Uchaguzi huu October 2015, Ni Mahakama ya Kadhi V/S CCM. (Tutaona nani Mshindi).

Uchaguzi huu October 2015, Ni Mahakama ya Kadhi V/S CCM. (Tutaona nani Mshindi).

Jaribuni kuelewa hoja za kilicho andikwa na kusoma alama za nyakati. Huu ni wakati Mwengine kidogo. You can't fool all the People all the Times.

Labda wewe ndio ukotayari kuuza utu wako kwa kuogopa Gereza. Go back to the history books and see Jails have transformed activists.

You can kill a person but you can not kill an Idea. Just a street vendor exiled the former President of TUNISIA.

Jaribuni kua Realistic kidogo.

Siku zote watu waoga they talk much,wapiganaji ni vitendo and strategy on how to win the agenda!usilete failed thred hapa,Religious issues ziko solved na pande zinazohusika,how come vendors wanadai mahakama kwa kuandamana!tries catching public eyes for impossible things!Tz sio ya wakristo wala muslims ni ya watanzania hakuna mwenye hati miliki!so alama za nyakati zinasomeka sana kama unabisha wale waliokua wanapinga sensa in 2012 waliishia wapi? Bado sana attempt zako za kitoto Sidanganyiki!
 
Jaribuni kuelewa hoja za kilicho andikwa na kusoma alama za nyakati. Huu ni wakati Mwengine kidogo. You can't fool all the People all the Times.

Labda wewe ndio ukotayari kuuza utu wako kwa kuogopa Gereza. Go back to the history books and see Jails have transformed activists.

You can kill a person but you can not kill an Idea. Just a street vendor exiled the former President of TUNISIA.

Jaribuni kua Realistic kidogo.

Unajifanya mwanaharakati kumbe uwoga umekujaa, umejaliwa confidence ya kuongea tu kwenye mtandao maana unajua watu hawakuoni lkn naamini ukiwa mbele za watu huna lolote si chochote, hicho ulichokiandika hapo hakina maana hata kidogo. tafuta kitu kingine
 
Hongera Rais Kikwete kwa kuweka mambo bayana. Long live my President

Wewe ni mnafiki na mzandiki mkubwa, serikali haijakataa waislam kuanzisha mahakama ya kadhi bali imesema waislam waanzishe mahakama hiyo na waiendeshe wenyewe but wewe unapindisha ukweli, kwanini mnang'ang'ania serikali iendeshe hiyo mahakama? si kuna wale wafadhili mnaowasifiaga humu jf kuwa ni matajiri kwanini wasihudumie hiyo mahakama..!?
 
Wewe ni mnafiki na mzandiki mkubwa, serikali haijakataa waislam kuanzisha mahakama ya kadhi bali imesema waislam waanzishe mahakama hiyo na waiendeshe wenyewe but wewe unapindisha ukweli, kwanini mnang'ang'ania serikali iendeshe hiyo mahakama? si kuna wale wafadhili mnaowasifiaga humu jf kuwa ni matajiri kwanini wasihudumie hiyo mahakama..!?
Mbna unajipa majibu we mwenyewe sasa? Hahahaaaaaaa
 
Umeshahamasisha wangapi wasipige kura?chenga sana na kampeni zako za chini ya mwembe ha ha ha ha dogo unafanya maigizo hapa!!!!tangu lini mkia ukazidi kiwiliwili?wewe unapoteza muda wako watanzania hatudanganyiki!!!! Kama ilivyokua kwa Sensa 2012,uchaguzi utafanyika na rais ataapishwa uwanja wa Uhuru na mizinga 21 itapigwa na JWTZ kutoa heshima ishara ya Kuingia kwa Amiri Jeshi mpya afu wewe na kundi lako muandamane kumpinga rais asiapishwe mkione cha moto na uhaini wenu!

Wewe nahisi unakaribia kuehuka!!!!! Thread ya mahakama ya Kadhi unaifananisha na street vendors wa Tunisia,kuna uhusiano gani hapo!sasa nimegundua kuna agenda nyuma ya pazia hakuna na madai ya mahakama wala nini kuna agenda ya kufanya uhaini!!!! Teh teh teh dont try this at home!!!

Siku zote watu waoga they talk much,wapiganaji ni vitendo and strategy on how to win the agenda!usilete failed thred hapa,Religious issues ziko solved na pande zinazohusika,how come vendors wanadai mahakama kwa kuandamana!tries catching public eyes for impossible things!Tz sio ya wakristo wala muslims ni ya watanzania hakuna mwenye hati miliki!so alama za nyakati zinasomeka sana kama unabisha wale waliokua wanapinga sensa in 2012 waliishia wapi? Bado sana attempt zako za kitoto Sidanganyiki!

Unajifanya mwanaharakati kumbe uwoga umekujaa, umejaliwa confidence ya kuongea tu kwenye mtandao maana unajua watu hawakuoni lkn naamini ukiwa mbele za watu huna lolote si chochote, hicho ulichokiandika hapo hakina maana hata kidogo. tafuta kitu kingine

Wewe ni mnafiki na mzandiki mkubwa, serikali haijakataa waislam kuanzisha mahakama ya kadhi bali imesema waislam waanzishe mahakama hiyo na waiendeshe wenyewe but wewe unapindisha ukweli, kwanini mnang'ang'ania serikali iendeshe hiyo mahakama? si kuna wale wafadhili mnaowasifiaga humu jf kuwa ni matajiri kwanini wasihudumie hiyo mahakama..!?

Uelewa wa mambo sifuri. How could you ridicule that power wielded by that street vendor of Tunisia if you are at all a man of political sense of understanding?

Hata Hillary Clinton aliwahi kumwambia Obama kua he just talks. Obama akamjibu, I have a dream ware just words as well. The rest I think is history you Know.

Kwanini kodi zetu zisiendeshe Mahakama ya Kadhi?. Na kwanini kodi zetu zichangie Memorundum of Understanding?.
 
Hivi Nape yuko wapi.....

Oktoba 2015 ni uchaguzi mkuu utakaohusisha vyama vyote vya siasa,haingii akilini mtu kusema Mahakama ya kadhi inahusika sijui labda sajili wa vyama vya siasa atuambie kama hiyo mahakama imesajiliwa na kuwa chama cha siasa.
 
Uelewa wa mambo sifuri. How could you ridicule that power wielded by that street vendor of Tunisia if you are at all a man of political sense of understanding?

Hata Hillary Clinton aliwahi kumwambia Obama kua he just talks. Obama akamjibu, I have a dream ware just words as well. The rest I think is history you Know.

Kwanini kodi zetu zisiendeshe Mahakama ya Kadhi?. Na kwanini kodi zetu zichangie Memorundum of Understanding?.


Kodi yako ndo iendeshe masuala ya dini yenu na ndoa zenu wenyewe,Serikali haihusiki kuoa uoe mwenyewe unataka serikali ikugharamie thubutuuuu!'!!!!!!!!!

Oktoba 2015 ni uchaguzi mkuu utakaohusisha vyama vyote vya siasa,haingii akilini mtu kusema Mahakama ya kadhi inahusika sijui labda msajili wa vyama vya siasa atuambie kama hiyo mahakama imesajiliwa na kuwa chama cha siasa.
 
Kodi yako ndo iendeshe masuala ya dini yenu na ndoa zenu wenyewe,Serikali haihusiki kuoa uoe mwenyewe unataka serikali ikugharamie thubutuuuu!'!!!!!!!!!

Oktoba 2015 ni uchaguzi mkuu utakaohusisha vyama vyote vya siasa,haingii akilini mtu kusema Mahakama ya kadhi inahusika sijui labda msajili wa vyama vya siasa atuambie kama hiyo mahakama imesajiliwa na kuwa chama cha siasa.

Open your mind you people. Do not think like animals.
 
Oktoba 2015 ni uchaguzi mkuu utakaohusisha vyama vyote vya siasa,haingii akilini mtu kusema Mahakama ya kadhi inahusika sijui labda sajili wa vyama vya siasa atuambie kama hiyo mahakama imesajiliwa na kuwa chama cha siasa.

Huo ndio mwisho wa uwelewa wako? Oohh My God! Do not think like animals. Think think think. Kwanini mnakuja kuogela bahari msio ijua? Hata hilo pia ni fafanue.
 
Huo ndio mwisho wa uwelewa wako? Oohh My God! Do not think like animals. Think think think. Kwanini mnakuja kuogela bahari msio ijua? Hata hilo pia ni fafanue.




