Ubungo: Wanawake 36 wanaodai kukamatwa na kudhalilishwa kuwa "Dada Poa" kumfikisha mahakamani DC Hassan Bomboko na kumdai Fidia ya Tsh. Bilioni 36!

Ubungo: Wanawake 36 wanaodai kukamatwa na kudhalilishwa kuwa "Dada Poa" kumfikisha mahakamani DC Hassan Bomboko na kumdai Fidia ya Tsh. Bilioni 36!

Mkuu wa wilaya mjinga kabisa kuwahi kutokea,mahakamani kuna kesi za msingi zinahitaji kusikilizwa,wewe unakamata watu kwa jambo la kijinga ambalo linapelekea shida kwenye mahakama zetu.

Tuna matatizo mengi sana tofauti na huo ukahaba anaopambana nao, wacha wamuadabishe,huko aliko najua hana hamu.

Bado najiuliza wanasheria wa halmashauri zetu wana kazi gani juu ya kuwaongoza hawa watu kipi wafanye na kipi wasifanye?, au ni ubabe wa wateule kuwa wao ni kila kitu na mwisho wa siku wanaangukia pua?.

Mimi na ualimu wangu huu wa grade A najua kabisa hapa nikiingia kichwa kichwa lazima mambo yanigeukie,vipi kwa m
Tangu lini Wataalamu Tanzania wakasikilizwa na wanasiasa.
 
Wazinzi wote na washerati wote lazima wawasuppport wazinzi wenzao humu!! Hii nchi ngumu sana! Mafisadi na wala rushwa wanateteana na wanzinzi nao wanateteana humu sijui tukimbilie wapi!
 
Mimi nilipomuona mke wa Madeleka, nikajua hiyo familia ya Madeleka ina matatizo makubwa. Mke na mume wote mitambo, na yote imefukuzwa kazi serikalini.

Kama unq kesi yako serious usimpe Madeleka, vinginevyo uwe na Hakimu au Jaji ambaye ni robot. Watoa maamuzi ni binadamu, anaweza kuwakoroga kwa ukichaa wake, wakabonyeza ki-uzi chembamba ukajikuta unakosa haki au unaipata kwa kuteseka sana.

Be wise when choosing an advocate. The best advocate is the one who does not wish to lose the court
vipi baada ya wao kufukuzwa kazi maisha yaki na Ndugu zako yamebadilika jwa kiasi gani?
 
Wakuu muelewe kosa alilofanya bwana Dc wa ubungo huko daslamu aliwafata wale wadada wakiwa lodge ,ambapo walilipa kabisa vyumba,

Hapo wanaweza kumgeuka kuwa wameingiliwa faragha yao na walikua wamepumzika tu na sio kujiuza , wangekutwa bara barani pia bado hakuna kesi ya kujiuza na ndio maana sana sana huwa wanapewa kesi ya uzururaji .
 
Wakuu muelewe kosa alilofanya bwana Dc wa ubungo huko daslamu aliwafata wale wadada wakiwa lodge ,ambapo walilipa kabisa vyumba,

Hapo wanaweza kumgeuka kuwa wameingiliwa faragha yao na walikua wamepumzika tu na sio kujiuza , wangekutwa bara barani pia bado hakuna kesi ya kujiuza na ndio maana sana sana huwa wanapewa kesi ya uzururaji .
DC anajitapa ana Pesa nyingi sana basi alipe hizo B 36 kwani shida nini si alipe tu
 
Back
Top Bottom