Uchaguzi: Hii ndio Dira ya Mh. Samuel J. Sitta Kama mwenyekiti Bunge la Katiba

Uchaguzi: Hii ndio Dira ya Mh. Samuel J. Sitta Kama mwenyekiti Bunge la Katiba

Hii ndiyo risasi ya mwisho iliyobakia kwenye bunduki yako Mh.Sitta, ama itumie kumuua adui yako au jiue wewe mwenyewe ili usikamatwe mateka! Watanganyika wengi hatuna uanachama wa vyama vya siasa ila tu ni mashabiki hivyo ukifanya kosa ukaegemea upande wa chama chochote basi umaarufu wako wa SS ndio kwaheri!
 
Kwa bunge hili hata angekuwa nani mbele ya safari atalaumiwa sana" pengine hata mzee Sitta asipokuwa makini atakuja jiharibia sifa zake"

unachokisema kina ukweli,sema sasa bila wazoefu kama kina mzee Samuel Sitta na Kificho mambo yanaweza kuwa mabaya zaidi,na ndio maana waliowengi wanaona ni vyema mzee wa viwango akashika usukani ili kupunguza hayo unayoyasema
 
Kuna uzi humu ulikuwa nadhani unauliza KULIKONI SITA NA LOWASA kwenye Bunge la katiba?......... kwani walikuwa wanajadiliana jambo kila wanapokuwa pamoja.............Nchi hii MAMASTER MIND AND MAKER wapo wengi kila kitu munaloobu.........HATARI SANA...........naendelea kuangalia kwa karibu sana Trend and Track............
 
Kuna uzi humu ulikuwa nadhani unauliza KULIKONI SITA NA LOWASA kwenye Bunge la katiba?......... kwani walikuwa wanajadiliana jambo kila wanapokuwa pamoja.............Nchi hii MAMASTER MIND AND MAKER wapo wengi kila kitu munaloobu.........HATARI SANA...........naendelea kuangalia kwa karibu sana Trend and Track............

kumbuka kuwa,malengo ya kila chama ni kushika DOLA na zipo njia nyingi za kufikia malengo.
mchague Samuel J,Sitta ili tuweze kupata KATIBA kwa wakati na yenye kukidhi haja ya watanzania
 
935197_692096290854356_659691062_n.jpg


Leo saa 10,Bunge la katiba litamchagua mwenyekiti wa kudumu wa bunge la KATIBA,Wadau mnaombwa kuzingatia uzoefu,uadilifu,ujasiri na DIRA ya mgombea husika.

Wana JF, mimi kidogo dhamira yangu inanipa hofu saana juu ya huyu jamaa. Pongezi zangu naziweka hadi hapo nitakapoona katupatia Katiba mpyaa inayotokana na RASIMU YA PILI YA KATIBA na sio Katiba inayotokana na matakwa yao kama wajumbe wa bunge la katiba. Tusisahau Mzee Samweli Sita Hajaacha hata siku moja kuwa mwanachama mwaminifu kwa CCM, na mwana CCM. Hata siku moja usile naye yamini na Mwana CCM atakugeuka tu. Kumbukeni JK alivyowageuka vyama vya upinzani katika maamuzi yote aliyoyafanya toka atangaze kuanza kwa mchakato wa kupata katiba mpyaa hadi alipotangaza majina ya wajumbe wa baraza hili la katiba. Kifupi nasema TUSUBIRI MASIKIO YATASIKIA na MACHO YATAONA NINI KITATOKEA BAADA YA SIKU 70 au 90 za bunge hili.
 
Mimi Pia ninaimani nae sana wasiwasi wangu chama kubwa huwa hawanaga imani nae sana kwani chama ukiwa karibu na watu wewe ni adui yao wanataka uwe karibu na chama ilo ndilo linanitia wasi wasije wakamtosa nakumbuka kinyanganyiro cha uspika walivyomtendaga labda mzimu wa Richmond uwe umetoka bungeni.

Huyu bwana amungunyi maneno yeye ni muwazi na kdg mkweli tuombe mungu anaweza wakampa hyo mama kwa maslahi ya chama yote yawezekana maana pale kiti jina ila kuna mtu nje ndio anaendesha kile kiti kwa hiyo anatakiwa mtu laini kdg waweze kum drive.
 
Wana JF, mimi kidogo dhamira yangu inanipa hofu saana juu ya huyu jamaa. Pongezi zangu naziweka hadi hapo nitakapoona katupatia Katiba mpyaa inayotokana na RASIMU YA PILI YA KATIBA na sio Katiba inayotokana na matakwa yao kama wajumbe wa bunge la katiba. Tusisahau Mzee Samweli Sita Hajaacha hata siku moja kuwa mwanachama mwaminifu kwa CCM, na mwana CCM. Hata siku moja usile naye yamini na Mwana CCM atakugeuka tu. Kumbukeni JK alivyowageuka vyama vya upinzani katika maamuzi yote aliyoyafanya toka atangaze kuanza kwa mchakato wa kupata katiba mpyaa hadi alipotangaza majina ya wajumbe wa baraza hili la katiba. Kifupi nasema TUSUBIRI MASIKIO YATASIKIA na MACHO YATAONA NINI KITATOKEA BAADA YA SIKU 70 au 90 za bunge hili.

