UCHAGUZI 2025: Nitapiga Kura na Kuilinda

UCHAGUZI 2025: Nitapiga Kura na Kuilinda

Watanzania tuungane sote kuyaondoa hayo mafisadi yaliyoiteka ikulu yetu.
 
Mpiga Kura sio Polisi. Piga kura rudi nyumbani vinginevyo utawataka ubaya wenye dhamana ya ulinzi na usalama kwa sababu kwa kusema unalinda kura utakuwa unavunja sheria. Take care.
 
Uchaguzi wa 2025 napiga kura na Kuilinda kuhakikisha inatangazwa palepale kituoni.

#KataaWahuni
Mimi nadhani lamsingi saana uhamasishe watu kwanza wajitokeze kupiga kura halafu hayo mengine yaachie mawakala wetu ambao wameaminiwa na vyama vyetu vya siasa. Vinginevyo tutatafuta lawama na walinzi wa amani tu. Hakikisha unakadi ya Mpiga kura, na unajitokeza kupiga kura.
 
Nakumbuka hiyo kesi ilishapatiwa majibu mahakamani na kuelezwa kuwa mpiga kura akishamaliza kupiga kura anatakiwa kwenda nyumbani na siyo kusubiria matokeo kituoni so kwa maana hiyo nashauri kufuata sheria,kanuni na taratibu zilizowekwa za uchaguzi na ikishindikana kabisa ni bora kufuata utaratibu wa kisheria juu ya hilo jambo ili kuepuka kuvunja sheria kitu ambacho kinaweza kugharimu usalama wa nchi
 
Tume Iko Dodoma matokeo yako kijijini huku.
Benki kuu iko Dar es salaam lakini huduma za kifedha zipo mpaka vitongojini mrah! Hata hapo kijijini kwako tools za wasimamizi wa shughuli zote za serikali na zisizo za serikali zipo!
 
Uchaguzi wa 2025 napiga kura na Kuilinda kuhakikisha inatangazwa palepale kituoni.

#KataaWahuni
ushawahi kupigwa ngoko zako hizo na kitako cha Sub machine Gun. 😀 😀 Mi nafikiri ungesema bila Tume huru ya Uchaguzi na Katiba mpya hutapiga kura 2025 hapo ungekuwa umenena jambo la busara.
 
na wakala afanye kazi gani?
Wabongo hatupendi kusoma na kuelewa taratibu zinazogovern issues. Na ndio tunapigwa hapo kwasababu ya uvivu wa kusoma na kuelewa mambo. Una wakala yupo kisheria wewe unakurupuka kusema unalinda kura. Utalinda vituo vingapi? Kwanza mwizi wa kuiba kura yukwapi?
 
Uchaguzi wa 2025 napiga kura na Kuilinda kuhakikisha inatangazwa palepale kituoni.

#KataaWahuni
Azingatie Sheria na kanuni na maelekezo ya Uchaguzi. Wakala wa Chama chake cha Siasa kisheria, kikanuni na maelekezo ya uchaguzi ndiye anayetabulika kuhesabu, kujumlisga na Linda maslahi ya chama na mgombea wake.
 
ushawahi kupigwa ngoko zako hizo na kitako cha Sub machine Gun. 😀 😀 Mi nafikiri ungesema bila Tume huru ya Uchaguzi na Katiba mpya hutapiga kura 2025 hapo ungekuwa umenena jambo la busara.
Tukiwa million 5 tu hawatuwezi
 
Azingatie Sheria na kanuni na maelekezo ya Uchaguzi. Wakala wa Chama chake cha Siasa kisheria, kikanuni na maelekezo ya uchaguzi ndiye anayetabulika kuhesabu, kujumlisga na Linda maslahi ya chama na mgombea wake.
Wagombea wenyewe hawajiheshimu Wala kufuata utaratibu.
 
Uchaguzi wa 2025 napiga kura na Kuilinda kuhakikisha inatangazwa palepale kituoni.

#KataaWahuni
Huu ujinga nilishaukataa, yaani nikae foleni nikupigie kura wewe ukale? Bora ule nikijua kabisa sikupiga kura.
 
Back
Top Bottom