Uchaguzi: Hii ndio Dira ya Mh. Samuel J. Sitta Kama mwenyekiti Bunge la Katiba

Uchaguzi: Hii ndio Dira ya Mh. Samuel J. Sitta Kama mwenyekiti Bunge la Katiba

Nyerere tunamkumbuka kwa kuiongoza nchi kupata uhuru Sitta tunataka tukukumbuka kwa kuandika katiba nzuri kwa Taifa letu,usiwaangali hao CCM, siyo ndugu zako ndo maana walikuwekea zengwe kugombee kiti cha spika na sasa wamekuachia maana walijua utashinda tu.
 
Iwapo atasimamia uzalendo na kuthamini Nchi kwanza tunaweza kupata angalao katiba bora.Lakini kama ataogopa na kusimamia msimamo wa chama chake hakika katiba mpya itakuwa na mrengo wa kichama zaidi badala ya katiba ya wananchi wa Tanzania.
 
Naungana na mawazo yenu ya kuwa huyu mzee hii ndio nafasi yake hasa katika kundi lao la wapinga Ufisadi na ambao wanamatumaini ya kubaki ktk system na taasisi ya uraisi 2016.bila ya kuwasahau Mwakyembe na Magufuri wana nafasi kubwa ya kuendesha serikali ijayo.
 
He is always patriotic though wavering when things get tough. Let him grasp this truth that,"when things get tough, the tough gets going. Be tough at least this time sitta.Bless you so very much and all the best.
 
Naungana na mawazo yenu ya kuwa huyu mzee hii ndio nafasi yake hasa katika kundi lao la wapinga Ufisadi na ambao wanamatumaini ya kubaki ktk system na taasisi ya uraisi 2016.bila ya kuwasahau Mwakyembe na Magufuri wana nafasi kubwa ya kuendesha serikali ijayo.
. Hata mm naungana nanyi. Ispo kua nawasiwasi sana kwa jinsi alivyo pitishwa anaweza kua kigeugeu huyo. Na mara nyingi tusiwaamini hawa wa wana siasa wetu ni ndumila kuwili.
 
Dawa ni kuwatosa CCM. Kura lazima iwe ya Siri. Sita hiyo ndio itaondoa vurugu ndani ya bunge hili.
 
unaambiwa kaugua ghafla -- tumwombee aamke kitandani na aende kwenye uchaguzi ili kutimiza ndoto ya watanzania.
 
Ninachojua Sitta siyo lolote na hasa ikizingatiwa anataka sifa kutoka kwa chama chake ili wampitishe kugombea urais! ni wazi kwamba atasikiliza chama chake,halafu huwa hana msimamo binafsi na ni mpenda sifa sana, kumbuka alivyozima mjadala wa Richmond hadi leo maazimio hayakutekelezwa!

Nafasi hii ingekuwa ya MAHALU!,MAGADALENA,LISU!
 
Ninachojua Sitta siyo lolote na hasa ikizingatiwa anataka sifa kutoka kwa chama chake ili wampitishe kugombea urais! ni wazi kwamba atasikiliza chama chake,halafu huwa hana msimamo binafsi na ni mpenda sifa sana, kumbuka alivyozima mjadala wa Richmond hadi leo maazimio hayakutekelezwa!

Nafasi hii ingekuwa ya MAHALU!,MAGADALENA,LISU!
 
Yaani kama kweri jamaa ameanguka ghafla basi chama cha majambazi ni zaidi ya hatari. Yaani wamemuacha ajishauwe weee kumbe wanamvizia kwenye kona na wamemuotea. Kwisha habari yake mzee wa viwango fake
 
Nani kakudanganya kuwa wananchi hawahitaji serikali3? Pamoja na kuhitaji huduma hizo za msingi ambazo umezitaja, lakini ukweli ni kuwa wananchi wanahitaji serikali3, siyo tume ya Warioba au Kisanga, maoni yamejirudia, sasa hiyo unayoisema wewe labda kama uko ulaya. Panda boti leo ukifika Zanzibar hata kwenye Grocery halafu sema hizo serikali 1 au 2 usikie moto wake?! 1 hawataki kwa kuwa watamezwa, mbili ndo kabisa wanaona ni ulaghai.

ccm tayari wanayo taswira na Muundo wa Serikari 1, 2, 3:

*Serikali 1, Zanzibar (Unguja na Pemba) itakuwa mikoa.


*Serikali 2, Wazanzibar wanasema wanamezwa, pia kuna mapungufu.


*Serikali 3, taswira yake inamwonekano kama wa "EAC"
 
Uzuri wa samwel sitta huangalia upepo unakoelekea ,lakini pia ana msimamo usioyumbishwa.


Hawezi kuchakachua mawazo ya wali wengi bali hujitahidi kuyaheshimu na kuyaruhusu yatumike.
 
Back
Top Bottom