Uchaguzi huu October 2015, Ni Mahakama ya Kadhi V/S CCM. (Tutaona nani Mshindi).

Uchaguzi huu October 2015, Ni Mahakama ya Kadhi V/S CCM. (Tutaona nani Mshindi).

Amechaguliwa na Waisilamu na Wakristo wenye nia njema na Nchi hii. Sio hao wakiristo ambao kwao wao ni kama ilivyokua wakati wa kudai uhuru, ni Ukiristo kwanza Tanzania baadae!


Unajichanganya mwenyewe kwa maneno yako eleweka !!!
 
Naangalia TBC sasa hivi, Namuona Rais wa Nchi yetu akiongolea suala la kura kwa katiba Pendekezwa. Inaonekana Rais amelishwa maneno mengi ya Uongo kuhusu ukusunywaji wa Maoni ya Katiba hiyo.


Waislamu wote na Taasisi zake walitoa Maoni kuhusu Mahakama ya Kadhi, lakini Sio Jaji Joseph Warioba wala Kundi la Kina Endrew Chenge waliothamini maoni ya Waislamu hao.

Leo Rais ametuthibitishia kua Serekali haita anzisha Mahakama ya Kadhi wala haita igaramia. Jukumu hilo ni la Waislamu wenyewe.

Mimi nimemuelewa sana Muheshimiwa Rais kua, Nyie Waislamu tumewachezea vya kutosha, tumewatumia vya kutosha, tumetumia majina yakiislamu kwa maslahi yetu. Tumewazuga vya kutosha. Imekula kwenu mtajua wenyewe.

Huo ndio uliokua msimamo wa Serekali ya CCM tangu zamani, ila wanapo ona wamebanwa hukimbilia kwa Waislamu na Misikitini kama ilivyokua Uchaguzi wa 2010. Waislamu walikua wanaswali Msikiti Kichangani ni Mashuhuda ya hili ni nalo lisema. Pale Yule Sheikh Kijana Mweupe alipokua akisimama na ijumaa takribani tatu za Mwisho kabla ya Uchaguzi na kuwabadilsha Waislamu muelekeo. Kua tumchague mwenzetu. Je Sheikh Umemuona mwenzetu huyo na kundi lake?

Sheikh Jongo hili tulikwambia. Sasa umeyaona. Sasa tunasubiri yale uliyoyasema pale Msikiti wa Gadafi Dodoma.

Sasa Jukumu la Mahakama ya Kadhi lipo Mikononi mwa Waislamu wenyewe. Haya sasa Waislamu ni Mpambano kati ya Dunia na Akhera.

Kila nafsi itauonja Umati.



Unaelewa ulichokiandika? acha kudumaza akili yako kwa kigezo cha mnyaazi Mungu. Think big utaelewa tu kuwa mheshimiwa raisi yoko sahihi 100%. acha kuwa mtaalamu wa kulalamika na kupotasha wengine wenye uelewa mdogo kama wako maana watakufuata wasifike cos ya akili mgando.
 
Unaelewa ulichokiandika? acha kudumaza akili yako kwa kigezo cha mnyaazi Mungu. Think big utaelewa tu kuwa mheshimiwa raisi yoko sahihi 100%. acha kuwa mtaalamu wa kulalamika na kupotasha wengine wenye uelewa mdogo kama wako maana watakufuata wasifike cos ya akili mgando.

Wasioitakia mema Katiba hii hawana jipya.
 
Acha unafiki waislamu wanaitaka.

Lolowapi acha kupoteza muda wako humu Ibara ya 41 kwenye katiba inayopendekezwa imepiga chini hii kitu, Ujue kabisa Kadhi sio Watanzania bila kadhi maisha yanaenda wewe tumeshatinga miaka 53 wewe umechoka!
 
Huyo Ishmael anapenda ligi kutaka kutuvurugia katiba na kuleta ya kwake tusiyoijua hapa, wala hatukupi nafasi.
Jibuni swali bana.

Waislam wanasema kuwa, wao wapewe Mahakama ya Kadhi.

SWALI:

WAPI Allah kasema katika Quran kuwa Waislam watumie Mahakama ya Kadhi?
 
Kuna mbunge wa ccm anaitwa jafo alipaniki kweli akasema jamani naomba wabunge waislamu tukutane msikitini baadaye tuweke msimamo kwa ajili ya kesho...waislamu ndugu zangu mara zote mnatumika kwa ajili ya uzuzu na kupenda ubwabwa..
 
