Uchaguzi 2020 Uchaguzi 2020 Zanzibar: Prof. Mbarawa vs Dr. Mwinyi, nani namba zinambeba?

Uchaguzi 2020 Uchaguzi 2020 Zanzibar: Prof. Mbarawa vs Dr. Mwinyi, nani namba zinambeba?

Tume ya uchaguzi inaamua nani awe rais.
Kwa maoni yangu Mbarawa ni mtendaji mzuri sana ila kama tunazungumzia urais, Mwinyi anaweza kufaa japo hajafanya kitu cha kuonekana kumbeba kiasi kikubwa zaidi ya kuwa mkimya na mtulivu.
 
Rais wa Zanzibar anachaguliwa Dodo a Tena na Mwenyekiti wa Chama ambaye safari Hii ni JPM.

Very possible Samia ataukwaa Urais ZNZ the Mwinyi atakuwa Vice President TZ.
Kwa tanzania sio rahisi huyo mwinyi aje kuwa rais wa Tanzania,hatuna hayo mambo ya kurithishana kutoka kwa baba kwenda kwa mwana.na ukiwa hivyo kutakuwa na misuguano sana hata ndani ya chama.
Na samia sio rahisi kuwa rais wa zanzibar sababu ni mwanamke
 
Mwanamke hawezi kuwa rais Zanzibar, kumbuka waislamu hawaamini kuongozwa na mwanamke

Sent using Jamii Forums mobile app
Si kweli ingekuwa hivyo Mama Samia asingepata ushirikiano mkubwa na heshima katika Serikali ya Muungano na akisimamia masuala ya muungano.

Angalia Tamthilia ya "Resurruction - Ertugu", pale Hayme, mama wa Kiislam alipoongoza kwa ujasiri ukoo wake wa Kayi baada ya mumewe Suleiman Shah kufariki.

Nani atakuwa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, wako wengi, na mchakato wa uteuzi utakapofika, atapatikana anayefaa katika watakao jitokeza. Hao wanaotajwa kwenye bandiko hili wanazo sifa, ila swali ni je, watachukua fomu za kuomba kuteuliwa?
 
Kwa tanzania sio rahisi huyo mwinyi aje kuwa rais wa Tanzania,hatuna hayo mambo ya kurithishana kutoka kwa baba kwenda kwa mwana.na ukiwa hivyo kutakuwa na misuguano sana hata ndani ya chama.
Na samia sio rahisi kuwa rais wa zanzibar sababu ni mwanamke
Sijasema Mwinyi atakuwa Rais wa TZ bali Makamu.

Kuhusu Samia, kuna kila dalili Mkulu anatafuta pa kumdump. And the only place to dump her is Zanzibar...!!
 
Prof Makame Mbarawa atakuwa Rais kwa sababu moja kuu anatokea Pemba ambako hawajawahi kutoa Rais wa SMZ. Hivyo Mbarawa atawaongezea CCM ushindi kuleni Kisiwani Pemba!
Acha bana,mbona Shein naye anatokea Pemba mkuu??
 
Shamsi Vuai Nahodha nae anafukuza Mwizi Kimya kimya

Mbarawa Ni Mpemba hivyo kwa Wahafidhina wa Unguja wanamuona Kama Hizbu

Shein Mwenyewe alipita kwa ujanja Na kona kona Za Mkwere 2010 ili kuvunja Mwiko wa Mpemba Kuwa hawezi Kuwa Rais wa Znz
Nahodha atasubiri sana labda figisu zitumike
 
Prof Makame Mbarawa atakuwa Rais kwa sababu moja kuu anatokea Pemba ambako hawajawahi kutoa Rais wa SMZ. Hivyo Mbarawa atawaongezea CCM ushindi kuleni Kisiwani Pemba!

dr shein anatokea pemba ndugu.. get your facts right


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kama tunavyojua kuwa 2020 Dr Shein atakuwa anafikia muhula wake wa mwisho wa uongozi visiwani Zbar, kinyang'anyiro cha kumpata mrithi wake kinaweza kikatawaliwa na 'wababe' hawa wawili yani Dr Mwinyi na Prof Mbarawa.

Sasa nimekuja kwenu wachambuzi wa maswala ya siasa mtoe uchambuzi wenu kuwa nani namba zinambeba na nani kati ya hawa wawili anaweza kuibuka kidedea?

Karibuni.
Zamu ya Mwanamke, ni nani ? kwa Leo tuliweke kwenye mabanano ( ..) muda utaongea. Mark my words. Tukutane 2020
 
Tume ya uchaguzi inaamua nani awe rais.
Kwa maoni yangu Mbarawa ni mtendaji mzuri sana ila kama tunazungumzia urais, Mwinyi anaweza kufaa japo hajafanya kitu cha kuonekana kumbeba kiasi kikubwa zaidi ya kuwa mkimya na mtulivu.
Zanzibar haitakaa ipewe rais mwenye makeke ya utendaji. Atatusumbua.
 
Kama tunavyojua kuwa 2020 Dr Shein atakuwa anafikia muhula wake wa mwisho wa uongozi visiwani Zbar, kinyang'anyiro cha kumpata mrithi wake kinaweza kikatawaliwa na 'wababe' hawa wawili yani Dr Mwinyi na Prof Mbarawa.

Sasa nimekuja kwenu wachambuzi wa maswala ya siasa mtoe uchambuzi wenu kuwa nani namba zinambeba na nani kati ya hawa wawili anaweza kuibuka kidedea?

Karibuni.
 
Dr Mwinyi namba zake zinasomeka vizuri
Mwinyi ana busara na hekima sana,sijui ya sirini.Sijawahi kusikia kashfa yeyote inayomhusika,sijamsikia akipayuka,sijawahi kusikia kwamba ni fisadi,oh my,he is just too good.Wanzanzibari Dr.Mwinyi should be there choice in 2020.
 
Familia ya karume imeshatiwa doa na shangazi. Ali Karume havuki fitina za pale Dodoma. Hili koloni ipo siku tutawateuliwa gavana mtanganyika kabisa.
Umemaliza bro.Tujadili mengine siyo unafiki kuchagua gavana wa Zanzibar.
 
Mwinyi ana busara na hekima sana,sijui ya sirini.Sijawahi kusikia kashfa yeyote inayomhusika,sijamsikia akipayuka,sijawahi kusikia kwamba ni fisadi,oh my,he is just too good.Wanzanzibari Dr.Mwinyi should be there choice in 2020.
Zanzibar haihitaji rais(gavana) mchapa kazi, bali mtiifu, msikivu, na anayeweza kuendesha siasa za kibaguzi.
 
Lwni
Prof Makame Mbarawa atakuwa Rais kwa sababu moja kuu anatokea Pemba ambako hawajawahi kutoa Rais wa SMZ. Hivyo Mbarawa atawaongezea CCM ushindi kuleni Kisiwani Pemba!
Kwani Mohammed Shein anatoka wapi? Usionge kitu usichokijuaa, Mkuu
 
Back
Top Bottom