Hadanganywi mtu hapa, Mimi najua mahakama hiyo itashughulikia mambo yote yanayokwenda kinyume na tamaduni za kiislamu. Mfano Kula hadharani wakati wa mwezi, wa ramadhani, kuchinja kwa mtu ambaye siyo muislamu, kufanya biashara ya vileo, biashara ya nyumba za kulala wageni, biashara ya nguruwe, mavazi yasiyoendana na tamaduni za kiislam kwa maana hiyo ili uwe salama kwa swala la mavazi sharti uvae hijabu kwa wanawake, kanzu na kibaragashia kwa wanaume, msuri na visuruari vizivyogusa viatu.

Kwa nini waislam wanataka Mahakama ya kadhi iingizwe kwenye katiba ya nchi?

Waislam wanataka mahakama ya kadhi iingizwe kwenye katiba ya nchi ili itambulike kisheria na iwe na nguvu kama mahakama za kawaida za makosa ya jinai na hiyo iwe na mamlaka ya kuhukumu watu wote waislam, wakristu na hata wapagani limradi tu hawaishi kwa kufuata tamaduni za kiislam. Mfano mtu atakaye kutwa anakula hadharani wakati wa mwezi wa ramadhani sharia itachukuwa mkondo wake na hukumu iliyotawala kwenye sharia kwa mtu anayeishi kinyume na tamaduni za kiislam ni kuuwawa kwa kuchinywa na jukumu hilo liko kwa Makadhi.

Hivyo basi mahakama ya kadhi ikiingizwa kwenye katiba itakuwa na nguvu za kuhukumu mambo ya siasa, kijamii na makosa ya jinai kwa ujumla kwa raia wote na si kwa waislam peke.

Muundo wa mahakama ya kadhi.

Mahakama ya kazi inafuata muundo wa mahakama za kawaida hivyo zinaanzia ngazi ya chini kabisa kwenye wilaya na hadi ngazi ya kitaifa na mahakimu wa mahakama za kadhi ni makadhi amboa wote ni waislam.

Kazi za Makadhi.

1.Kusikiliza mashauri na kuhukumu kwa kufuata sharia.

2.Kuhakikisha anatokomeza ukristu katika eneo lake na uislam unatawala.
3.Kuhakikisha hakuna kanisa linajengwa katika eneo lake na wala kanisa linapo bomoka halitaruhusiwa kukarabatiwa wala kujengwa tena. Kujenga kanisa ni kinyume na tamaduni za kiislam ndiyo maana utaona wameanza kuchoma makanisa huko Zanzibar na sehemu zingine za Afrika kama Nigeria.

Madhara ya Mahakama ya Kadhi.
1.Kuvunjika kwa umoja wa kitaifa uliopo kati ya waislam, wakristu na wapagani.
2.Ugomvi wa kimasrahi kati ya wakristu, wapagani na waislam. Endapo Mahakama ya kadhi itaingizwa kwenye katiba ya nchi ni wazi itagharamikiwa na serikali na hivyo viongozi wa dini ya kiislam ambao ndiyo watakuwa makadhi watatumia fedha za walipa kodi wa Tanzania na hii haikubaliki shughuli za taasisi za dini kugharamiwa na serikali.
 
Huo ndio mwisho wa uwelewa wako? Oohh My God! Do not think like animals. Think think think. Kwanini mnakuja kuogela bahari msio ijua? Hata hilo pia ni fafanue.

​Siko huko pelekeni hiyo kitu yenu kwa msajili wa vyama vya Siasa akaisajili kuwa Political Party na Oktoba 2015 muweke mgombea wa kushindana na chama ulichokitaja!
 
image.jpg
UKWELI KUHUSU MAHAKAMA YA KADHI - itashughulikia mambo yote yanayokwenda kinyume na tamaduni za kiislamu. Mfano Kula hadharani wakati wa mwezi, wa ramadhani, kuchinja kwa mtu ambaye siyo muislamu, kufanya biashara ya vileo, biashara ya nyumba za kulala wageni, biashara ya nguruwe, mavazi yasiyoendana na tamaduni za kiislam kwa maana hiyo ili uwe salama kwa swala la mavazi sharti uvae hijabu kwa wanawake, kanzu na kibaragashia kwa wanaume, msuri na visuruari vizivyogusa viatu.

Kwa nini waislam wanataka Mahakama ya kadhi iingizwe kwenye katiba ya nchi?

Waislam wanataka mahakama ya kadhi iingizwe kwenye katiba ya nchi ili itambulike kisheria na iwe na nguvu kama mahakama za kawaida za makosa ya jinai na hiyo iwe na mamlaka ya kuhukumu watu wote waislam, wakristu na hata wapagani limradi tu hawaishi kwa kufuata tamaduni za kiislam. Mfano mtu atakaye kutwa anakula hadharani wakati wa mwezi wa ramadhani sharia itachukuwa mkondo wake na hukumu iliyotawala kwenye sharia kwa mtu anayeishi kinyume na tamaduni za kiislam ni kuuwawa kwa kuchinywa na jukumu hilo liko kwa Makadhi.

Hivyo basi mahakama ya kadhi ikiingizwa kwenye katiba itakuwa na nguvu za kuhukumu mambo ya siasa, kijamii na makosa ya jinai kwa ujumla kwa raia wote na si kwa waislam peke.

Muundo wa mahakama ya kadhi.

Mahakama ya kazi inafuata muundo wa mahakama za kawaida hivyo zinaanzia ngazi ya chini kabisa kwenye wilaya na hadi ngazi ya kitaifa na mahakimu wa mahakama za kadhi ni makadhi amboa wote ni waislam.

Kazi za Makadhi.

1.Kusikiliza mashauri na kuhukumu kwa kufuata sharia.

2.Kuhakikisha anatokomeza ukristu katika eneo lake na uislam unatawala.
3.Kuhakikisha hakuna kanisa linajengwa katika eneo lake na wala kanisa linapo bomoka halitaruhusiwa kukarabatiwa wala kujengwa tena. Kujenga kanisa ni kinyume na tamaduni za kiislam ndiyo maana utaona wameanza kuchoma makanisa huko Zanzibar na sehemu zingine za Afrika kama Nigeria.

Madhara ya Mahakama ya Kadhi.
1.Kuvunjika kwa umoja wa kitaifa uliopo kati ya waislam, wakristu na wapagani.
2.Ugomvi wa kimasrahi kati ya wakristu, wapagani na waislam. Endapo Mahakama ya kadhi itaingizwa kwenye katiba ya nchi ni wazi itagharamikiwa na serikali na hivyo viongozi wa dini ya kiislam ambao ndiyo watakuwa makadhi watatumia fedha za walipa kodi wa Tanzania na hii haikubaliki shughuli za taasisi za dini kugharamiwa na serikali
 
Hadanganywi mtu hapa, Mimi najua mahakama hiyo itashughulikia mambo yote yanayokwenda kinyume na tamaduni za kiislamu. Mfano Kula hadharani wakati wa mwezi, wa ramadhani, kuchinja kwa mtu ambaye siyo muislamu, kufanya biashara ya vileo, biashara ya nyumba za kulala wageni, biashara ya nguruwe, mavazi yasiyoendana na tamaduni za kiislam kwa maana hiyo ili uwe salama kwa swala la mavazi sharti uvae hijabu kwa wanawake, kanzu na kibaragashia kwa wanaume, msuri na visuruari vizivyogusa viatu.

Kwa nini waislam wanataka Mahakama ya kadhi iingizwe kwenye katiba ya nchi?

Waislam wanataka mahakama ya kadhi iingizwe kwenye katiba ya nchi ili itambulike kisheria na iwe na nguvu kama mahakama za kawaida za makosa ya jinai na hiyo iwe na mamlaka ya kuhukumu watu wote waislam, wakristu na hata wapagani limradi tu hawaishi kwa kufuata tamaduni za kiislam. Mfano mtu atakaye kutwa anakula hadharani wakati wa mwezi wa ramadhani sharia itachukuwa mkondo wake na hukumu iliyotawala kwenye sharia kwa mtu anayeishi kinyume na tamaduni za kiislam ni kuuwawa kwa kuchinywa na jukumu hilo liko kwa Makadhi.

Hivyo basi mahakama ya kadhi ikiingizwa kwenye katiba itakuwa na nguvu za kuhukumu mambo ya siasa, kijamii na makosa ya jinai kwa ujumla kwa raia wote na si kwa waislam peke.

Muundo wa mahakama ya kadhi.

