dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,958
- 9,516
Kwanini hujahitaji mawazo ya chama kipya tangu Uhuru bado unachagua cccm jinga kabisa
Nimi si mwana chadema ila ninapenda sana pawe na chama cha mawazo mbadala kwa checks and balance.Endapo wanaona Cecil anafaa kukabiliana na sisa za JPM wampe. Japo binafsi sikumbuki hata sentesi yake moja ama sauti yake ama picha yake katika kutetea democrasia na maendeleo ya Taifa letu.View attachment 1271236