Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchaguzi wa 2025 napiga kura na Kuilinda kuhakikisha inatangazwa palepale kituoni.
#KataaWahuni
Uchaguzi wa 2025 napiga kura na Kuilinda kuhakikisha inatangazwa palepale kituoni.
#KataaWahuni
ni kinyume na Sheria ya uchaguzi,utashughulikiwa kwa mujibu wa Sheria. Tafuta mbadala wa hilo itasaidia Taifa.Uchaguzi wa 2025 napiga kura na Kuilinda kuhakikisha inatangazwa palepale kituoni.
#KataaWahuni
Hiyo ndio solution.ni kinyume na Sheria ya uchaguzi,utashughulikiwa kwa mujibu wa Sheria. Tafuta mbadala wa hilo itasaidia Taifa.
Unalinda kura ya nini wakati una imani na tume ya uchaguzi? Au unataka kuhatarisha amani ya nchi?Uchaguzi wa 2025 napiga kura na Kuilinda kuhakikisha inatangazwa palepale kituoni.
#KataaWahuni
Kwani kila siku tunapoilalamikia na nyie kusema tume iko huru huwa iko wapi?Tume Iko Dodoma matokeo yako kijijini huku.
Alichomaanisha ni kwamba, anza kushughulikia mambo muhimu kwanza! Kama ukipambana na kupata tume huru na ya haki HAUTAPOTEZA MUDA WAKO KULINDA KURA YAKO! Ukiachilia mbali tume, yapo mengi muhimu ya kushughulikia ili tuwe na uchaguzi mzuri mfano katiba nkTume Iko Dodoma matokeo yako kijijini huku.
Nijuavyo mimi wakati wa uchaguzi tume ya uchaguzi huwa inatoa matokeo yote kituoni kwa kubandika fomu ya matokeo pale pale kituoni lakini haiwezi kutangaza mshindi hadi majumuisho ya kura zote kufanyika kufanyika ndipo inamtangaza mshindi. sasa sijui wewe unamaanisha kuwa utakua unalinda kura gani?Uchaguzi wa 2025 napiga kura na Kuilinda kuhakikisha inatangazwa palepale kituoni.
#KataaWahuni
Alichomaanisha ni kwamba, anza kushughulikia mambo muhimu kwanza! Kama ukipambana na kupata tume huru na ya haki HAUTAPOTEZA MUDA WAKO KULINDA KURA YAKO! Ukiachilia mbali tume, yapo mengi muhimu ya kushughulikia ili tuwe na uchaguzi mzuri mfano katib
lazima aelewe pia katika kituo cha kupigia kura kuna mawakala wa vyama vya siasa ambao wapo kisheria na wameteuliwa na vyama vyao vya siasa kwaajili ya kuwawakilisha mgombea wa chama chake siku ya uchaguzi.kama ni ulinzi wa kura wakala ndie mlinzi namba moja na si vinginevyoni kinyume na Sheria ya uchaguzi,utashughulikiwa kwa mujibu wa Sheria. Tafuta mbadala wa hilo itasaidia Taifa.
na wakala afanye kazi gani?Uchaguzi wa 2025 napiga kura na Kuilinda kuhakikisha inatangazwa palepale kituoni.
#KataaWahuni