Ubutu wa Primera Liga waanza kuthibitika

Halafu bado tu huyo mbilikimo angepewa Balon D' Amor mwaka huu kama mwaka jana pamoja na kutofanya lolote la maana kwa timu yake na timu ya taifa lake
Balon D' ni tuzo binafsi,uwezo wa mchazaji kufunga,Ku assist, dribbling, n.k, mi ni shabiki wa Madrid lkn messi bado namuona ni mchezaji bora kwa karne hii
 
Sitaki kuamini kwamba Laliga ilikua ikibebwa na umahiri wa Cr7 na andunje Messi.
 
Balon D' ni tuzo binafsi,uwezo wa mchazaji kufunga,Ku assist, dribbling, n.k, mi ni shabiki wa Madrid lkn messi bado namuona ni mchezaji bora kwa karne hii
Kwa vigezo hivyo ulivyovitaja basi hapana shaka hiyo tuzo angestahili kupewa Adama Traore
 
Balloon d or inatolewa kibaguzi,kupendelea wachezaji wa timu za spain tu
Mpira huchezwa kweupe kila mmoja huona, Messi & Ronaldo wote si waspain ila uwezo wao hata takwimu uwanjani haukuwa na mashaka kwa kipindi kirefu, kwa nn useme kumekuwa na upendeleo!!!
 
Mpira huchezwa kweupe kila mmoja huona, Messi & Ronaldo wote si waspain ila uwezo wao hata takwimu uwanjani haukuwa na mashaka kwa kipindi kirefu, kwa nn useme kumekuwa na upendeleo!!!
Kama ni kwa takwim tu basi mwaka jana angepewa Kevin Debruyne
 
Makombe ya Ulaya hayakauki La Liga, ingawa ubora wake umeshuka kidogo kwa misimu miwili iliyopita
 
Hivi kuna anayeziogopa timu za Spain kwa sasa ?
 
Chelsea 2 - 0 R Madrid
Tuendelee na mjadala...
 
Kwanini useme eti kwa muda mrefu dunia imekua ikidanganywa wakati ulikua unaona mwenyewe timu hizo ndio zilizokua zina washiriki wengi katika makombe yote ya ulaya na kuyanyanyua kuliko timu za ligi nyingine
Sasa hapo vipi inasema dunia imekua ikidanganywa?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Pamoja na yote Barcelona bado ina ubora wake, iliyumba kidogo kwa matatizo ya kiutawala
Swala la ligi ni jambo la muda tu
Epl haitokuja kua bora zaidi ya la liga

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Umesoma andiko lote na kuelewa ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…