Pre GE2025 Uchaguzi 2025 CCM vs CHADEMA, Samia Suluhu vs Tundu Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Maridhiano, uvumilivu, mabadiliko na ujenzi mpya wa nchi

Miradi mingi kila sekta mikoa yote kunamabadilko na maendeleo

Ninyi Chadema mmeomba maandamano mmepewa, wananchi wameomba maendeleo mama kawapatia
Kwa kweli maana umeme mpaka wa kumwaga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Maridhiano, uvumilivu, mabadiliko na ujenzi mpya wa nchi

Miradi mingi kila sekta mikoa yote kunamabadilko na maendeleo

Ninyi Chadema mmeomba maandamano mmepewa, wananchi wameomba maendeleo mama kawapatia
Kama umeme tuu unamshinda, bei ya sukari imeshamponyoka inamshinda. Atakiweza nini jamaniiiiii. Watu wanafumba macho wanaacha yabomoke
 
Niameona kwenye ulimwengu wa Roho, Raisi atakuwa mwanaume atatoka ndani ya ccm siyo chadema.
 
Huyo mama siyo Raisi tena! Mbona hamelewi
 
Naona bandiko limekaa ki-opposition research hivi. Kama vile kuna watu wanataka kujua kete kuu za CHADEMA 2025: mgombea uRais, ajenda na hoja kuu zitakazotikisa majukwaani, n.k.

Tuseme safari hii CHADEMA wamejificha sana kiasi kwamba timu ya Mama imepata homa na kuanza kutuma wanaa kufanya uchokonozi wa hapa na pale kutafuta info?

Anyway ngoja tusome comments labda na sisi tutaambua kitu kuhusu mkakati wa uchaguzi wa CHADEMA. Kwa CCM mambo yako wazi: mgombea ni SSH. Mkakati muhimu wa ushindi ni legacy ya JPM ya kusikiliza na kutatua kero za wanyonge papo kwa papo via Bashite. Lukasi na johnthebaptist ndio magwiji wa PR ya chama twawala hapa JF. Well, the stage is partially set, so, let’s get it on (MG).
 
Sio lissu tu hata tusipoweka mgombea ikawekwa kura ya ndio na hapana I doubt Samia anaweza pata hata 40%.
Ha ha.

Mkuu, katika Ubora wako.

Kiuhalisia, wneye Interest zao pamoja na makeke yote ya Uwekezaji-Billion of Dollars. Ni lazima wapewe Guarantee za Investments zao. Sidhani kama Tundu Lissu fits the category of Guarantors

Rais Samia alishatoa Guarantee hiyo, kwa kufanya efforts nyingi alizofanya, including, the systematic efforts to undermine and reduce the effectivness ya 2017 Maliasili/Rasilimali bill zishafanyika, hiyo kwa maoni yangu inatoa guarantee.

Junior hata asigombee, ashaweka Guarantee hiyo,itoshe the Elections war Chest is very healthy (40%+Elections Chest)kwa wale wenye Ujasiri wa kuendeleza sera za wenye Interest na mabilioni yao.

Question is, TL anaweza kutoa Guarantee hiyo? Sidhani. Maybe mbowe. Sasa huko ndiko tunaweza kuona mifarakanyo. Na ndio nashikia bango, CHADEMA should lay out their Policy agendas na sio kudandia dandia tu headlines kutafuta umaarufu, ili wenye mahela yao wakae bila mashaka.
 
Sio lissu tu hata tusipoweka mgombea ikawekwa kura ya ndio na hapana I doubt Samia anaweza pata hata 40%.
Kama huku kanda ya ziwa ndiyo hatutaki kumsikia kabisa na HATUDANGANYIKI na ujio wa Makonda na Biteko, hatumtaki hatumtaki hatumtakiiiiiii
 
Jaman kuna mda tukubali lissu anakubalika hata mwenyew nimeamini baada ya kufanya upigaji kura twitter (poll). Na matokeo yakawa kama hapo chini
 

Attachments

  • Screenshot_20250128-103836_1.jpg
    95.8 KB · Views: 2
  • Screenshot_20250128-103836_1.jpg
    95.8 KB · Views: 2
Bad news twitter user hawaakisi uhalisia wa number ya wananchi waliokuwa ground
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…