Mahakama ya kazi inafuata muundo wa mahakama za kawaida hivyo zinaanzia ngazi ya chini kabisa kwenye wilaya na hadi ngazi ya kitaifa na mahakimu wa mahakama za kadhi ni makadhi amboa wote ni waislam.

Kazi za Makadhi.

1.Kusikiliza mashauri na kuhukumu kwa kufuata sharia.

2.Kuhakikisha anatokomeza ukristu katika eneo lake na uislam unatawala.
3.Kuhakikisha hakuna kanisa linajengwa katika eneo lake na wala kanisa linapo bomoka halitaruhusiwa kukarabatiwa wala kujengwa tena. Kujenga kanisa ni kinyume na tamaduni za kiislam ndiyo maana utaona wameanza kuchoma makanisa huko Zanzibar na sehemu zingine za Afrika kama Nigeria.

Madhara ya Mahakama ya Kadhi.
1.Kuvunjika kwa umoja wa kitaifa uliopo kati ya waislam, wakristu na wapagani.
2.Ugomvi wa kimasrahi kati ya wakristu, wapagani na waislam. Endapo Mahakama ya kadhi itaingizwa kwenye katiba ya nchi ni wazi itagharamikiwa na serikali na hivyo viongozi wa dini ya kiislam ambao ndiyo watakuwa makadhi watatumia fedha za walipa kodi wa Tanzania na hii haikubaliki shughuli za taasisi za dini kugharamiwa na serikali.

​Siko huko pelekeni hiyo kitu yenu kwa msajili wa vyama vya Siasa akaisajili kuwa Political Party na Oktoba 2015 muweke mgombea wa kushindana na chama ulichokitaja!

View attachment 248907
UKWELI KUHUSU MAHAKAMA YA KADHI - itashughulikia mambo yote yanayokwenda kinyume na tamaduni za kiislamu. Mfano Kula hadharani wakati wa mwezi, wa ramadhani, kuchinja kwa mtu ambaye siyo muislamu, kufanya biashara ya vileo, biashara ya nyumba za kulala wageni, biashara ya nguruwe, mavazi yasiyoendana na tamaduni za kiislam kwa maana hiyo ili uwe salama kwa swala la mavazi sharti uvae hijabu kwa wanawake, kanzu na kibaragashia kwa wanaume, msuri na visuruari vizivyogusa viatu.

Kwa nini waislam wanataka Mahakama ya kadhi iingizwe kwenye katiba ya nchi?

Waislam wanataka mahakama ya kadhi iingizwe kwenye katiba ya nchi ili itambulike kisheria na iwe na nguvu kama mahakama za kawaida za makosa ya jinai na hiyo iwe na mamlaka ya kuhukumu watu wote waislam, wakristu na hata wapagani limradi tu hawaishi kwa kufuata tamaduni za kiislam. Mfano mtu atakaye kutwa anakula hadharani wakati wa mwezi wa ramadhani sharia itachukuwa mkondo wake na hukumu iliyotawala kwenye sharia kwa mtu anayeishi kinyume na tamaduni za kiislam ni kuuwawa kwa kuchinywa na jukumu hilo liko kwa Makadhi.

Hivyo basi mahakama ya kadhi ikiingizwa kwenye katiba itakuwa na nguvu za kuhukumu mambo ya siasa, kijamii na makosa ya jinai kwa ujumla kwa raia wote na si kwa waislam peke.

Muundo wa mahakama ya kadhi.

Mahakama ya kazi inafuata muundo wa mahakama za kawaida hivyo zinaanzia ngazi ya chini kabisa kwenye wilaya na hadi ngazi ya kitaifa na mahakimu wa mahakama za kadhi ni makadhi amboa wote ni waislam.

Kazi za Makadhi.

1.Kusikiliza mashauri na kuhukumu kwa kufuata sharia.

2.Kuhakikisha anatokomeza ukristu katika eneo lake na uislam unatawala.
3.Kuhakikisha hakuna kanisa linajengwa katika eneo lake na wala kanisa linapo bomoka halitaruhusiwa kukarabatiwa wala kujengwa tena. Kujenga kanisa ni kinyume na tamaduni za kiislam ndiyo maana utaona wameanza kuchoma makanisa huko Zanzibar na sehemu zingine za Afrika kama Nigeria.

Madhara ya Mahakama ya Kadhi.
1.Kuvunjika kwa umoja wa kitaifa uliopo kati ya waislam, wakristu na wapagani.
2.Ugomvi wa kimasrahi kati ya wakristu, wapagani na waislam. Endapo Mahakama ya kadhi itaingizwa kwenye katiba ya nchi ni wazi itagharamikiwa na serikali na hivyo viongozi wa dini ya kiislam ambao ndiyo watakuwa makadhi watatumia fedha za walipa kodi wa Tanzania na hii haikubaliki shughuli za taasisi za dini kugharamiwa na serikali

BISMILAH RAHMAN RAHIM
Kwajina la Mwenyenzi Mungu Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu.


Bwana Dingswayo Original, nakushukuru sana kwa hoja zako. Kwanza kabisa ningependa ufahamu kua, Hoja zako zina Mchanganyiko wa Ukweli na Uongo. Yaani Propaganda. Lakini mimi nitakuweka sawa katika hilo. Hususani kutokana na ukweli kwamba, huwezi kujifunza Uislamu kutoka kwa Maadui wa Uislamu.

1. MAHAKAMA YA KADHI NI NINI?

Mahakama ya Kadhi kwa Ujumla wake, ni Mfumo wa Kimahakama unao tumia Sheria za Kiisalamu katika kuhukumu Mambo yote yanayo husu Maisha ya Muislamu.

Uislamu ndio dini pekee Duniani ambayo, inayo maelekezo na sheria zake kwa kila jambo linalo Muhusu Muislamu katika kuyaendea maisha yetu hapa duniani. Sheria ambazo lengo lake ni kutufanya tuishi kama binadamu tofauti na viumbe vingine. Pia tuweze kuishi kama jamii na kwa amani.

Maelekezo na Sheria zote za Kiislamu yanatokana na Qur-an na Mafundisho ya Mtume Muhamad (S.A.W).

Muislamu anaelekezwa kila jambo hata liwe dogo kiasi gani. Kwa mfano Uislamu una Muelekeza Muislamu anapotaka kula au Kunywa kinywaji basi atumie mkono wa kulia. Anapokua haja atumie Mkono wa Shoto. Anapo ingia Chooni aingie kwa Mguu wa Kulia na anapotoka chooni atoke kwa mguu wa kushoto. Na nini aseme kabla ya kula au kabla ya kuingi na kutoka chooni. etc.

Vile Uislamu unatoa Makatazo na Maonyo katika Mambo ambayo hayapaswi kufanywa katika jamii. Mfano Uislamu unakataza Mambo yafuaatayo.

1. Usijiue au kuua nafsi isio kua na hatia
2. Heshimu wazazi wako wawili.
3. Usiibe wala kudhulumu mali ya mwenzako
3. Usizini.
4. Usitumie vilevi vyovyote
5. Usitembee uchi
6. Mwanamume asivae mavazi ya kike wala kujifananisha na Mwanamke na Mwanamke asivae Mavazi ya Kiume wala kujifananisha na Mwanaume.
7. Usiwe Muongo wala kusambaza uongo au fitina.
8. Msile mali za mayatima
9. Msile Mizoga ya Wanyama.
10. Usiwe Mchawi au Mshirikina.
11. Mpende jirani yako
12. Msiuwe watoto au kutoa mimba kwa kuogopa Umasikini.
etc.

Mafundisho na Sheria za Kiislamu pia, zimetawala Mambo yote Muhimu yanayo Mhusu Mwanadamu hususan Muislamu katika Mambo ya Ndoa , Mirathi, Wakfu na Migogoro mbalimbali inayotokea katika jamii.


KWANINI WAISLAMU WANATAKA MAHAKAMA YA KADHI IINGIZWWE KWENYE KATIBA.

Kwanza lazima iweleweke kua, sio lengo la Mahakama ya Kadhi katika nchi ambazo sio Dola za Kiislamu kuhukumu makosa ya Jinai. Makosa ya jinai yatahukumiwa kwa mujibu wa Mifumo ya Kimahakama ya Nchi husika. Lengo na Dhumuni la Mahakama ya Kadhi katika nchi kama hizo, ni Kuhukumu mambo yote ya Kiislamu hususan yanayo husu Ndoa, Mirathi, Wakfu na Mikataba ya Kibiashara na kila jambo ambalo hukumu yake sio kwenda Gerezani bali kutafuta Radhi za Mwenyenzi Mungu katika kupata Muafaka wa jambo husika pale Waislamu wanapo tufautiana.