Kuna mbunge wa ccm anaitwa jafo alipaniki kweli akasema jamani naomba wabunge waislamu tukutane msikitini baadaye tuweke msimamo kwa ajili ya kesho...waislamu ndugu zangu mara zote mnatumika kwa ajili ya uzuzu na kupenda ubwabwa..
hahahahaha duh
 
Jibuni swali bana.

Waislam wanasema kuwa, wao wapewe Mahakama ya Kadhi.

SWALI:

WAPI Allah kasema katika Quran kuwa Waislam watumie Mahakama ya Kadhi?

Ishameil naona karibia unaehuka na kudai mahakama ya kadhi sijui unataka uwe hakimu?Hivi hao waislam wachache wanaodai Mahakama ya Kadhi unaowasema wanaidai wapi ili wapewe? Imekuwa biscut, bigji au mshahara? Kwani hiyo serikali ndio imeichukua ikaifungia kwenye makabati hadi mtake iwarudishie? serikali haina dini na wala hiyo mahakama hawaijui ndo maana piga chini fasta,
 
Kuna mbunge wa ccm anaitwa jafo alipaniki kweli akasema jamani naomba wabunge waislamu tukutane msikitini baadaye tuweke msimamo kwa ajili ya kesho...waislamu ndugu zangu mara zote mnatumika kwa ajili ya uzuzu na kupenda ubwabwa..

duuu jumbe nyingine ucpime, ningekua ni mimi nimeleta hoja hii ya udini ningeiondoa,
 
Ishameil naona karibia unaehuka na kudai mahakama ya kadhi sijui unataka uwe hakimu?Hivi hao waislam wachache wanaodai Mahakama ya Kadhi unaowasema wanaidai wapi ili wapewe? Imekuwa biscut, bigji au mshahara? Kwani hiyo serikali ndio imeichukua ikaifungia kwenye makabati hadi mtake iwarudishie? serikali haina dini na wala hiyo mahakama hawaijui ndo maana piga chini fasta,
Nimeweka maswali mengi sana ya msingi lakini hayajibiwi:

1. Wapi Allah kasema kuwa Waislam watumie Mahakama ya Kadhi?
2. Wapi kwenye Quran panasema na au toa Wadhifa wa nani awe hakimu/kadhi?
3. Je, Sunni na Shia watatumia Mahakama hiyo hiyo na hakimu wa Shia atatoa hukumu kwa Sunni?
4. Kwanini Wanawake wa Kiislam hawaruhusiwi kuwa Mahakimu wa hizo Mahakama?

Haya jaribu kutafuta majibu ya hao maswali.
 
Nimeweka maswali mengi sana ya msingi lakini hayajibiwi:

1. Wapi Allah kasema kuwa Waislam watumie Mahakama ya Kadhi?
2. Wapi kwenye Quran panasema na au toa Wadhifa wa nani awe hakimu/kadhi?
3. Je, Sunni na Shia watatumia Mahakama hiyo hiyo na hakimu wa Shia atatoa hukumu kwa Sunni?
4. Kwanini Wanawake wa Kiislam hawaruhusiwi kuwa Mahakimu wa hizo Mahakama?


WAPI Allah kasema katika Quran kuwa Waislam watumie Mahakama ya Kadhi?

Ishameil Mie najaribu kujibu kama ifuatavyo hao wananchi kudai mahakama ya kadhi sijui wanataka nini Afu hao ni waislam wachache sana wanaodai Mahakama ya Kadhi afu nashangaa sijui wanaidai wapi ili wapewe? Imekuwa biscut, bigji au mshahara? Kwani hiyo serikali ndio imeichukua ikaifungia kwenye makabati hadi mtake iwarudishie? serikali haina dini na wala hiyo mahakama hawaijui ndo maana piga chini fasta,

Sijui nimekujibu hapa naomba mwongozo.
 
Unaelewa ulichokiandika? acha kudumaza akili yako kwa kigezo cha mnyaazi Mungu. Think big utaelewa tu kuwa mheshimiwa raisi yoko sahihi 100%. acha kuwa mtaalamu wa kulalamika na kupotasha wengine wenye uelewa mdogo kama wako maana watakufuata wasifike cos ya akili mgando.

Wasioitakia mema Katiba hii hawana jipya.

Jibuni swali bana.

Waislam wanasema kuwa, wao wapewe Mahakama ya Kadhi.

SWALI:

WAPI Allah kasema katika Quran kuwa Waislam watumie Mahakama ya Kadhi?

Kuna mbunge wa ccm anaitwa jafo alipaniki kweli akasema jamani naomba wabunge waislamu tukutane msikitini baadaye tuweke msimamo kwa ajili ya kesho...waislamu ndugu zangu mara zote mnatumika kwa ajili ya uzuzu na kupenda ubwabwa..

