Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Wote wawili Mwinyi na Mbarawa ni waislamu, na siku zote watu wa dini hii ni waungwana, hata siku moja huwezi kusikia wanamuita anayewazidi umri 'mpumbavu' au 'mjinga' kama marais wakristo wenzangu wanavyorudia hii hulka mbovu ya kiburi.
Namuona Mbarawa akiwa anafaa zaidi kuliko Mwinyi, Mbarawa anaweza kuongea kwa sauti yenye mamlaka na ikaheshimika. Mwinyi namuona kama ni wa ofisi zaidi, asiyependa mikwaruzano.
Mbarawa amekuwa mtu wa field kuliko Mwinyi na jambo hilo limemuwezesha kuzijua hulka za wasaidizi wake, hivyo anaweza kuwa na mpango mkakati wa kikazi wenye kuheshimiwa na taifa.
Namuona Mbarawa akiwa anafaa zaidi kuliko Mwinyi, Mbarawa anaweza kuongea kwa sauti yenye mamlaka na ikaheshimika. Mwinyi namuona kama ni wa ofisi zaidi, asiyependa mikwaruzano.
Mbarawa amekuwa mtu wa field kuliko Mwinyi na jambo hilo limemuwezesha kuzijua hulka za wasaidizi wake, hivyo anaweza kuwa na mpango mkakati wa kikazi wenye kuheshimiwa na taifa.