Next Level
JF-Expert Member
- Nov 17, 2008
- 3,153
- 180
Ahsante homuboi wa bwanaharusi mstaafu kwa kuturudisha kwenye mada!!
nimeoa lakini i will need one more woman!btw...wewe ni SHE?I CAN'T BELIEVE AISEE!
''...hw r you mshikiiiii samson?''
Kiuno kinahitaji lubrication kidogo kiongozi....na dada zangu wa hapa wamegoma kutoa msaada:confused2::confused2:...mgonjwa upo? unaendeleaje na dozi yako sipesho.....?
:focus:....issue at hand ilikuwa ''Naomba wana JF wanaofahamu mipaka ya Rais kuagiza matumizi ya fedha za umma wakati usiokuwa wa dharura (emergency) bila ya kupata idhini ya bunge watusaidie kumhabarisha Kibonde kupitia hapa'' shangaa watu wameshindwa kuorodhesha mipaka ya raisi kuhusu matumizi ya fedha za umma, wanatuletea ma name calling, mara yule mpumbavu, oooh hajui lile wala kile, mara Jahazi ooovyo......for all the shiiiiiiiit?
LOOONGE HOMIIIE!........mgonjwa upo? unaendeleaje na dozi yako sipesho.....?
:focus:....issue at hand ilikuwa ''Naomba wana JF wanaofahamu mipaka ya Rais kuagiza matumizi ya fedha za umma wakati usiokuwa wa dharura (emergency) bila ya kupata idhini ya bunge watusaidie kumhabarisha Kibonde kupitia hapa'' shangaa watu wameshindwa kuorodhesha mipaka ya raisi kuhusu matumizi ya fedha za umma, wanatuletea ma name calling, mara yule mpumbavu, oooh hajui lile wala kile, mara Jahazi ooovyo......for all the shiiiiiiiit?
Kiuno kinahitaji lubrication kidogo kiongozi....na dada zangu wa hapa wamegoma kutoa msaada:confused2::confused2:
Si unajua tena homuboi wa T? Watu wanasoma heading halafu wanachangia mada! Kwa hiyo mtoa mada kwa kutumia Jina "Kibonde" kwenye heading, na jinsi magriit sinkaz wanavyom-hate huyu bwana ndio mambo yalipofikia hapa!!!:mad2::mad2::mad2:
Miafrika Ndivyo Tulivyo:welcome::welcome:
mwanachemba,Wakuu Jatropha hakuja kumjadili mtu, alikuja kuibua uozo wa baadhi ya wsoma habari na Kibonde is one of them... Mada imepotoka baada ya watu kushindwa kukubaliana kutokukubaliana!!!
Teamo, huna haja ya kugeneralize kwamba wote ni great sinkers [aliyeleta mada kwamba wewe ni kibonde ni Mganyizi na wachache walioshambulia, si JF wote].... punguza hasira mkuu
we simply we discuss issue ya kibonde [i repeart issue ya kibonde, hatumdiskasi kibonde bali madudu yake]... kumbuka it is our right to provide proper infomration to voters who are very unfortunate kwasbabu ya umaskini, wachache sana wanajua ukweli wa mambo na kibonde anachangia kuwanyima haki waliyopewa na mungu, ANADANGANYA NA KUPOTOSHA WATU!!... wewe ni ndugu yangu na naamini unanielewa
Chamber member
...mgonjwa upo? unaendeleaje na dozi yako sipesho.....?
:focus:....issue at hand ilikuwa ''Naomba wana JF wanaofahamu mipaka ya Rais kuagiza matumizi ya fedha za umma wakati usiokuwa wa dharura (emergency) bila ya kupata idhini ya bunge watusaidie kumhabarisha Kibonde kupitia hapa'' shangaa watu wameshindwa kuorodhesha mipaka ya raisi kuhusu matumizi ya fedha za umma, wanatuletea ma name calling, mara yule mpumbavu, oooh hajui lile wala kile, mara Jahazi ooovyo......for all the shiiiiiiiit?
yaani wewe naona ''YOU REALLY HAVE SOMETHING IN YOUR BRAIN''...!habbbaaarr yako TATUUUUUUUUUUUUUUU?!..haya kamata hii:Waheshimiwa great thinkers.
Mimi napenda kuangalia hili suala la Kibonde kwa mtazamo tofauti kidogo. Kwanza nikiri kuwa mimi binafsi simjui Kibonde zaidi ya kujua kuwa ni mtangazaji wa Clouds na wakati mwingine ni mshereheshaji (MC) kwenye shughuli mbalimbali za kisiasa na kijamii. Kwa kumsikiliza kwenye kipindi cha jahazi ambacho huwa nakisikiliza mara kwa mara naamini kuwa huyu ndugu ni mshabiki wa CCM kwa ujumla na hasa mgombea wa CCM wa kiti cha urais (JK).
Yawezekana ni kweli kuwa Ndugu Kibonde haujui sawasawa mgawanyo wa madaraka baina ya vyombo mbalimbali vya kiserikali kama wengi wanavyodhani. Lakini pia yawezekana huyu bwana anajua vyema huu mgawanyo. Mimi ninaamini kuwa huyu bwana anaongea mambo anayoyasema kimkakati kwa madhumuni ya kisiasa zaidi. Na inawezekana kabisa kuwa amepewa tenda ya kufanya hivi na CCM au wagombea wengine.
