Pamoja na Uimara wake Sitta akiamua kujiamini kupamba UKADA huwa anakwendaa mrama sana. Moja ya changamotoo kuu inayomkabilii na natumai wajumbe werevu watakuwa wanamwelewa kwa upungufuu huo na kama hatajirekebisha ataongozaa kwa mikikii na taaabuuu sana. Tutarajiee ubabe unaosukumwaa na hila za kiitikadi kutoka kwake...