johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Yaani kama Mbowe yuko Dubai kwa sasa Salumu Mwalimu ndio kaimu mwenyekiti wa Chadema haiitajiki uchaguzi katika hilo!sasa huyo mtu huwa wapi wakati nafasi yake inakaimiwa ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani kama Mbowe yuko Dubai kwa sasa Salumu Mwalimu ndio kaimu mwenyekiti wa Chadema haiitajiki uchaguzi katika hilo!sasa huyo mtu huwa wapi wakati nafasi yake inakaimiwa ?
Atakua kamili baada ya uchaguzi kuisha
Yaani kama Mbowe yuko Dubai kwa sasa Salumu Mwalimu ndio kaimu mwenyekiti wa Chadema haiitajiki uchaguzi katika hilo!
Hapana sivyo unavyofikiriSi kweli. Mbona uchaguzi wa mwenyekiti wa chama hakukua na neno kaimu.
Au wanaogopa usaliti mwingine ndo maana wameweka kaimu ili asipate madaraka yote kama mdee
Hapo mleta taarifa anaonyesha hujui au amechanganya kati ya Naibu na Kaimu.Atakua kamili baada ya uchaguzi kuisha
Taarifasahihi kama jina lakoHapo mleta taarifa anaonyesha hujui au amechanganya kati ya Naibu na Kaimu.
Huwezi kuchagua mtu kwa ajili ya kukaimu nafasi fulani. Atakayechaguliwa hapo atakuwa Naibu na wala siyo Kaimu.
maswali mengi naona ni kama huwa yanakugusa na nahisi unakuwa huna majibu unapenda kuyaita ya kijinga...yani wauliza maswali wengi humu ni wajinga wewe ndiye mwenye akili tu...kama majibu huwa hauna ni heri unyamaze wengine watajibuswali la kijinga sana !
Tutawaletea katiba ya chadema ili muone tofauti ya uchaguzi mkuu wa Chadema na hizi chaguzi za kujaza nafasiSi kweli. Mbona uchaguzi wa mwenyekiti wa chama hakukua na neno kaimu.
Au wanaogopa usaliti mwingine ndo maana wameweka kaimu ili asipate madaraka yote kama mdee
Tutawaletea katiba ya chadema ili muone tofauti ya uchaguzi mkuu wa Chadema na hizi chaguzi za kujaza nafasi
najaribu kuleta hapa katiba ya chadema ujisomee mwenyewe utaelewaYaani kama Mbowe yuko Dubai kwa sasa Salumu Mwalimu ndio kaimu mwenyekiti wa Chadema haiitajiki uchaguzi katika hilo!
Wameshamjua mbowe hawataki tena kuisikia cdmHongereni kwa hatua hiyo[emoji106]
Mikoa ya kaskazini imedorora kwenye hiki kinyang'anyiro.
Akina nani ?Wameshamjua mbowe hawataki tena kuisikia cdm
Kaimu Mwenyekiti?!
Nafasi ya kukaimu inagombewa?
Maana ya neno kaimu ni kushika nafasi ya mtu hadi pale nafasi hiyo itakapojazwa rasmi. Nimefikiria pia hapo ila labda ndivyo katiba inasema hatujui.
Kwanini kaimu badala ya kuwa mwenyekiti kamili?
aise.hata mm nimeshangaa,!!Kaimu Mwenyekiti?!
Nafasi ya kukaimu inagombewa?
jibu. swali.panic zinatoka wapi mkuu!swali la kijinga sana !
Hapana utulivu pale,full kuoigana vikumbo.na kupayuka!!Kwa sakata hili la kumpakazia kifo Rais wa Jamhuri ya Tanzania aaah!! kwa kweli sidhani kama kuna mtanazania hata mmoja atawasilikiza na kuwaamini tena, mmejiaribia sana tena sanaa..Nilikipenda sana Chadema lakini kwa sasa nakichukia mnooo.Mmekuwa sio Chama cha siasa bali wahaini sasa na watu wa kuchekelea na kufurahia matatizo anayopitia Rais wa Nchi yenu pendwa,lakini kwa uroho wenu wa Madaraka mpo tayari kuivuruga na kuwapa Wananchi taharuki za ajabu ajabu, uzushi wa ajabu ajabu..Hamna la maana lolote mnalojua zaidi ya mafumbo mafumbo tuu ya uzushi.Na hapa ndio naamini kweli wananchi waliwakataa kwenye sanduku la kura kihalali kabisaaaaaaaaaaaa, na wataendelea kuwakataa mpaka hapo mtakapojua kwamba kelele zenu na uzushi wenu mnaomzushia Rais unawalenga watu tofauti pia sio huyo Rais tuu hata kama mna chuki nae,..Mmebakia kuwa genge la wahuni wa mitandao tuu ,CHADEMA ilishakufa pale Dr Slaa walivyoondoka.. kilichobakia uhuni uhuni tuu mitandaoni.