La msingi ambalo mimi nadhani wapinzani wanaweza kufanya kwa sasa ni kujiuliza je ni watanzania wangapi hawajui mgawanyo wa madaraka wa vyombo vya serikali? Je ni watanzania wangapi kwa kutokujua kwao wana mtazamo kama wa Kibonde kuhusu mamlaka na uwezo wa rais wa kuamua matumizi ya pesa za umma bila ya kushirikisha bunge. Je haya Kibonde anayoongea kila siku kwenye vipindi vyake yana athari gani kwa wapiga kura?
Mimi naamini kuwa watanzania wengi (na hata wafanyakazi) ambao hawajui habari za mgawanyo wa madaraka na wanashangaa kusikia CHADEMA wanakata rufaa kuhusu ongezeko la mishahara ya wafanyakazi kutumika kama takrima kwa wafanyakazi ili wampigie kura mgombea wa CCM. Yawezekana kabisa Kibonde ni mmoja wao na anaongea kitu anachokiamini kabisa.
Ambacho wapinzani wa CCM wangefikiri kwa sasa ni jinsi gani watakabiliana na huu mtazamo potofu wa wakina Kibonde juu ya uwezo na mamlaka ya rais katika kuamua masuala ya bajeti na matumizi ya pesa za umma. Naamini wapinzani wana waelewa wazuri wa huu mgawanyo ambao wanaweza kueleza kwa ufasaha suala hili kwa wananchi ili waweze kuchagua pumba na mchele katika suala zima.
Kiuno kinahitaji lubrication kidogo kiongozi....na dada zangu wa hapa wamegoma kutoa msaada:confused2::confused2:
Si unajua tena homuboi wa T? Watu wanasoma heading halafu wanachangia mada! Kwa hiyo mtoa mada kwa kutumia Jina "Kibonde" kwenye heading, na jinsi magriit sinkaz wanavyom-hate huyu bwana ndio mambo yalipofikia hapa!!!:mad2::mad2::mad2:
Miafrika Ndivyo Tulivyo:welcome::welcome:
The Following 56 Users Say Thank You to Jatropha For This Useful Post:
Acid (31st August 2010), Akami (Today), AmaniGK (Yesterday), araway (Today), Aza (Yesterday), BabaDesi (Yesterday), bacha (Yesterday), BornTown (Yesterday), Bujibuji (Yesterday), Chakaza (Yesterday), Chimunguru (31st August 2010), Donard (Yesterday), ELNIN0 (Yesterday), EXECUTIVE (Yesterday), Fidel80 (Yesterday), Hekima Ufunuo (Yesterday), JAYJAY (Yesterday), joseph (Today), Kaitaba (Yesterday), Kilembwe (Yesterday), KIMICHIO (Yesterday), King of Kings (Yesterday), Kyachakiche (Yesterday), Lady (Today), Liz Senior (Yesterday), Maane (Yesterday), Mfwatiliaji (Yesterday), Mganyizi (Yesterday), Mkandara (31st August 2010), mkurugenzi1 (Yesterday), Msanii (Yesterday), Mtoboasiri (Yesterday), mTz (Today), Mugo"The Great" (Today), MwanajamiiOne (Today), MWANALUGALI (31st August 2010), Mwita Maranya (Yesterday), Mzalendohalisi (Yesterday), N-handsome (Yesterday), Next Level (Today), Njilembera (31st August 2010), Ntemi Kazwile (31st August 2010), Nyamizi (Yesterday), Nyumbu- (Yesterday), Nyunyu (31st August 2010), Positive Thinker (Yesterday), Richard (Yesterday), Safari_ni_Safari (Yesterday), Semilong (Yesterday), Shalom (Today), Silencer (Yesterday), Superman (31st August 2010), Tata (Today), Tonge (Yesterday), Tshala (Yesterday), Tusker Bariiiidi (Yesterday)
Thanks for bringing back mjadala, tuna wanasheria watatuhabarisha... tukishindwa tutamuandikia mshauri wa rais atufundishe, hivi na katiba inasemaje kuhusu mipaka ya rais na ya mgombea urais endapo anakua huyohuyo?
hehehehe!Au Bunge likivunjwa, waziri anaendelea na uwaziri wake? Manake katiba inasema Waziri ni lazima awe mbunge!!!
Kama hiyo haitoshi na wale mawaziri waliopigwa chini hatakwenye kura za maoni bado wanaendelea kuhodhi nyadhifa za uwaziri.... imekaaje hii?
Lemme check with Teamo, sore, Kibonde....Hii mada itanisaidia sana kukabiliana na adha ya foleni ya leo jioni wakati wa JAHAZI na Efremu Kibondee!!:welcome::welcome:
Mhhhh?!!!!! Kazi unayo.haters tena???? how?habarri zenu HATERS....?
naona mko wengi kidogo:
kazi mnayo ninyi bwanaMhhhh?!!!!! Kazi unayo.haters tena???? how?
Dah! Haya bana....................................kazi mnayo ninyi bwana