Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zamani kazi hii jlifanywa na walimu kwa welediHatari Sana!
mbona hilo swala lipo wazi baada ya sensa lazima watu wapgwe panga alaf kauli mbiu itakua uzalendoMimi ndio maana sikujisumbua kabisaaa. Mungu wangu alinijaalia kuyafahamu yajayo mapema na kwa taarifa yenu hata hizo pesa baada ya zoezi la sensa kuna watu watadhulumiwa.
Nchi za Afrika zimejaa magenge ya wahuni ,walevi na wezi?Rushwa iliyopo Tanzania inaurudisha uchumi nyuma vibaya mno. Wengi wa watumishi wa uma ni wala rushwa. Hufanyiwi chochotw kwenye ofisi ya uma bila kutoa kidogo. Hali hii hurudisha maendeleo nyuma maana huduma hazitolewi kwa wakati stahiki. Nakadiria asilimia tano ya pato la taifa linaishia kwenye rushwa. Hapa sizungumzii Ufisadi wa watu kuiba hela za serikali nazungumzia rushwa za kipolisi, mahakamani, ofisi za kata, ofisi za vijiji na kwenye halmashauri. Kwa ilivyokita mizizi kwenye system sijui kama itawezekana kuiondoa.
Mkuu lushoto washapigwa badala ya kupewa 50000 watapewa 45000 . Wakati maeneo mengine wamepewa 50000. Dah hii nchii hii. Mama Samia watu wanapiga hela huku kuwa mkali afu watu wakiharibu kazi mtalaumu?mbona hilo swala lipo wazi baada ya sensa lazima watu wapgwe panga alaf kauli mbiu itakua uzalendo
Kwakweli hawa watanzania hawakubali kushindwa kabisaa!!Mlitaka kila mtu apewe hiyo nafasi?
Hii si kweli Mkuu!!Nimeona hata wasiotuma maombi na wengine hawakufanyiwa usaili wamehudhuria semina!!!!
Mkuu maeneo mengine kama yapi? Ruvuma wote 40000 kwa siku zote 19 na sensa siku 6Mkuu lushoto washapigwa badala ya kupewa 50000 watapewa 45000 . Wakati maeneo mengine wamepewa 50000. Dah hii nchii hii. Mama Samia watu wanapiga hela huku kuwa mkali afu watu wakiharibu kazi mtalaumu?
Kwani huyo mtoto wa diwani hastahili kupata kazi kwa kuwa baba yake ni diwani?? Nafasi ni chache, waombaji ni wengi. Ni lazima wengine mkose tu hakuna namna. Hata ungepata wewe, wenzako wangelalamika pia kuwa umependelewa.Sisi wenye vigezo stahiki tumefanyiwa maagizo ya usaili hapa kata ya kivule wilaya ya Ilala na kufutiliwa mbali wakati namba 174. Yusuph Nyansika Getema (mtoto wa Diwani kata ya kivule) mwenye namba ya simu 0655 700 002 karani wa sensa ni miongoni wa wale watakaohudhuria sensa KESHO pale shule ya Sekondari minazi mirefu! Kumbe hii ni sensa ya watoto wa wanaccm wenye vyeo vyao ndani ya ccm na si sensa ya wananchi.
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema " chagueni mgombea atakaekidhi matarajio ya wananchi na si matarajio yako wewe mpiga kura -1995". Mchakato wote wa sensa umeghubikwa na rushwa na upendeleo wa viwango vya kutisha kwa kuwabeba watoto wa viongozi/watawala.
Sijafahamu kama ni maelekezo ya Mkuu wa wilaya ya Ilala, kamisaa wa Sensa Anna Semamba Makinda au n nini hasa?. Mimi wakati yule mama ananiuliza maswali ya kinafiki na kipumbavu kuwa "unaweza kufanya kazi sehemu yoyote utakayongiwa?. Nikajibu "ndyo" ila cha ajabu na cha kusikitisha alikuwa hana sehemu yoyote anayoandika jina au orodha ya majina ya wasaili kumbe kulikuwa ni kiini macho tu. Ninyi watawala, endeleeni kugawana nafasi za kila nafasi inayopatikana ila mwisho wenu unakaribia.
Naamini mama SAMIA SULUHU Hassan hajawatuma mjichague wenyewe na kuacha watu wengine Tena wenye sifa sinazostahili. Huyu kijana wa Nyansika Getama ni lazima achunguzwe ni kwa namna gani ameingizwa kwenye sensa hata Kama atakuwa na vigezo vinavyotakiwa na ni lazima ifahamike na kueleweka ni kwa nini wengine wenye sifa wameenguliwa bila hata maelezo! Ni usaili gani ambao Mkuu wa wilaya anauita watu waliofaulu usaili? Kulikuwa na usaili pale zaidi ya maigizo kumbe tayari mna majina tayari kwenye bahasha na suruali zenu?
Ukitaka kuthibitisha umaskini wa Watanzania fanya hesabu ya 50 × 25 = 1,250,000/=Mkuu maeneo mengine kama yapi? Ruvuma wote 40000 kwa siku zote 19 na sensa siku 6
Ukitaka kuthibitisha umaskini wa Watanzania fanya hesabu ya 50 × 25 = 1,250,000/=
Million moja laki mbili na hamsini elfu ndio kelele zote hizi.
Vijana tafuteni passport mkajae Marekani kama Waethiopia au Wanaigeria, huu ni ufukara.
Imagine pesa hiyo inawasumbuwa wasomi ni posho ya siku mbili tu ya kukalia viti vya bunge kwa mtu aliyeishia darasa la saba kama Kibajaj.
Kwahiyo mtoto wa Diwani Nyasika asifanyiwe nongwa hata yeye ana haki ya kupata connection.Ukweli Sensa bila connection huwezi kupata mchongo kirahisi, mimi sikuapply hizo kazi ila na dada yangu X alinipigia sim akaniuliza kama nili apply nikamwambia No. akaniuliza kama nitakua interested aniweke tena kitengo kizuri chenye pesa nikamwambia kzi Zimenibana. Hiyo dili nikampa mshikaji wangu yuko training now.
Wahitimu ni lazima waajiriwe?Ni vigumu sana haki kutendeka baada ya wahitimu kutoajiriwa kwa zaidi ya miaka mitano kutoajiriwa.Huko Busokelo mjukuu wangu kaitwa kwenye usaili kambiwa lete Kwanza kitambulisho cha nida ambacho hakuwa nacho lakini akawapa namba za nida ambazo walizikataa na mchezo ukaishia hapo.
Kwani sensa wanapata shilingi ngapi MkuuSio huko tu hata huku Maswa ni hivyo hivyo watu wamewekana tu wala hakuna cha USAILI.
Nchi ngumu sana hii kuna mmoja hata cheti.hana lakini kapata kisa anafanya kazi ofisi ya VEO.
Mwingine kaomba mahudhui, kwa kuwa mahudhui ni kwa ajili ya wakuu wa taasisi na wakuu wa shule kapelekwa kwenye ukarani ambako hakuomba. CONNECTIONS...