Ubungo: Wanawake 36 wanaodai kukamatwa na kudhalilishwa kuwa "Dada Poa" kumfikisha mahakamani DC Hassan Bomboko na kumdai Fidia ya Tsh. Bilioni 36!

Hakuna lengo hapo zaidi ya kutafuta sifa za kuteuliwa. Kuna shida ngapi za msingi za kushughulika nazo? Kwanza ni sheria ipi inazuia mtu kutumia viungo vyake kupata kipato? Nisaidie kifungu ndugu yangu.
Kwanza wahanga wale walikuwa maeneo yao ya Makazi na kuvamiwa na kudhalilishwa hii haijakaa SAWA!! Kisa mtu mmoja ajipatie sifa!! Hii haikubaliki mbele ya Taifa lenye utawala Bora na sheria
 
Safi sana ,unadhalilisha watu Kwa sababu za ujinga wako
 
Katika hao wanaodaiwa kudhalilishwa trust me makahaba hawakosekani.Kwa kusema hivi simaanishi na-support usenge wa DC na pia sifurahishwi na biashara ya mbususu
 
Kweli angetusaidia kuondoa kwanza vibaka,madada poa unawapita
bila shida,simu yako na lap top vinakuwa salama lakini vibaka ukijifanya kutetea mali yako
utasikia wanasema ''mpe topaz'' hapo ujue kiwembe kinakuhusu
ah ah ah.
 
Kwa msing huo, kama Vyangudoa wataacha basi na vibaka nao waachwe wajitafutie riziki kwa njia waliyoichagua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…