engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,149
- 1,441
Leo saa 10,Bunge la katiba litamchagua mwenyekiti wa kudumu wa bunge la KATIBA,Wadau mnaombwa kuzingatia uzoefu,uadilifu,ujasiri na DIRA ya mgombea husika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kichwa hichi nakiaminia kitatanguliza maslai ya taifa.
Mzee sinashida naye nitamchagua mzee wa viwango samweli sitta.
Mbona naona kama ametumia rangi za CCJ? Hilo litamsumbua mbele ya safari.
Nimeisoma dira nilipomaliza nikajiwa na kumbu kumbu za zamani. Samahani kama nimekukwaza.Angalia DIRA ndio msingi wenyewe,rangi hazina maana sana ktk maamuzi
Nimeisoma dira nilipomaliza nikajiwa na kumbu kumbu za zamani. Samahani kama nimekukwaza.
![]()
Leo saa 10,Bunge la katiba litamchagua mwenyekiti wa kudumu wa bunge la KATIBA,Wadau mnaombwa kuzingatia uzoefu,uadilifu,ujasiri na DIRA ya mgombea husika.
Mzee sinashida naye nitamchagua mzee wa viwango samweli sitta.
kuna habari zimezaga mtaani kuwa Mh sitta ameugua ghafla na sasa yupo hospital je ni kweli