uzuri anataka kugombea kuliongoza Taifa hili,kosa atakalolifanya ktk bunge hili la katiba ndilo litakalo muondoa ktk kinyang'anyilo.
lakini DIRA yake inaonyesha kuwa atazingatia maoni ya wananchi na si maoni ya vyama,sijui,naungana nawe,tusubiri tuone,ingawaje mimi bado nina imani nae na matagemeo makubwa juu yake.
mungu amuongoze ktk maamuzi yake na ayafanye kwa maslahi ya Taifa na si vinginevyo
 
Hii ndiyo risasi ya mwisho iliyobakia kwenye bunduki yako Mh.Sitta, ama itumie kumuua adui yako au jiue wewe mwenyewe ili usikamatwe mateka! Watanganyika wengi hatuna uanachama wa vyama vya siasa ila tu ni mashabiki hivyo ukifanya kosa ukaegemea upande wa chama chochote basi umaarufu wako wa SS ndio kwaheri!

Pamoja mkuu!
 
kiukweli ni mtu ambaye anaweza akasimamia maslahi ya wananchi tukapata katiba inayotakiwa na wananchi,ila naomba kutoa angalizo,Nina mashaka na jinsi ccm walivyompitisha kiurahisi na wakati wanamjua kwamba huyu mtu uwa anasimamia ukweli,tukumbuke kwamba sita ni ccm na huenda ccm ilimpitisha kwakuwa walikubaliana kuwa atatetea maslahi ya chama chake,for me this may be a trap kwakuwa wanaona kwamba sita anakubalika sana ata na vyama pinzani.Haya ni mawazo yangu tu.
 
safari hii hakuna pingamizi hapo chama kubwa hawana ujanja apo ngoja tusubiri atangazwe tu baadaye atashinda kwa kishindo sanaaa

Mimi Pia ninaimani nae sana wasiwasi wangu chama kubwa huwa hawanaga imani nae sana kwani chama ukiwa karibu na watu wewe ni adui yao wanataka uwe karibu na chama ilo ndilo linanitia wasi wasije wakamtosa nakumbuka kinyanganyiro cha uspika walivyomtendaga labda mzimu wa Richmond uwe umetoka bungeni.

Huyu bwana amungunyi maneno yeye ni muwazi na kdg mkweli tuombe mungu anaweza wakampa hyo mama kwa maslahi ya chama yote yawezekana maana pale kiti jina ila kuna mtu nje ndio anaendesha kile kiti kwa hiyo anatakiwa mtu laini kdg waweze kum drive.
 
ni jasiri sana
ni mkweli
ni mzalendo
si mnafiki
hamung'unyi maneno na anasimamia kwa haki

kiukweli ni mtu ambaye anaweza akasimamia maslahi ya wananchi tukapata katiba inayotakiwa na wananchi,ila naomba kutoa angalizo,Nina mashaka na jinsi ccm walivyompitisha kiurahisi na wakati wanamjua kwamba huyu mtu uwa anasimamia ukweli,tukumbuke kwamba sita ni ccm na huenda ccm ilimpitisha kwakuwa walikubaliana kuwa atatetea maslahi ya chama chake,for me this may be a trap kwakuwa wanaona kwamba sita anakubalika sana ata na vyama pinzani.Haya ni mawazo yangu tu.
 
Mwisho wa siku ni MwanaCCM tu na atahakikisha analinda kitumbua chake!
 
Le big speaker you know!....Le super viwangozz you know!...huyu jamaa hakustahili kuwa bara la giza yu know!...wengne wote hamna kitu!...this dude'z exceptional you know!
 
Usituangushe. Tunakupigania ili nawe upiganie maslahi ya taifa. Ukilewa sifa na kutuangusha,tutakupiga pigo takatifu. Uwe makini na hakika utakuwa Mwenyekiti kuanzia leo
 
Wananchi tukumbuke kuwa mwaka 2005 wakati tunafanya Uchaguzi Mkuu, wengi tulikuwa na imani kubwa kwa mgombea mmoja ambaye tulijipa matumaini makubwa kuwa tumepata mkombozi. Sasa hivi karibia miaka 10, kila mwananchi anasema lake kuhusu matumaini yale!
 
s.6 alipokuwa spika wa bunge l a jamuhuri,aliitia kapuni hoja binafsi ya mh.slaa kuhusu ishu ya EPA akidai imejaa ushahidi wa kudownload kwenye internate!..dr. Akaamua kuwithdraw hoja,chama kikampa suport ya kuzunguka nchi nzima kushtaki kwa wananchi. Tahadhari, 6 anataka urais mwakani..hivyo hatapendelea kuwe na katiba itakayompa shida kutawala.
 
CCM wamempa kitanzi ajinyonge mwenyewe, wamepata njia rahisi ya kumuondoa kwenye election 2015 ; ila kama atapitisha maslahi ya CCM kwenye katiba mpya , itakuwa credit kwake (kwenye chama) comes 2015!
 
Back
Top Bottom