Magnificaaaal
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 279
- 310
Tunavyojua cc aliyefuzu Ndo Bora kuliko mwenzakWanakamia tu hao, wewe huoni walikuwa wanacheza kwa kujilinda zaidi na kupiga counter atack? Haitaji degree kuona nani aikuwa dhaifu na tena akiwa kwao.
View attachment 483940
Mpira tactics mkuu. we umeona timu zote duniani zinacheza formation 1? si kila timu na formation yake? sasa izo counter attack ndio strategy yao basi, chenga tawala, watu wanarusha moja kitu ndani, mwisho wa siku what matter is who won the match and not who played a beautiful game!Wanakamia tu hao, wewe huoni walikuwa wanacheza kwa kujilinda zaidi na kupiga counter atack? Haitaji degree kuona nani aikuwa dhaifu na tena akiwa kwao.
View attachment 483940
Kubeti ligi ya spain ni rahisi sana
Weka mkeka huoKubeti ligi ya spain ni rahisi sana
Nani kasema!?LA liga ni bora mda wote
Mrejesho mkuuNani kasema!?
Uliona walichofanyiwa Jana mabingwa wenu wa laliga!!? Na leo tena nakukaribisha ushuudie atakachofanyiwa muongoza ligi pale arianz arena.
Yupo kwenye kichakani sasa hivi kajifichaMrejesho mkuu
Kwa muda mrefu sana wapenda soka wa dunia wamedanganywa kwamba ligi ya Spain ndio ligi bora na ngumu kuliko ligi zote duniani , hata pale sisi wataalam na wachambuzi wa soka tulipopinga , tena kwa mifano iliyofanyiwa utafiti , tuliishia kusimangwa .
Wewe jamaaa ni loser muda wote,kutoka siasa hadi mpira
Kipigo cha Barcelona kutoka kwa vibonde PSG ni ushahidi mwingine kwamba soka la spain si lolote , jambo pekee lililojificha ni kwamba , ligi ya spain ina mkusanyiko wa wachezaji wazuri wa dunia ambao kucheza kwao kwa muda kwenye ligi mbovu kumedumaza uwezo wao.
Mifano ni mingi sana , ligi bora haiwezi kuwa na timu bora zisizozidi 5 tu kama siyo 3 , ligi bora ya dunia haiwezekani kuonekana bure bila malipo , ukiacha Tv duni kabisa duniani kama TBC , karibu Tv zingine zote zinaonyesha ligi ya Spain bure kabisa , Azam na Dstv Bomba ni mifano ya karibu .
Timu za Spain zitaendelea kuadhirika zaidi kuanzia sasa na kuvuliwa huo ufalme hewa waliovikwa .
....... Itaendelea ........
Bado tu huelewi hadi muda huu ?Sasa nilijua hiyo timu ya spain imecheza na timu ya Uingereza!!
Kumbe maneno!!
Kwa muda mrefu sana wapenda soka wa dunia wamedanganywa kwamba ligi ya Spain ndio ligi bora na ngumu kuliko ligi zote duniani , hata pale sisi wataalam na wachambuzi wa soka tulipopinga , tena kwa mifano iliyofanyiwa utafiti , tuliishia kusimangwa .
Kipigo cha Barcelona kutoka kwa vibonde PSG ni ushahidi mwingine kwamba soka la spain si lolote , jambo pekee lililojificha ni kwamba , ligi ya spain ina mkusanyiko wa wachezaji wazuri wa dunia ambao kucheza kwao kwa muda kwenye ligi mbovu kumedumaza uwezo wao.
Mifano ni mingi sana , ligi bora haiwezi kuwa na timu bora zisizozidi 5 tu kama siyo 3 , ligi bora ya dunia haiwezekani kuonekana bure bila malipo , ukiacha Tv duni kabisa duniani kama TBC , karibu Tv zingine zote zinaonyesha ligi ya Spain bure kabisa , Azam na Dstv Bomba ni mifano ya karibu .
Timu za Spain zitaendelea kuadhirika zaidi kuanzia sasa na kuvuliwa huo ufalme hewa waliovikwa .
....... Itaendelea ........
Alichukuwa lakini leo kachukuwa nini ?Madrid alivyo chukua uefa champians Mara 3 inakuwaje mbovu
KabisaMajibu yamepatikana wiki hii
Madrid amekuwa kileleni kwa mda mrefu,msim huu kuflop ni kitu cha kawaida,EPL Tim zao kuingia fainal ni msim mzuri tu,lkn LA liga inabaki kuwa boraAlichukuwa lakini leo kachukuwa nini ?