KOLOKOLONI
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 2,476
- 2,371
Unavyofikiri wewe samweli sita atafanikiwa kuletea katiba mpya kama atakuwa ndiyo amechaguliwa kuliongoza bunge la katiba? Maana wananchi wengi tunataka serikali tatu ila viongozi wa ccm wanataka mbili pia sita aliwahi sema serikali tatu ni ulafi. Tujadili bila chuki binafsi.