Uchaguzi 2020 Uchaguzi 2020 Zanzibar: Prof. Mbarawa vs Dr. Mwinyi, nani namba zinambeba?

Uchaguzi 2020 Uchaguzi 2020 Zanzibar: Prof. Mbarawa vs Dr. Mwinyi, nani namba zinambeba?

Prof Makame Mbarawa atakuwa Rais kwa sababu moja kuu anatokea Pemba ambako hawajawahi kutoa Rais wa SMZ. Hivyo Mbarawa atawaongezea CCM ushindi kuleni Kisiwani Pemba!
Shein anatokea pemba pia
 
Kwan Mlitarajia Uncle Magu Atakuja Kuwa rais...???

Life La Kibongo Halielewek Hili Jaman....!!!!!

Katiba Inaweza Kupinduliwa Jamaa Wakajiongezea Mihula Mingine Ya Urais
 
Wasalaam, habari za chini chini zinaeleza kwamba kuna kundi la wanaccm wameweka mikakati kumpitisha bila kupingwa Waziri Mwinyi kugombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM.

Kwa upande wa Dr. Mwinyi, tetesi zinasema yeye binafsi hana mpango wa kugombea kiti hicho japo amekuwa akishawishiwa na watu wazito ndani ya CCM. Aidha kundi hilo lenye ushawishi mkubwa bara na visiwani limepanga kumshirikisha mzee Mwinyi kama kiungo katika mchakato huo.

Tusubiri hiyo 2020 panapo uhai inshaallah Tetesi hizi zitapata majibu kamili
 
Siti ya mbele
Wasalaam, habari za chini chini zinaeleza kwamba kuna kundi la wanaccm wameweka mikakati kumpitisha bila kupingwa mh waziri mwinyi kugombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ccm.

Kwa upande wa dr mwinyi, tetesi zinasema yeye binafsi hana mpango wa kugombea kiti hicho japo amekuwa akishawishiwa na watu wazito ndani ya ccm. Aidha kundi hilo lenye ushawishi mkubwa bara na visiwani limepanga kumshirikisha mzee mwinyi kama kiungo katika mchakato huo.

Tusubiri hiyo 2020 panapo uhai inshaallah Tetesi hizi zitapata majibu kamili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna uwezekano kabisa Rais wa Zanzibar mwaka kesho 2020 akatokea miongoni mwa hawa bila pia kumsahau makamu wa pili wa Rais Zanzibar ambaye jina limenitoka.

Unadhani miongoni mwa watano hawa ni nani kumrithi Dr Shein?
 
Kumbe professor mbarawa ni mzanzibar 😨😨😨
 
Shamsi Vuai Nahodha nae anafukuza Mwizi Kimya kimya

Mbarawa Ni Mpemba hivyo kwa Wahafidhina wa Unguja wanamuona Kama Hizbu

Shein Mwenyewe alipita kwa ujanja Na kona kona Za Mkwere 2010 ili kuvunja Mwiko wa Mpemba Kuwa hawezi Kuwa Rais wa Znz
 
Kama tunavyojua kuwa 2020 Dr Shein atakuwa anafikia muhula wake wa mwisho wa uongozi visiwani Zbar, kinyang'anyiro cha kumpata mrithi wake kinaweza kikatawaliwa na 'wababe' hawa wawili yani Dr Mwinyi na Prof Mbarawa.

Sasa nimekuja kwenu wachambuzi wa maswala ya siasa mtoe uchambuzi wenu kuwa nani namba zinambeba na nani kati ya hawa wawili anaweza kuibuka kidedea?

Karibuni.
Rais wa Zanzibar anachaguliwa Dodo a Tena na Mwenyekiti wa Chama ambaye safari Hii ni JPM.

Very possible Samia ataukwaa Urais ZNZ the Mwinyi atakuwa Vice President TZ.
 
Prof Makame Mbarawa atakuwa Rais kwa sababu moja kuu anatokea Pemba ambako hawajawahi kutoa Rais wa SMZ. Hivyo Mbarawa atawaongezea CCM ushindi kuleni Kisiwani Pemba!


Hata Shein anatoka Pemba
 
Back
Top Bottom