Lambardi
Platinum Member
- Feb 7, 2008
- 18,813
- 21,830
Shein anatokea Pemba!!! Acha zako!!
Prof Makame Mbarawa atakuwa Rais kwa sababu moja kuu anatokea Pemba ambako hawajawahi kutoa Rais wa SMZ. Hivyo Mbarawa atawaongezea CCM ushindi kuleni Kisiwani Pemba!