Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
Katika makundi yote hapo kundi ambalo sijawahi kuliamini ni kundi la 4.... Watumishi wa Umma... Yaani wapo wapo tu kama mazezeta!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namba 3 wamekazia muda si mrefu!Ushauri mkubwa unaostahili kuzingatiwa, ni huu,
" Kwa Mzee wangu Magu!
You need smart people wanaoweza kucheza huu mchezo. Achana na hao wanaokupaka mafuta kwa Mgongo wa Chupa. Nafasi bado unayo jipange vizuri."
Afanye juu chini awarudishe Team ya KINANA, JANUARY NA NAPE, hii team ilikuwa na kocha, linkman na scorer, walijua kucheza mechi zao , inteligently , well planned na precisely executed. Sio madebe matupu ya kelele nyingi.
Mzee Raisi, you need brains to work for you and not myscles
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndoto zinaruhusiwa.Sasaivi sidhani kama watakuwa na kazi kubwa maana mzungu ameonekana kuingia uwanjani. Statement za Ubalozi wa Marekani na Uingereza ni za kufikirisha sana.
Umepata press release ya US Embassy leo???Ndoto zinaruhusiwa.
Makundi yote yameapa kulipa kisasi kutoa kipigo.Ukiona kobe kainama ujue anatunga sheria. Kati ya sehemu anbazo mzee alikosea ni kulidharau hili kundi. Waliokuwa wanalijali hawakuwa wajinga walijua kwenye uchaguzi ni Kundi muhimu
Hata hii nguvu waliyokuja nayo wapinzani si jambo la kupuuzaSasaivi sidhani kama watakuwa na kazi kubwa maana mzungu ameonekana kuingia uwanjani. Statement za Ubalozi wa Marekani na Uingereza ni za kufikirisha sana.
Auziki soko la ndani wala kimataifaSioni CCM wakishinda dhidi ya huu mchanganyiko. Labda wabadirishe mbeba bendera kuwakilisha chama
Ukishaguswa maslai ya USA lazima wakutoe wanna njia zaidi ya Mia,hizi za ban rasharasha tuWanasubiri mbekeko ya dora vinginevyo ni hatari kwao kuangushwa na hayo makundi tajwa hapo juu.
Ukiwasubiri akina Bia Yetu, Mudawote, Coccochanel, Magonjwamtambuka, Stroke, Rejao,USSR, Simiyu Yetu na wengine wengi!
Hahahahahahaaaaaaaaaaa.hilo kundi la 5 halijitambui
Usiwasahau wakulima wa mbaazi,korosho nk,pia wafugaji kuanzia Ihefu,mapori yote ya akiba nk,wafanyabiashara waliofilisiwa na tra,matching guys nao hawakusalimika,wavuvi kwa ujumla wao na wahitimu waliokosa ajira na wale wanufaika wa bodi ya mikopo ya elimu ya juu kudaiwa 15%+ pretension fees badala ya 7%.Amani iwe kwenu !
Natumai wote mu wazima na mnaendelea vizuri na majukumu yangu.
Kama kawaida yangu kazi yangu ni kuangalia na kuonya ivyo Leo napenda niseme kwa macho yangu naona CCM anapambana na nani hasa kwenye uchaguzi wa mwaka huu??
Kwa maoni yangu katika mwaka huu CCM anapambana na watu wafuatao!
1. Wapinzani
Hawa kila mtu anawajua. Ni vyama pinzani ambavyo nao majukumu yao ni kushika dola. Wao ni maadui wanaoonekana na wanajulikana hasa kwa CCM
2. Watu wa System wasioridhishwa na mwenendo wa JPM
Hawa ni watu hatari zaidi. Hili ndo kundi linaloongozwa na kina Kigogo. Kuna watu wanadhani kigogo wa Twitter ni mtu mmoja ila la hasha. Kwa mtazamo wangu hawa ni mjumuiko wa watu very smart within the system ambao hawarudhishwi na jinsi nchi inavyoenda.
Hawa ni watu wenye akili sana na wanajua kila move wanayoifanya na wanajua wanafanya nini ili wapate nini.
CCM kuweni makini sana na hawa watu
3. Western World.(Mabeberu kwa lugha ya vijana wa Lumumba)
Hawa ingawa Ccm wanawajua ila hawajui wamepanga nini. Hawa ni watu smart zaidi kuliko kundi la pili tajwa hapo juu. Hawa wanajua kupanga. Wanajua kila kitu kinachoendelea nchini na serikalini na hata pia ikulu. Siku zote Ccm walikuwa wanajua kuishi kinafiki na kundi hili ila bahati mbaya sasa wameshindwa kuishi nao kinafiki ivyo kupelekea hili kundi kuamua kuanza kupiga simu maaana kwa awamu hii wameshabipiwa saana na serikali ya awamu ya tano.
4. CCM Asili
Hili ni kundi pia linalojulikana ila limebanwa sana. Hawajui watoke vipi ila wakipata nafasi tu wametoka. Hawa hawapatani kabisa na mzee Magu na wanaona ilikuwa bahati mbaya sana mzee Magu kuchukua usukani. Hawa wanasubiri tu support kutoka kwa kundi namba 2 na 3 na wakipata nafasi wamemaliza
5. Watumishi wa Umma
Hawa ni watu waliojeruhiwa sana na awamu hii. Ni miaka 4 sasa hawajaona nyongeza ya mishahara na kwa sasa wako tayari kufanya kazi na yeyote atakaeonesha anaweza kuwasikiliza mahitaji yao.
Wito
CCM kati ya Mwaka mnaotakiwa kuwa makini na kujiandaa kwa lolote ni mwaka huu!
Kwa Mzee wangu Magu!
You need smart people wanaoweza kucheza huu mchezo. Achana na hao wanaokupaka mafuta kwa Mgongo wa Chupa. Nafasi bado unayo jipange vizuri.