Mugabe one
JF-Expert Member
- Nov 15, 2016
- 2,327
- 1,683
SGR tz itakuwa Na faida TZ kutokana distance ya kutoka Dar hadi Mwz Na wengi wa miji mikubwa njiani mfano Moro, Dom, SGD, TBR, Khm, Shy lakini pia IPO miji mingi midogo midogo kama Kilosa, Manyoni, Itigi, Puge, Bukene, Isaka, Tinde, Maswa, Malampaka, MALYA, Sumve nk.Bidhaa zitakazosafirishwa sio lazima za viwandani Bali mifugio, mazao ya mashambani Na abiria