Ubutu wa Primera Liga waanza kuthibitika

Ubutu wa Primera Liga waanza kuthibitika

Wanakamia tu hao, wewe huoni walikuwa wanacheza kwa kujilinda zaidi na kupiga counter atack? Haitaji degree kuona nani aikuwa dhaifu na tena akiwa kwao.

View attachment 483940
Mpira tactics mkuu. we umeona timu zote duniani zinacheza formation 1? si kila timu na formation yake? sasa izo counter attack ndio strategy yao basi, chenga tawala, watu wanarusha moja kitu ndani, mwisho wa siku what matter is who won the match and not who played a beautiful game!

Halafu hio ni proof kwamba leceister waliweza kudhibiti lango lao, Sevilla walishindwa, sasa faida yake nini kuwa na possession ya 90% au hata 99.9?
 
Hii ligi ya wahindi kwanza timu zenye mashabiki wengi ni mbili tu zingine zilizobaki zinashabikiwa hasa na wananchi wa vitingoji vyao.

Sasa hii tu ni ushiadi unaonyesha laliga ni ligi isiyokuwa na mvuto wowote.
 
EPL & VPL ni ligi ya hovyo kuwahi kutokea katika ulimwengu wa soka!
 
LA liga ni bora mda wote
Nani kasema!?

Uliona walichofanyiwa Jana mabingwa wenu wa laliga!!? Na leo tena nakukaribisha ushuudie atakachofanyiwa muongoza ligi pale arianz arena.
 
Kwa muda mrefu sana wapenda soka wa dunia wamedanganywa kwamba ligi ya Spain ndio ligi bora na ngumu kuliko ligi zote duniani , hata pale sisi wataalam na wachambuzi wa soka tulipopinga , tena kwa mifano iliyofanyiwa utafiti , tuliishia kusimangwa .
Wewe jamaaa ni loser muda wote,kutoka siasa hadi mpira

Kipigo cha Barcelona kutoka kwa vibonde PSG ni ushahidi mwingine kwamba soka la spain si lolote , jambo pekee lililojificha ni kwamba , ligi ya spain ina mkusanyiko wa wachezaji wazuri wa dunia ambao kucheza kwao kwa muda kwenye ligi mbovu kumedumaza uwezo wao.

Mifano ni mingi sana , ligi bora haiwezi kuwa na timu bora zisizozidi 5 tu kama siyo 3 , ligi bora ya dunia haiwezekani kuonekana bure bila malipo , ukiacha Tv duni kabisa duniani kama TBC , karibu Tv zingine zote zinaonyesha ligi ya Spain bure kabisa , Azam na Dstv Bomba ni mifano ya karibu .

Timu za Spain zitaendelea kuadhirika zaidi kuanzia sasa na kuvuliwa huo ufalme hewa waliovikwa .

....... Itaendelea ........
 
Kwa muda mrefu sana wapenda soka wa dunia wamedanganywa kwamba ligi ya Spain ndio ligi bora na ngumu kuliko ligi zote duniani , hata pale sisi wataalam na wachambuzi wa soka tulipopinga , tena kwa mifano iliyofanyiwa utafiti , tuliishia kusimangwa .

Kipigo cha Barcelona kutoka kwa vibonde PSG ni ushahidi mwingine kwamba soka la spain si lolote , jambo pekee lililojificha ni kwamba , ligi ya spain ina mkusanyiko wa wachezaji wazuri wa dunia ambao kucheza kwao kwa muda kwenye ligi mbovu kumedumaza uwezo wao.

Mifano ni mingi sana , ligi bora haiwezi kuwa na timu bora zisizozidi 5 tu kama siyo 3 , ligi bora ya dunia haiwezekani kuonekana bure bila malipo , ukiacha Tv duni kabisa duniani kama TBC , karibu Tv zingine zote zinaonyesha ligi ya Spain bure kabisa , Azam na Dstv Bomba ni mifano ya karibu .

Timu za Spain zitaendelea kuadhirika zaidi kuanzia sasa na kuvuliwa huo ufalme hewa waliovikwa .

....... Itaendelea ........

Farmers league
 
Back
Top Bottom