Sasa Swali ni kwamba kwanini Waislamu wanataka Mahakama ya Kadhi iingizwe kwenye Katiba?.

Sisi Waislamu tunataka Mahakama ya Kadhi iingizwe katika Katiba ili Maamuzi yake yawe na nguvu kisheria kwa yale Mambo yalioamuliwa na Mahakama hizo. Kwa mfano, Kama sula la Ndoa na Talaka, limefanyiwa Maamuzi na Mahakama ya kadhi kwa Mujibu ya Sheria za kiislamu, Asitokee Mtu Mwengine kubatilisha Maamuzi hayo katika Mahakama zisizo kua za Kiislamu.

Suala la Mirathi Mfano Mwengine, ni Suala linalo husu Umilikaji wa Mali na Kuhamisha Umilikaji huo kutoka mtu mmoja hadi mwengine. Suala kama hili huwezi kulifanya bila ya kua na nguvu za kisheria kwa Mujibu wa Katiba.

Yapo Mambo mengi tu, ila tuanze na hayo. Kwa Maana iliyo Rahisi, Mahakama yoyote isio tambuliwa na Katiba ni Mahakama za Kitoto. Na Maamuzi yake yoyote ni sawa na Maamuzi ya Watoto.

MUUNDO WA MAHAKAMA YA KADHI.



  • The Chief Kadhi
  • Deputy Chief Kadhi
  • Principal Kadhi
  • Senior Kadhi
  • Kadhi 1
  • and Kadhi 2



FAIDA ZA KUA NA MAHAKAMA ZA KADHI.

1. Uhuru wa Kuabudu kama katiba inavyotamka
2. Ustawi wa jamiii. Ustawi wa dini yoyote huwafanya wanachi wake kuwa wapole na Waelewa katika maelekezo yanatoka kwa viongozi wao. ( Mfano. Katika Mauji ya kimbari ya Rwanda na Burundi Waislamu na Viongozi wa Kiislamu hawakushiriki kabisa. Na kila aliekimbilia Msikitini alipokelewa bila kujali ni kutoka kabila gani au itikadi gani na kupewa hifadhi ya amani).
3. Kupunguza Migongono ya kifamilia ambayo maamuzi yake hayakushirikisha imani za kidini za watu husika.
4. Utulivu wa Nchi pale inapoonekana nchi ina heshimu mawazo ya raia wake.
5. Kupunguza Maovu yatokanayo na uwelewa mdogo wa raia juu ya zuri na baya.


PROPAGANDA ZA MAADUI WA UISLAMU

Maneno mengi ya Uongo na yenye lengo la kuuchafua na kuwachafua Waislamu na Uislamu yanasemwa na watu wasiokua na Uwelewa wa Kutosha juu ya Mahakama ya Kadhi kama ifuatavyo:-

1.Kuvunjika kwa umoja wa kitaifa uliopo kati ya waislam, wakristu na wapagani
2.Ugomvi wa kimasrahi kati ya wakristu, wapagani na waislam. Endapo Mahakama ya kadhi itaingizwa kwenye katiba ya nchi ni wazi itagharamikiwa na serikali na hivyo viongozi wa dini ya kiislam ambao ndiyo watakuwa makadhi watatumia fedha za walipa kodi wa Tanzania ambao ni waislam, wakristu na wapangani kujinufaisha wenyewe kwa kujitengenezea ajira. Vipi kuhusu viongozi wa dini za wakristu Maaskofu, Mapadri, Wachungaji na Viongozi wa dini za Jadi nao watakuwa wanalipwa na Serikali?
3.Kutoweka kwa wakristu kutokana na utawala wa sharia, sababu hukumu iliyo tawala kwenye sharia ni kifo hivyo wakristu watauwawa kwa kuwa hawatakubali kuishi tamaduni za kiislam
4.Kuporomoka kwa uchumi wa nchi na kuongezeka kwa tatizo la ajira kwa mfano mashule ya wakristu au taasisi za kikristu zitachomwa kama ambavyo unaona yanatokea nchini Nigeria. Viwanda vyote vya vileo vitafungwa, makumbi ya starehe yote yatafungwa. Ukiangalia uchumi wa Tanzania unategemea sana viwanda vya bia, Sigara nk. Sector hiyo ndiyo imeajiri watu wengi sana, anzia kwenye viwanda vyenyewe njoo kwenye mabaa, grosary na makumbi ya starehe.


Hayo yote ni Madai ya uongo na kufikirika. Yaani Mawazo Potofu. Kwa sababu Uislamu haumlazimishi mtu asie kua Muislamu kua Muislamu kwa Lazima. Na wala Mahakama ya Kadhi haita wahukumu wasiokua Waislamu ila kama watapenda Wenyewe kama ilivyo katika nchi za Uingereza na Kwengineko Ulaya kwa baadhi ya Wasiokua Waislamu kuomba Usuluhisho wa Mizozo yao katika Kadhi Courts.

1. Mahakama ya Kadhi itaimarisha Umoja wa Kitaifa badala ya kuuvunja kwani Mahakama hizo zilikuwepo kabla ya Uhuru na ni Waislamu walio waita Wakristo katika Harakati za kudai Uhuru bila kudai itikadi zao. Kwa Mfano katika Waasisi kumi na nne wa TANU, Mkristo alikua Mwalimu Nyerere peke yake na John Rupia. Mwalimu Nyerere alilikiri hilo kabla ya kifo chake.

2. Kukataa Mahakama ya Kadhi kugharamiwa na Serekali ni kutokua Mkomavu wa akili za kisiasa. Kiufupi Walipa kodi katika nchii hii sio Wakiristo peke yao. Na kama ni lazima Waislamu wanaweza kulipa kodi maalumu kwa ajili ya Mahakama za kadhi kama serekali ita wahakikishia Waislamu kua na kodi zao hazita tumika katika jambo jengine lolote la kidini hata lile la Memorundum of Understanding.

3. Mahakama ya Kadhi haita wahukumu wasiokua Waislamu. Hivyo hoja ya kutumia Sharia za Mahakama za Kadhi Kwa Wakristu hilo ni Jungu tu.

4. Kuporomoka kwa uchumi kwa Sababu ya Mahakama ya Kadhi hayo ni Mawazo ya Wendawazimu peke yao. Hata kama zitatumika sheria za kiislamu katika uchumi wa nchi, basi Mafanikio yatakua makubwa sana. Kama unavyo ona sasa kila benk imeanzisha Tawi la Benki ya Kiislamu kutokana na ubora wa Mipingo ya kiuchumi ya benki hizo. Wateja wake kila siku wanaongezeka na Hata wasio kua Waislamu wanajiunga na huduma hizo. Hivyo Msiongee jambo na kupotosha watu kwa sababu ya chuki zenu juu ya Ustawi wa Uislamu.

HITIMISHO

Kua Mkristo isiwe sababu ya Kupinga Mahakama ya Kadhi au Mambo yote yanayo husu Waislamu na Ustawi wa jamii kupitia imani ya Kiislamu kama vile OIC. Zipo nchi nyingi duniani zenye Wakisto wengi kuliko Waislamu lakini wanafaidika na huduma hizo kama Uingereza, Kenya, Uganda na Mozambique na Urusi kuhusu OIC. Tusiongozwe na chuki za kidini katika mambo yenye Maslahi kwa Dini nyingine.
 
BISMILAH RAHMAN RAHIM
Kwajina la Mwenyenzi Mungu Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu.


Bwana Dingswayo Original, nakushukuru sana kwa hoja zako. Kwanza kabisa ningependa ufahamu kua, Hoja zako zina Mchanganyiko wa Ukweli na Uongo. Yaani Propaganda. Lakini mimi nitakuweka sawa katika hilo. Hususani kutokana na ukweli kwamba, huwezi kujifunza Uislamu kutoka kwa Maadui wa Uislamu.

1. MAHAKAMA YA KADHI NI NINI?

Mahakama ya Kadhi kwa Ujumla wake, ni Mfumo wa Kimahakama unao tumia Sheria za Kiisalamu katika kuhukumu Mambo yote yanayo husu Maisha ya Muislamu.

Uislamu ndio dini pekee Duniani ambayo, inayo maelekezo na sheria zake kwa kila jambo linalo Muhusu Muislamu katika kuyaendea maisha yetu hapa duniani. Sheria ambazo lengo lake ni kutufanya tuishi kama binadamu tofauti na viumbe vingine. Pia tuweze kuishi kama jamii na kwa amani.

