Uchaguzi BAWACHA: Majina ya waliorejesha fomu za kugombea uongozi haya hapa

Uchaguzi BAWACHA: Majina ya waliorejesha fomu za kugombea uongozi haya hapa

Si kweli. Mbona uchaguzi wa mwenyekiti wa chama hakukua na neno kaimu.

Au wanaogopa usaliti mwingine ndo maana wameweka kaimu ili asipate madaraka yote kama mdee
Atakua kamili baada ya uchaguzi kuisha
 
Kwa hawa wanawake ni tofauti mwenyekiti atakaye chaguliwa awepo asiwepo atakua na madaraka nusu
Yaani kama Mbowe yuko Dubai kwa sasa Salumu Mwalimu ndio kaimu mwenyekiti wa Chadema haiitajiki uchaguzi katika hilo!
 
Si kweli. Mbona uchaguzi wa mwenyekiti wa chama hakukua na neno kaimu.

Au wanaogopa usaliti mwingine ndo maana wameweka kaimu ili asipate madaraka yote kama mdee
Hapana sivyo unavyofikiri
 
Atakua kamili baada ya uchaguzi kuisha
Hapo mleta taarifa anaonyesha hujui au amechanganya kati ya Naibu na Kaimu.

Huwezi kuchagua mtu kwa ajili ya kukaimu nafasi fulani. Atakayechaguliwa hapo atakuwa Naibu na wala siyo Kaimu.
 
Vyeo:
KAIMU Mwenyekiti na KAIMU MAKAMU Mwenyekiti. Then Katibu Mkuu na NAIBU Katibu Mkuu

Na hii ni kwa mujibu wa Katiba ya Chama🙂
 
Hiki chama kina vituko, Sasa nafasi ya kaimu toka lini ikafanyiwa uchaguzi?
 
Kwa sababu kesi ipo mahakamani, wametumia busara
Maana ya neno kaimu ni kushika nafasi ya mtu hadi pale nafasi hiyo itakapojazwa rasmi. Nimefikiria pia hapo ila labda ndivyo katiba inasema hatujui.
 
Kwa sakata hili la kumpakazia kifo Rais wa Jamhuri ya Tanzania aaah!! kwa kweli sidhani kama kuna mtanazania hata mmoja atawasilikiza na kuwaamini tena, mmejiaribia sana tena sanaa..Nilikipenda sana Chadema lakini kwa sasa nakichukia mnooo.Mmekuwa sio Chama cha siasa bali wahaini sasa na watu wa kuchekelea na kufurahia matatizo anayopitia Rais wa Nchi yenu pendwa,lakini kwa uroho wenu wa Madaraka mpo tayari kuivuruga na kuwapa Wananchi taharuki za ajabu ajabu, uzushi wa ajabu ajabu..Hamna la maana lolote mnalojua zaidi ya mafumbo mafumbo tuu ya uzushi.Na hapa ndio naamini kweli wananchi waliwakataa kwenye sanduku la kura kihalali kabisaaaaaaaaaaaa, na wataendelea kuwakataa mpaka hapo mtakapojua kwamba kelele zenu na uzushi wenu mnaomzushia Rais unawalenga watu tofauti pia sio huyo Rais tuu hata kama mna chuki nae,..Mmebakia kuwa genge la wahuni wa mitandao tuu ,CHADEMA ilishakufa pale Dr Slaa walivyoondoka.. kilichobakia uhuni uhuni tuu mitandaoni.
Hapana utulivu pale,full kuoigana vikumbo.na kupayuka!!
 
Back
Top Bottom