Ishameil naona karibia unaehuka na kudai mahakama ya kadhi sijui unataka uwe hakimu?Hivi hao waislam wachache wanaodai Mahakama ya Kadhi unaowasema wanaidai wapi ili wapewe? Imekuwa biscut, bigji au mshahara? Kwani hiyo serikali ndio imeichukua ikaifungia kwenye makabati hadi mtake iwarudishie? serikali haina dini na wala hiyo mahakama hawaijui ndo maana piga chini fasta,

duuu jumbe nyingine ucpime, ningekua ni mimi nimeleta hoja hii ya udini ningeiondoa,

Nimeweka maswali mengi sana ya msingi lakini hayajibiwi:

1. Wapi Allah kasema kuwa Waislam watumie Mahakama ya Kadhi?
2. Wapi kwenye Quran panasema na au toa Wadhifa wa nani awe hakimu/kadhi?
3. Je, Sunni na Shia watatumia Mahakama hiyo hiyo na hakimu wa Shia atatoa hukumu kwa Sunni?
4. Kwanini Wanawake wa Kiislam hawaruhusiwi kuwa Mahakimu wa hizo Mahakama?

Haya jaribu kutafuta majibu ya hao maswali.

Wee mwenyewe huelewi unaongea nini ndio maana unaishia kulia.

Ishameil Mie najaribu kujibu kama ifuatavyo hao wananchi kudai mahakama ya kadhi sijui wanataka nini Afu hao ni waislam wachache sana wanaodai Mahakama ya Kadhi afu nashangaa sijui wanaidai wapi ili wapewe? Imekuwa biscut, bigji au mshahara? Kwani hiyo serikali ndio imeichukua ikaifungia kwenye makabati hadi mtake iwarudishie? serikali haina dini na wala hiyo mahakama hawaijui ndo maana piga chini fasta,

Sijui nimekujibu hapa naomba mwongozo.

Kwahiyo hamtaki Mahakama ya Kadhi lakini mnataka Ushoga.
 
Kwahiyo hamtaki Mahakama ya Kadhi lakini mnataka Ushoga.
1. Wapi Allah kasema kuwa Waislam watumie Mahakama ya Kadhi?
2. Wapi kwenye Quran panasema na au toa Wadhifa wa nani awe hakimu/kadhi?
3. Je, Sunni na Shia watatumia Mahakama hiyo hiyo na hakimu wa Shia atatoa hukumu kwa Sunni?
4. Kwanini Wanawake wa Kiislam hawaruhusiwi kuwa Mahakimu wa hizo Mahakama?
 
Mzimu unapenda sana malumbano ya kidini humu sijui unacheo gani kwenye msikiti wako maana hata sikuelewi ndugu,usipende kuongea maneno ya kuwadharirisha waislamu na kuwaunganisha wote na mpango wako huu usiolitakia mema taifa la Tanzania!naomba utambue kuwa waislamu ni watu makini,na wako timamu na wenye uwezo wa hali ya juu katika kufanya mambo yao hata siku moja usikae ukajifariji na kuwaza kuwa siku moja itatokea serikali iwadharau watu wake hata kidogo!

So you know a good Muslim and a Bad Muslim according to your standards,
 
So you know a good Muslim and a Bad Muslim according to your standards,

Jamani, dini zetu zote zipo kwa ajiki ya kumsaida mwadamu aishi maisha mema ya kumpendeza Mwenyezi Mungu. Naamini Tanzania tuna dini za aina hiyo endapo waumini wa dini hizo hawazitumii kulingana na maagizo ya mwenyezi Mungu maana yake hata wao wamekiuka miiko ya dini hizo. Kwa hiyo dini ziwe kichocheo cha maisha mema hapa duniani na hatimaye zitufikishe kwa Mola
 
Kuna mbunge wa ccm anaitwa jafo alipaniki kweli akasema jamani naomba wabunge waislamu tukutane msikitini baadaye tuweke msimamo kwa ajili ya kesho...waislamu ndugu zangu mara zote mnatumika kwa ajili ya uzuzu na kupenda ubwabwa..

Vipi kukutana kanisan nao ni uzuzu?
 
Bigteacher nawe umefufukia wapi! Inallah Maswabrina. Wabillah Tawfiq. Soma katiba Inayopendekezwa ujue mambo usizoee kumeza kama ulivyomeza hiyo aya isiyo aya!

Hakuna hata cha maana ulichoandika hapo
 
Back
Top Bottom