Maelekezo na Sheria zote za Kiislamu yanatokana na Qur-an na Mafundisho ya Mtume Muhamad (S.A.W).

Muislamu anaelekezwa kila jambo hata liwe dogo kiasi gani. Kwa mfano Uislamu una Muelekeza Muislamu anapotaka kula au Kunywa kinywaji basi atumie mkono wa kulia. Anapokua haja atumie Mkono wa Shoto. Anapo ingia Chooni aingie kwa Mguu wa Kulia na anapotoka chooni atoke kwa mguu wa kushoto. Na nini aseme kabla ya kula au kabla ya kuingi na kutoka chooni. etc.

Vile Uislamu unatoa Makatazo na Maonyo katika Mambo ambayo hayapaswi kufanywa katika jamii. Mfano Uislamu unakataza Mambo yafuaatayo.

1. Usijiue au kuua nafsi isio kua na hatia
2. Heshimu wazazi wako wawili.
3. Usiibe wala kudhulumu mali ya mwenzako
3. Usizini.
4. Usitumie vilevi vyovyote
5. Usitembee uchi
6. Mwanamume asivae mavazi ya kike wala kujifananisha na Mwanamke na Mwanamke asivae Mavazi ya Kiume wala kujifananisha na Mwanaume.
7. Usiwe Muongo wala kusambaza uongo au fitina.
8. Msile mali za mayatima
9. Msile Mizoga ya Wanyama.
10. Usiwe Mchawi au Mshirikina.
11. Mpende jirani yako
12. Msiuwe watoto au kutoa mimba kwa kuogopa Umasikini.
etc.

Mafundisho na Sheria za Kiislamu pia, zimetawala Mambo yote Muhimu yanayo Mhusu Mwanadamu hususan Muislamu katika Mambo ya Ndoa , Mirathi, Wakfu na Migogoro mbalimbali inayotokea katika jamii.


KWANINI WAISLAMU WANATAKA MAHAKAMA YA KADHI IINGIZWWE KWENYE KATIBA.

Kwanza lazima iweleweke kua, sio lengo la Mahakama ya Kadhi katika nchi ambazo sio Dola za Kiislamu kuhukumu makosa ya Jinai. Makosa ya jinai yatahukumiwa kwa mujibu wa Mifumo ya Kimahakama ya Nchi husika. Lengo na Dhumuni la Mahakama ya Kadhi katika nchi kama hizo, ni Kuhukumu mambo yote ya Kiislamu hususan yanayo husu Ndoa, Mirathi, Wakfu na Mikataba ya Kibiashara na kila jambo ambalo hukumu yake sio kwenda Gerezani bali kutafuta Radhi za Mwenyenzi Mungu katika kupata Muafaka wa jambo husika pale Waislamu wanapo tufautiana.

Sasa Swali ni kwamba kwanini Waislamu wanataka Mahakama ya Kadhi iingizwe kwenye Katiba?.

Sisi Waislamu tunataka Mahakama ya Kadhi iingizwe katika Katiba ili Maamuzi yake yawe na nguvu kisheria kwa yale Mambo yalioamuliwa na Mahakama hizo. Kwa mfano, Kama sula la Ndoa na Talaka, limefanyiwa Maamuzi na Mahakama ya kadhi kwa Mujibu ya Sheria za kiislamu, Asitokee Mtu Mwengine kubatilisha Maamuzi hayo katika Mahakama zisizo kua za Kiislamu.

Suala la Mirathi Mfano Mwengine, ni Suala linalo husu Umilikaji wa Mali na Kuhamisha Umilikaji huo kutoka mtu mmoja hadi mwengine. Suala kama hili huwezi kulifanya bila ya kua na nguvu za kisheria kwa Mujibu wa Katiba.

Yapo Mambo mengi tu, ila tuanze na hayo. Kwa Maana iliyo Rahisi, Mahakama yoyote isio tambuliwa na Katiba ni Mahakama za Kitoto. Na Maamuzi yake yoyote ni sawa na Maamuzi ya Watoto.

MUUNDO WA MAHAKAMA YA KADHI.



  • The Chief Kadhi
  • Deputy Chief Kadhi
  • Principal Kadhi
  • Senior Kadhi
  • Kadhi 1
  • and Kadhi 2



FAIDA ZA KUA NA MAHAKAMA ZA KADHI.

1. Uhuru wa Kuabudu kama katiba inavyotamka
2. Ustawi wa jamiii. Ustawi wa dini yoyote huwafanya wanachi wake kuwa wapole na Waelewa katika maelekezo yanatoka kwa viongozi wao. ( Mfano. Katika Mauji ya kimbari ya Rwanda na Burundi Waislamu na Viongozi wa Kiislamu hawakushiriki kabisa. Na kila aliekimbilia Msikitini alipokelewa bila kujali ni kutoka kabila gani au itikadi gani na kupewa hifadhi ya amani).
3. Kupunguza Migongono ya kifamilia ambayo maamuzi yake hayakushirikisha imani za kidini za watu husika.
4. Utulivu wa Nchi pale inapoonekana nchi ina heshimu mawazo ya raia wake.
5. Kupunguza Maovu yatokanayo na uwelewa mdogo wa raia juu ya zuri na baya.


PROPAGANDA ZA MAADUI WA UISLAMU

Maneno mengi ya Uongo na yenye lengo la kuuchafua na kuwachafua Waislamu na Uislamu yanasemwa na watu wasiokua na Uwelewa wa Kutosha juu ya Mahakama ya Kadhi kama ifuatavyo:-

1.Kuvunjika kwa umoja wa kitaifa uliopo kati ya waislam, wakristu na wapagani
2.Ugomvi wa kimasrahi kati ya wakristu, wapagani na waislam. Endapo Mahakama ya kadhi itaingizwa kwenye katiba ya nchi ni wazi itagharamikiwa na serikali na hivyo viongozi wa dini ya kiislam ambao ndiyo watakuwa makadhi watatumia fedha za walipa kodi wa Tanzania ambao ni waislam, wakristu na wapangani kujinufaisha wenyewe kwa kujitengenezea ajira. Vipi kuhusu viongozi wa dini za wakristu Maaskofu, Mapadri, Wachungaji na Viongozi wa dini za Jadi nao watakuwa wanalipwa na Serikali?
3.Kutoweka kwa wakristu kutokana na utawala wa sharia, sababu hukumu iliyo tawala kwenye sharia ni kifo hivyo wakristu watauwawa kwa kuwa hawatakubali kuishi tamaduni za kiislam
4.Kuporomoka kwa uchumi wa nchi na kuongezeka kwa tatizo la ajira kwa mfano mashule ya wakristu au taasisi za kikristu zitachomwa kama ambavyo unaona yanatokea nchini Nigeria. Viwanda vyote vya vileo vitafungwa, makumbi ya starehe yote yatafungwa. Ukiangalia uchumi wa Tanzania unategemea sana viwanda vya bia, Sigara nk. Sector hiyo ndiyo imeajiri watu wengi sana, anzia kwenye viwanda vyenyewe njoo kwenye mabaa, grosary na makumbi ya starehe.


Hayo yote ni Madai ya uongo na kufikirika. Yaani Mawazo Potofu. Kwa sababu Uislamu haumlazimishi mtu asie kua Muislamu kua Muislamu kwa Lazima. Na wala Mahakama ya Kadhi haita wahukumu wasiokua Waislamu ila kama watapenda Wenyewe kama ilivyo katika nchi za Uingereza na Kwengineko Ulaya kwa baadhi ya Wasiokua Waislamu kuomba Usuluhisho wa Mizozo yao katika Kadhi Courts.

1. Mahakama ya Kadhi itaimarisha Umoja wa Kitaifa badala ya kuuvunja kwani Mahakama hizo zilikuwepo kabla ya Uhuru na ni Waislamu walio waita Wakristo katika Harakati za kudai Uhuru bila kudai itikadi zao. Kwa Mfano katika Waasisi kumi na nne wa TANU, Mkristo alikua Mwalimu Nyerere peke yake na John Rupia. Mwalimu Nyerere alilikiri hilo kabla ya kifo chake.

2. Kukataa Mahakama ya Kadhi kugharamiwa na Serekali ni kutokua Mkomavu wa akili za kisiasa. Kiufupi Walipa kodi katika nchii hii sio Wakiristo peke yao. Na kama ni lazima Waislamu wanaweza kulipa kodi maalumu kwa ajili ya Mahakama za kadhi kama serekali ita wahakikishia Waislamu kua na kodi zao hazita tumika katika jambo jengine lolote la kidini hata lile la Memorundum of Understanding.

