Tangu lini Wataalamu Tanzania wakasikilizwa na wanasiasa.Mkuu wa wilaya mjinga kabisa kuwahi kutokea,mahakamani kuna kesi za msingi zinahitaji kusikilizwa,wewe unakamata watu kwa jambo la kijinga ambalo linapelekea shida kwenye mahakama zetu.
Tuna matatizo mengi sana tofauti na huo ukahaba anaopambana nao, wacha wamuadabishe,huko aliko najua hana hamu.
Bado najiuliza wanasheria wa halmashauri zetu wana kazi gani juu ya kuwaongoza hawa watu kipi wafanye na kipi wasifanye?, au ni ubabe wa wateule kuwa wao ni kila kitu na mwisho wa siku wanaangukia pua?.
Mimi na ualimu wangu huu wa grade A najua kabisa hapa nikiingia kichwa kichwa lazima mambo yanigeukie,vipi kwa m
HakunaToa mfano wa nani au serikali gani humu duniani iliwahi kufanikiwa kutokomeza umalaya kama alivyofanya huyo masifa?
HakunaTangu lini Wataalamu Tanzania wakasikilizwa na wanasiasa.
MbinguniWazinzi wote na washerati wote lazima wawasuppport wazinzi wenzao humu!! Hii nchi ngumu sana! Mafisadi na wala rushwa wanateteana na wanzinzi nao wanateteana humu sijui tukimbilie wapi!
Acha zikamtoke 36B,alikuwa anatafuta kiki kwa pikipiki,naona kaipataTangu lini Wataalamu Tanzania wakasikilizwa na wanasiasa.
HakunaYeah sure maana hakuna kithibitisho chochote
KaipataAcha zikamtoke 36B,alikuwa anatafuta kiki kwa pikipiki,naona kaipata
Hii biashara ikiondolewa wakibakwa wake, binti zenu na watoto wenu wa kiume wakilawitiwa msianze kupiga mayowe.Wazinzi wote na washerati wote lazima wawasuppport wazinzi wenzao humu!! Hii nchi ngumu sana! Mafisadi na wala rushwa wanateteana na wanzinzi nao wanateteana humu sijui tukimbilie wapi!
Waambie wakuelewe kubwa la maaduiHii biashara ikiondolewa wakibakwa wake, binti zenu na watoto wenu wa kiume wakilawitiwa msianze kupiga mayowe.
vipi baada ya wao kufukuzwa kazi maisha yaki na Ndugu zako yamebadilika jwa kiasi gani?Mimi nilipomuona mke wa Madeleka, nikajua hiyo familia ya Madeleka ina matatizo makubwa. Mke na mume wote mitambo, na yote imefukuzwa kazi serikalini.
Kama unq kesi yako serious usimpe Madeleka, vinginevyo uwe na Hakimu au Jaji ambaye ni robot. Watoa maamuzi ni binadamu, anaweza kuwakoroga kwa ukichaa wake, wakabonyeza ki-uzi chembamba ukajikuta unakosa haki au unaipata kwa kuteseka sana.
Be wise when choosing an advocate. The best advocate is the one who does not wish to lose the court
Kuna watu wanajiona wao ni watalatifu saaana. Watu wanauziana biashara yao wenyewe hukona hakuna aliyelalamika kudhulumiwa shida iko wapi?Waambie wakuelewe kubwa la maadui
Serikali haiwahusuCase closed! Hili ni ishu ya masheikh, wachungaji, mapadri, rabbi na viongozi wengine wa dini, siyo serikali!
Ndio hapo sasa wao inawauma niniKuna watu wanajiona wao ni watalatifu saaana. Watu wanauziana biashara yao wenyewe hukona hakuna aliyelalamika kudhulumiwa shida iko wapi?
Kwani mtu anaeuza nyapu na yule asiyeuza ila anagawa kwa kila mtu wanatofauti gani?...ni sawa kuuza nyapu ?
Au labda wanataka waliwe wao.Ndio hapo sasa wao inawauma nini
DC anajitapa ana Pesa nyingi sana basi alipe hizo B 36 kwani shida nini si alipe tuWakuu muelewe kosa alilofanya bwana Dc wa ubungo huko daslamu aliwafata wale wadada wakiwa lodge ,ambapo walilipa kabisa vyumba,
Hapo wanaweza kumgeuka kuwa wameingiliwa faragha yao na walikua wamepumzika tu na sio kujiuza , wangekutwa bara barani pia bado hakuna kesi ya kujiuza na ndio maana sana sana huwa wanapewa kesi ya uzururaji .