuri. In shaa Allah tufikie PhD wawe wanafundisha shule za msingi, ndipo tutakapoona maendeleo ya kweli usoni huko.

Natamani Tanzania madaktari bingwa wawe kwenye hospitali za awali. Ndipo ntakapoamini sasa tunaendelea.
 
Ubungo tena.

Huku dada poa mfamasia, kule Simu 2000 🔥 pale watoto wanakaa chini Kwembe.

Hapa Masters anafundisha STD One

DJ ni nani?
 
Safi sana, sasa Tanzania tunaanza kuelekea pazuri. In shaa Allah tufikie PhD wawe wanafundisha shule za msingi, ndipo tutakapoona maendeleo ya kweli usoni huko.

Natamani Tanzania madaktari bingwa wawe kwenye hospitali za awali. Ndipo ntakapoamini sasa tunaendelea.
Kwenye zahanati na vituo vya Afya sio?
 
Back
Top Bottom