3. Mahakama ya Kadhi haita wahukumu wasiokua Waislamu. Hivyo hoja ya kutumia Sharia za Mahakama za Kadhi Kwa Wakristu hilo ni Jungu tu.

4. Kuporomoka kwa uchumi kwa Sababu ya Mahakama ya Kadhi hayo ni Mawazo ya Wendawazimu peke yao. Hata kama zitatumika sheria za kiislamu katika uchumi wa nchi, basi Mafanikio yatakua makubwa sana. Kama unavyo ona sasa kila benk imeanzisha Tawi la Benki ya Kiislamu kutokana na ubora wa Mipingo ya kiuchumi ya benki hizo. Wateja wake kila siku wanaongezeka na Hata wasio kua Waislamu wanajiunga na huduma hizo. Hivyo Msiongee jambo na kupotosha watu kwa sababu ya chuki zenu juu ya Ustawi wa Uislamu.

HITIMISHO

Kua Mkristo isiwe sababu ya Kupinga Mahakama ya Kadhi au Mambo yote yanayo husu Waislamu na Ustawi wa jamii kupitia imani ya Kiislamu kama vile OIC. Zipo nchi nyingi duniani zenye Wakisto wengi kuliko Waislamu lakini wanafaidika na huduma hizo kama Uingereza, Kenya, Uganda na Mozambique na Urusi kuhusu OIC. Tusiongozwe na chuki za kidini katika mambo yenye Maslahi kwa Dini nyingine.
Uelew wako umekomea hapo maan umeona bora ufanye kazi ya kucopy ya kupaste vya wenzio, suala la mahakama ya kadhi lilishafafanuliwa vyema kabisaaa sasa hapa unaweka vitu gani?
 
Uelew wako umekomea hapo maan umeona bora ufanye kazi ya kucopy ya kupaste vya wenzio, suala la mahakama ya kadhi lilishafafanuliwa vyema kabisaaa sasa hapa unaweka vitu gani?

Nina kazi nyingine za kufanya sitaki kuumiza kichwa changu kuwajibu wajinga. Hamtaki kuuelwa. That is your notes. Read utill you understand or Remain Fools. Who can't think better than animals.
 
Utashughulika sana kiongozi ungekua unaeleweka Katiba inayopendekezwa ingekutambua hapo unampigia mbuzi gitaa!
 
Nina kazi nyingine za kufanya sitaki kuumiza kichwa changu kuwajibu wajinga. Hamtaki kuuelwa. That is your notes. Read utill you understand or Remain Fools. Who can't think better than animals.


KAZI UNAYO MAANA UNAPOTEZA MUDA HUMU, WENZIO KATIBA YA 1977 na KATIBA INAYOPENDEKEZWA 2014 HAIRUHUSU UCHAKACHUAJI WA MAKUNDI YA DINI KUINGIZWA MAANA YAKIINGIA YATALETA ULEVI WA KUVUTIA KILA MOJA UPANDE WAKE!!! NA MATOKEO YAKE NI ANTI BALAKA NA SELEKA, NEVER NEVER NEVER MAMBO YA DINI YATAINGIZWA SIKU YA KIAMA ENDELEA KUSUBIRI MKUBWA!!


image.jpg
UKWELI KUHUSU MAHAKAMA YA KADHI - itashughulikia mambo yote yanayokwenda kinyume na tamaduni za kiislamu. Mfano Kula hadharani wakati wa mwezi, wa ramadhani, kuchinja kwa mtu ambaye siyo muislamu, kufanya biashara ya vileo, biashara ya nyumba za kulala wageni, biashara ya nguruwe, mavazi yasiyoendana na tamaduni za kiislam kwa maana hiyo ili uwe salama kwa swala la mavazi sharti uvae hijabu kwa wanawake, kanzu na kibaragashia kwa wanaume, msuri na visuruari vizivyogusa viatu.

Kwa nini waislam wanataka Mahakama ya kadhi iingizwe kwenye katiba ya nchi?

Waislam wanataka mahakama ya kadhi iingizwe kwenye katiba ya nchi ili itambulike kisheria na iwe na nguvu kama mahakama za kawaida za makosa ya jinai na hiyo iwe na mamlaka ya kuhukumu watu wote waislam, wakristu na hata wapagani limradi tu hawaishi kwa kufuata tamaduni za kiislam. Mfano mtu atakaye kutwa anakula hadharani wakati wa mwezi wa ramadhani sharia itachukuwa mkondo wake na hukumu iliyotawala kwenye sharia kwa mtu anayeishi kinyume na tamaduni za kiislam ni kuuwawa kwa kuchinywa na jukumu hilo liko kwa Makadhi.

Hivyo basi mahakama ya kadhi ikiingizwa kwenye katiba itakuwa na nguvu za kuhukumu mambo ya siasa, kijamii na makosa ya jinai kwa ujumla kwa raia wote na si kwa waislam peke.

Muundo wa mahakama ya kadhi.

Mahakama ya kazi inafuata muundo wa mahakama za kawaida hivyo zinaanzia ngazi ya chini kabisa kwenye wilaya na hadi ngazi ya kitaifa na mahakimu wa mahakama za kadhi ni makadhi amboa wote ni waislam.

Kazi za Makadhi.

1.Kusikiliza mashauri na kuhukumu kwa kufuata sharia.

2.Kuhakikisha anatokomeza ukristu katika eneo lake na uislam unatawala.
3.Kuhakikisha hakuna kanisa linajengwa katika eneo lake na wala kanisa linapo bomoka halitaruhusiwa kukarabatiwa wala kujengwa tena. Kujenga kanisa ni kinyume na tamaduni za kiislam ndiyo maana utaona wameanza kuchoma makanisa huko Zanzibar na sehemu zingine za Afrika kama Nigeria.

Madhara ya Mahakama ya Kadhi.
1.Kuvunjika kwa umoja wa kitaifa uliopo kati ya waislam, wakristu na wapagani.
2.Ugomvi wa kimasrahi kati ya wakristu, wapagani na waislam. Endapo Mahakama ya kadhi itaingizwa kwenye katiba ya nchi ni wazi itagharamikiwa na serikali na hivyo viongozi wa dini ya kiislam ambao ndiyo watakuwa makadhi watatumia fedha za walipa kodi wa Tanzania na hii haikubaliki shughuli za taasisi za dini kugharamiwa na serikali
 


KAZI UNAYO MAANA UNAPOTEZA MUDA HUMU, WENZIO KATIBA YA 1977 na KATIBA INAYOPENDEKEZWA 2014 HAIRUHUSU UCHAKACHUAJI WA MAKUNDI YA DINI KUINGIZWA MAANA YAKIINGIA YATALETA ULEVI WA KUVUTIA KILA MOJA UPANDE WAKE!!! NA MATOKEO YAKE NI ANTI BALAKA NA SELEKA, NEVER NEVER NEVER MAMBO YA DINI YATAINGIZWA SIKU YA KIAMA ENDELEA KUSUBIRI MKUBWA!!


View attachment 248977
UKWELI KUHUSU MAHAKAMA YA KADHI - itashughulikia mambo yote yanayokwenda kinyume na tamaduni za kiislamu. Mfano Kula hadharani wakati wa mwezi, wa ramadhani, kuchinja kwa mtu ambaye siyo muislamu, kufanya biashara ya vileo, biashara ya nyumba za kulala wageni, biashara ya nguruwe, mavazi yasiyoendana na tamaduni za kiislam kwa maana hiyo ili uwe salama kwa swala la mavazi sharti uvae hijabu kwa wanawake, kanzu na kibaragashia kwa wanaume, msuri na visuruari vizivyogusa viatu.

Kwa nini waislam wanataka Mahakama ya kadhi iingizwe kwenye katiba ya nchi?

Waislam wanataka mahakama ya kadhi iingizwe kwenye katiba ya nchi ili itambulike kisheria na iwe na nguvu kama mahakama za kawaida za makosa ya jinai na hiyo iwe na mamlaka ya kuhukumu watu wote waislam, wakristu na hata wapagani limradi tu hawaishi kwa kufuata tamaduni za kiislam. Mfano mtu atakaye kutwa anakula hadharani wakati wa mwezi wa ramadhani sharia itachukuwa mkondo wake na hukumu iliyotawala kwenye sharia kwa mtu anayeishi kinyume na tamaduni za kiislam ni kuuwawa kwa kuchinywa na jukumu hilo liko kwa Makadhi.

Hivyo basi mahakama ya kadhi ikiingizwa kwenye katiba itakuwa na nguvu za kuhukumu mambo ya siasa, kijamii na makosa ya jinai kwa ujumla kwa raia wote na si kwa waislam peke.

