Sadock Kabuko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2013
- 1,166
- 1,075
Haaaa haaa atawanyosha huko watazimia woteHahaha hata mimi naunga mkono Makonda akawe rais wa Zanzibar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaaa haaa atawanyosha huko watazimia woteHahaha hata mimi naunga mkono Makonda akawe rais wa Zanzibar
Huyu Mpemba mkuu, Dr Mwinyi kaaandaliwa miaka mingi tutafanya kama KarumeKmbe mbarawa wa zanzibar
hivi wewe nae ni Mtanzania? Aisee tuna kazi kubwa sana. Yaani hujawahi kujua DrShein ni MpembaProf Makame Mbarawa atakuwa Rais kwa sababu moja kuu anatokea Pemba ambako hawajawahi kutoa Rais wa SMZ. Hivyo Mbarawa atawaongezea CCM ushindi kuleni Kisiwani Pemba!
Shikamoo Jecha S. Jecha...Jecha S Jecha itapendeza zaidi
Hahahahaaaaaaa, mkuu vipi? Kiongozi kaamua walau kufanya kautafiti kuona mtandaoni hawa wawili wakishindanandani ya CCM nani atapendekezwa. Lakini bado akishapita kuna uchaguzi kati ya CCM na upinzani. Hivyo wewe mpe jibu kwanza la swali lake!!!Umetumwa? Mitihani ya chuo umemaliza? Acha upuuzi dogo. Pigania maisha yako.
Shame upon you!! Shein ni MpembaProf Makame Mbarawa atakuwa Rais kwa sababu moja kuu anatokea Pemba ambako hawajawahi kutoa Rais wa SMZ. Hivyo Mbarawa atawaongezea CCM ushindi kuleni Kisiwani Pemba!
inaonekana huwajui wazanzibari walau kidogoInabidi Rais wa Zanzibar sasa sera iliopo lazima apikwe bara ndio awe Rais wa Zanzibar wazanzibar hawawezi kutoa Rais wao wenyewe. Watu wa bara mnawachagulia Rais
Mwinyi kiongozi wa tofauti hufanya kazi zake bila kukurupuka ni kiongozi wa mfanoKama tunavyojua kuwa 2020 Dr Shein atakuwa anafikia muhula wake wa mwisho wa uongozi visiwani Zbar, kinyang'anyiro cha kumpata mrithi wake kinaweza kikatawaliwa na 'wababe' hawa wawili yani Dr Mwinyi na Prof Mbarawa.
Sasa nimekuja kwenu wachambuzi wa maswala ya siasa mtoe uchambuzi wenu kuwa nani namba zinambeba na nani kati ya hawa wawili anaweza kuibuka kidedea?
Karibuni.
Kwani shein anatokea wapi?!Prof Makame Mbarawa atakuwa Rais kwa sababu moja kuu anatokea Pemba ambako hawajawahi kutoa Rais wa SMZ. Hivyo Mbarawa atawaongezea CCM ushindi kuleni Kisiwani Pemba!
Unautia najisi uzi wa watu!
hivi hii Wizara yake yupo tangu lini? panga pangua ikipita ametulia palepale.Mwinyi kaandaliwa kuja kuwa rais visiwani
Ndio maana alihama toka mbunge wa jimbo la kisarawe na kuhamia kohani unguja.
Ulishwahi muona sijui mwinyi akijisumbua kuhangaika kuchukua fomu za uteuzi wa urais wa SMZ ama SMT...???
Jibu ni moja tu nalo ni kuwa yeye habahatishi anandaliwa na system na ndio system itamwambia lini na wakati gani achukue fomu na akishachukua fomu ni moja kwa moja "tunachukua tunaweka waaaaahh"
Nifahamishe wakojeinaonekana huwajui wazanzibari walau kidogo
Tangu enzi ya mkapahivi hii Wizara yake yupo tangu lini? panga pangua ikipita ametulia palepale.
Kwa pemba hata akae nani ndugu ccm hawana kura watabaki kutumia nguvu nyingi na kujaza malor watu ili waende kwenye zogo lkn kwa kura hasa ccm kwa pemba noooo.Prof Makame Mbarawa atakuwa Rais kwa sababu moja kuu anatokea Pemba ambako hawajawahi kutoa Rais wa SMZ. Hivyo Mbarawa atawaongezea CCM ushindi kuleni Kisiwani Pemba!