Muundo wa mahakama ya kadhi.

Mahakama ya kazi inafuata muundo wa mahakama za kawaida hivyo zinaanzia ngazi ya chini kabisa kwenye wilaya na hadi ngazi ya kitaifa na mahakimu wa mahakama za kadhi ni makadhi amboa wote ni waislam.

Kazi za Makadhi.

1.Kusikiliza mashauri na kuhukumu kwa kufuata sharia.

2.Kuhakikisha anatokomeza ukristu katika eneo lake na uislam unatawala.
3.Kuhakikisha hakuna kanisa linajengwa katika eneo lake na wala kanisa linapo bomoka halitaruhusiwa kukarabatiwa wala kujengwa tena. Kujenga kanisa ni kinyume na tamaduni za kiislam ndiyo maana utaona wameanza kuchoma makanisa huko Zanzibar na sehemu zingine za Afrika kama Nigeria.

Madhara ya Mahakama ya Kadhi.
1.Kuvunjika kwa umoja wa kitaifa uliopo kati ya waislam, wakristu na wapagani.
2.Ugomvi wa kimasrahi kati ya wakristu, wapagani na waislam. Endapo Mahakama ya kadhi itaingizwa kwenye katiba ya nchi ni wazi itagharamikiwa na serikali na hivyo viongozi wa dini ya kiislam ambao ndiyo watakuwa makadhi watatumia fedha za walipa kodi wa Tanzania na hii haikubaliki shughuli za taasisi za dini kugharamiwa na serikali
Sawa sawa mkuu umeweka ukweli wa maana maana watu wamekuwa watata katika kuelewa hayo mambo muhimu.
 
Utashughulika sana kiongozi ungekua unaeleweka Katiba inayopendekezwa ingekutambua hapo unampigia mbuzi gitaa!



KAZI UNAYO MAANA UNAPOTEZA MUDA HUMU, WENZIO KATIBA YA 1977 na KATIBA INAYOPENDEKEZWA 2014 HAIRUHUSU UCHAKACHUAJI WA MAKUNDI YA DINI KUINGIZWA MAANA YAKIINGIA YATALETA ULEVI WA KUVUTIA KILA MOJA UPANDE WAKE!!! NA MATOKEO YAKE NI ANTI BALAKA NA SELEKA, NEVER NEVER NEVER MAMBO YA DINI YATAINGIZWA SIKU YA KIAMA ENDELEA KUSUBIRI MKUBWA!!


View attachment 248977
UKWELI KUHUSU MAHAKAMA YA KADHI - itashughulikia mambo yote yanayokwenda kinyume na tamaduni za kiislamu. Mfano Kula hadharani wakati wa mwezi, wa ramadhani, kuchinja kwa mtu ambaye siyo muislamu, kufanya biashara ya vileo, biashara ya nyumba za kulala wageni, biashara ya nguruwe, mavazi yasiyoendana na tamaduni za kiislam kwa maana hiyo ili uwe salama kwa swala la mavazi sharti uvae hijabu kwa wanawake, kanzu na kibaragashia kwa wanaume, msuri na visuruari vizivyogusa viatu.


Kwa nini waislam wanataka Mahakama ya kadhi iingizwe kwenye katiba ya nchi?

Waislam wanataka mahakama ya kadhi iingizwe kwenye katiba ya nchi ili itambulike kisheria na iwe na nguvu kama mahakama za kawaida za makosa ya jinai na hiyo iwe na mamlaka ya kuhukumu watu wote waislam, wakristu na hata wapagani limradi tu hawaishi kwa kufuata tamaduni za kiislam. Mfano mtu atakaye kutwa anakula hadharani wakati wa mwezi wa ramadhani sharia itachukuwa mkondo wake na hukumu iliyotawala kwenye sharia kwa mtu anayeishi kinyume na tamaduni za kiislam ni kuuwawa kwa kuchinywa na jukumu hilo liko kwa Makadhi.

Hivyo basi mahakama ya kadhi ikiingizwa kwenye katiba itakuwa na nguvu za kuhukumu mambo ya siasa, kijamii na makosa ya jinai kwa ujumla kwa raia wote na si kwa waislam peke.

Muundo wa mahakama ya kadhi.

Mahakama ya kazi inafuata muundo wa mahakama za kawaida hivyo zinaanzia ngazi ya chini kabisa kwenye wilaya na hadi ngazi ya kitaifa na mahakimu wa mahakama za kadhi ni makadhi amboa wote ni waislam.

Kazi za Makadhi.

1.Kusikiliza mashauri na kuhukumu kwa kufuata sharia.

2.Kuhakikisha anatokomeza ukristu katika eneo lake na uislam unatawala.
3.Kuhakikisha hakuna kanisa linajengwa katika eneo lake na wala kanisa linapo bomoka halitaruhusiwa kukarabatiwa wala kujengwa tena. Kujenga kanisa ni kinyume na tamaduni za kiislam ndiyo maana utaona wameanza kuchoma makanisa huko Zanzibar na sehemu zingine za Afrika kama Nigeria.

Madhara ya Mahakama ya Kadhi.
1.Kuvunjika kwa umoja wa kitaifa uliopo kati ya waislam, wakristu na wapagani.
2.Ugomvi wa kimasrahi kati ya wakristu, wapagani na waislam. Endapo Mahakama ya kadhi itaingizwa kwenye katiba ya nchi ni wazi itagharamikiwa na serikali na hivyo viongozi wa dini ya kiislam ambao ndiyo watakuwa makadhi watatumia fedha za walipa kodi wa Tanzania na hii haikubaliki shughuli za taasisi za dini kugharamiwa na serikali

Sawa sawa mkuu umeweka ukweli wa maana maana watu wamekuwa watata katika kuelewa hayo mambo muhimu.

BISMILAH RAHMAN RAHIM
Kwajina la Mwenyenzi Mungu Mwingi wa Rehema Mwenye Kurehemu.


Bwana Dingswayo Original, nakushukuru sana kwa hoja zako. Kwanza kabisa ningependa ufahamu kua, Hoja zako zina Mchanganyiko wa Ukweli na Uongo. Yaani Propaganda. Lakini mimi nitakuweka sawa katika hilo. Hususani kutokana na ukweli kwamba, huwezi kujifunza Uislamu kutoka kwa Maadui wa Uislamu.

1. MAHAKAMA YA KADHI NI NINI?

Mahakama ya Kadhi kwa Ujumla wake, ni Mfumo wa Kimahakama unao tumia Sheria za Kiisalamu katika kuhukumu Mambo yote yanayo husu Maisha ya Muislamu.

Uislamu ndio dini pekee Duniani ambayo, inayo maelekezo na sheria zake kwa kila jambo linalo Muhusu Muislamu katika kuyaendea maisha yetu hapa duniani. Sheria ambazo lengo lake ni kutufanya tuishi kama binadamu tofauti na viumbe vingine. Pia tuweze kuishi kama jamii na kwa amani.

Maelekezo na Sheria zote za Kiislamu yanatokana na Qur-an na Mafundisho ya Mtume Muhamad (S.A.W).

Muislamu anaelekezwa kila jambo hata liwe dogo kiasi gani. Kwa mfano Uislamu una Muelekeza Muislamu anapotaka kula au Kunywa kinywaji basi atumie mkono wa kulia. Anapokua haja atumie Mkono wa Shoto. Anapo ingia Chooni aingie kwa Mguu wa Kulia na anapotoka chooni atoke kwa mguu wa kushoto. Na nini aseme kabla ya kula au kabla ya kuingi na kutoka chooni. etc.

Vile Uislamu unatoa Makatazo na Maonyo katika Mambo ambayo hayapaswi kufanywa katika jamii. Mfano Uislamu unakataza Mambo yafuaatayo.

1. Usijiue au kuua nafsi isio kua na hatia
2. Heshimu wazazi wako wawili.
3. Usiibe wala kudhulumu mali ya mwenzako
3. Usizini.
4. Usitumie vilevi vyovyote
5. Usitembee uchi
6. Mwanamume asivae mavazi ya kike wala kujifananisha na Mwanamke na Mwanamke asivae Mavazi ya Kiume wala kujifananisha na Mwanaume.
7. Usiwe Muongo wala kusambaza uongo au fitina.
8. Msile mali za mayatima
9. Msile Mizoga ya Wanyama.
10. Usiwe Mchawi au Mshirikina.
11. Mpende jirani yako
12. Msiuwe watoto au kutoa mimba kwa kuogopa Umasikini.
etc.

Mafundisho na Sheria za Kiislamu pia, zimetawala Mambo yote Muhimu yanayo Mhusu Mwanadamu hususan Muislamu katika Mambo ya Ndoa , Mirathi, Wakfu na Migogoro mbalimbali inayotokea katika jamii.


KWANINI WAISLAMU WANATAKA MAHAKAMA YA KADHI IINGIZWWE KWENYE KATIBA.

Kwanza lazima iweleweke kua, sio lengo la Mahakama ya Kadhi katika nchi ambazo sio Dola za Kiislamu kuhukumu makosa ya Jinai. Makosa ya jinai yatahukumiwa kwa mujibu wa Mifumo ya Kimahakama ya Nchi husika. Lengo na Dhumuni la Mahakama ya Kadhi katika nchi kama hizo, ni Kuhukumu mambo yote ya Kiislamu hususan yanayo husu Ndoa, Mirathi, Wakfu na Mikataba ya Kibiashara na kila jambo ambalo hukumu yake sio kwenda Gerezani bali kutafuta Radhi za Mwenyenzi Mungu katika kupata Muafaka wa jambo husika pale Waislamu wanapo tufautiana.

Sasa Swali ni kwamba kwanini Waislamu wanataka Mahakama ya Kadhi iingizwe kwenye Katiba?.

Sisi Waislamu tunataka Mahakama ya Kadhi iingizwe katika Katiba ili Maamuzi yake yawe na nguvu kisheria kwa yale Mambo yalioamuliwa na Mahakama hizo. Kwa mfano, Kama sula la Ndoa na Talaka, limefanyiwa Maamuzi na Mahakama ya kadhi kwa Mujibu ya Sheria za kiislamu, Asitokee Mtu Mwengine kubatilisha Maamuzi hayo katika Mahakama zisizo kua za Kiislamu.

Suala la Mirathi Mfano Mwengine, ni Suala linalo husu Umilikaji wa Mali na Kuhamisha Umilikaji huo kutoka mtu mmoja hadi mwengine. Suala kama hili huwezi kulifanya bila ya kua na nguvu za kisheria kwa Mujibu wa Katiba.

Yapo Mambo mengi tu, ila tuanze na hayo. Kwa Maana iliyo Rahisi, Mahakama yoyote isio tambuliwa na Katiba ni Mahakama za Kitoto. Na Maamuzi yake yoyote ni sawa na Maamuzi ya Watoto.

MUUNDO WA MAHAKAMA YA KADHI.




  • The Chief Kadhi
  • Deputy Chief Kadhi
  • Principal Kadhi
  • Senior Kadhi
  • Kadhi 1
  • and Kadhi 2




FAIDA ZA KUA NA MAHAKAMA ZA KADHI.

1. Uhuru wa Kuabudu kama katiba inavyotamka
2. Ustawi wa jamiii. Ustawi wa dini yoyote huwafanya wanachi wake kuwa wapole na Waelewa katika maelekezo yanatoka kwa viongozi wao. ( Mfano. Katika Mauji ya kimbari ya Rwanda na Burundi Waislamu na Viongozi wa Kiislamu hawakushiriki kabisa. Na kila aliekimbilia Msikitini alipokelewa bila kujali ni kutoka kabila gani au itikadi gani na kupewa hifadhi ya amani).
3. Kupunguza Migongono ya kifamilia ambayo maamuzi yake hayakushirikisha imani za kidini za watu husika.
4. Utulivu wa Nchi pale inapoonekana nchi ina heshimu mawazo ya raia wake.
5. Kupunguza Maovu yatokanayo na uwelewa mdogo wa raia juu ya zuri na baya.


PROPAGANDA ZA MAADUI WA UISLAMU

Maneno mengi ya Uongo na yenye lengo la kuuchafua na kuwachafua Waislamu na Uislamu yanasemwa na watu wasiokua na Uwelewa wa Kutosha juu ya Mahakama ya Kadhi kama ifuatavyo:-

1.Kuvunjika kwa umoja wa kitaifa uliopo kati ya waislam, wakristu na wapagani
2.Ugomvi wa kimasrahi kati ya wakristu, wapagani na waislam. Endapo Mahakama ya kadhi itaingizwa kwenye katiba ya nchi ni wazi itagharamikiwa na serikali na hivyo viongozi wa dini ya kiislam ambao ndiyo watakuwa makadhi watatumia fedha za walipa kodi wa Tanzania ambao ni waislam, wakristu na wapangani kujinufaisha wenyewe kwa kujitengenezea ajira. Vipi kuhusu viongozi wa dini za wakristu Maaskofu, Mapadri, Wachungaji na Viongozi wa dini za Jadi nao watakuwa wanalipwa na Serikali?
3.Kutoweka kwa wakristu kutokana na utawala wa sharia, sababu hukumu iliyo tawala kwenye sharia ni kifo hivyo wakristu watauwawa kwa kuwa hawatakubali kuishi tamaduni za kiislam
4.Kuporomoka kwa uchumi wa nchi na kuongezeka kwa tatizo la ajira kwa mfano mashule ya wakristu au taasisi za kikristu zitachomwa kama ambavyo unaona yanatokea nchini Nigeria. Viwanda vyote vya vileo vitafungwa, makumbi ya starehe yote yatafungwa. Ukiangalia uchumi wa Tanzania unategemea sana viwanda vya bia, Sigara nk. Sector hiyo ndiyo imeajiri watu wengi sana, anzia kwenye viwanda vyenyewe njoo kwenye mabaa, grosary na makumbi ya starehe.


Hayo yote ni Madai ya uongo na kufikirika. Yaani Mawazo Potofu. Kwa sababu Uislamu haumlazimishi mtu asie kua Muislamu kua Muislamu kwa Lazima. Na wala Mahakama ya Kadhi haita wahukumu wasiokua Waislamu ila kama watapenda Wenyewe kama ilivyo katika nchi za Uingereza na Kwengineko Ulaya kwa baadhi ya Wasiokua Waislamu kuomba Usuluhisho wa Mizozo yao katika Kadhi Courts.

1. Mahakama ya Kadhi itaimarisha Umoja wa Kitaifa badala ya kuuvunja kwani Mahakama hizo zilikuwepo kabla ya Uhuru na ni Waislamu walio waita Wakristo katika Harakati za kudai Uhuru bila kudai itikadi zao. Kwa Mfano katika Waasisi kumi na nne wa TANU, Mkristo alikua Mwalimu Nyerere peke yake na John Rupia. Mwalimu Nyerere alilikiri hilo kabla ya kifo chake.

2. Kukataa Mahakama ya Kadhi kugharamiwa na Serekali ni kutokua Mkomavu wa akili za kisiasa. Kiufupi Walipa kodi katika nchii hii sio Wakiristo peke yao. Na kama ni lazima Waislamu wanaweza kulipa kodi maalumu kwa ajili ya Mahakama za kadhi kama serekali ita wahakikishia Waislamu kua na kodi zao hazita tumika katika jambo jengine lolote la kidini hata lile la Memorundum of Understanding.

3. Mahakama ya Kadhi haita wahukumu wasiokua Waislamu. Hivyo hoja ya kutumia Sharia za Mahakama za Kadhi Kwa Wakristu hilo ni Jungu tu.

4. Kuporomoka kwa uchumi kwa Sababu ya Mahakama ya Kadhi hayo ni Mawazo ya Wendawazimu peke yao. Hata kama zitatumika sheria za kiislamu katika uchumi wa nchi, basi Mafanikio yatakua makubwa sana. Kama unavyo ona sasa kila benk imeanzisha Tawi la Benki ya Kiislamu kutokana na ubora wa Mipingo ya kiuchumi ya benki hizo. Wateja wake kila siku wanaongezeka na Hata wasio kua Waislamu wanajiunga na huduma hizo. Hivyo Msiongee jambo na kupotosha watu kwa sababu ya chuki zenu juu ya Ustawi wa Uislamu.

HITIMISHO

Kua Mkristo isiwe sababu ya Kupinga Mahakama ya Kadhi au Mambo yote yanayo husu Waislamu na Ustawi wa jamii kupitia imani ya Kiislamu kama vile OIC. Zipo nchi nyingi duniani zenye Wakisto wengi kuliko Waislamu lakini wanafaidika na huduma hizo kama Uingereza, Kenya, Uganda na Mozambique na Urusi kuhusu OIC. Tusiongozwe na chuki za kidini katika mambo yenye Maslahi kwa Dini nyingine.


 
Back
Top Bottom