Uchaguzi huu October 2015, Ni Mahakama ya Kadhi V/S CCM. (Tutaona nani Mshindi).

Amechaguliwa na Waisilamu na Wakristo wenye nia njema na Nchi hii. Sio hao wakiristo ambao kwao wao ni kama ilivyokua wakati wa kudai uhuru, ni Ukiristo kwanza Tanzania baadae!


Unajichanganya mwenyewe kwa maneno yako eleweka !!!
 

Unaelewa ulichokiandika? acha kudumaza akili yako kwa kigezo cha mnyaazi Mungu. Think big utaelewa tu kuwa mheshimiwa raisi yoko sahihi 100%. acha kuwa mtaalamu wa kulalamika na kupotasha wengine wenye uelewa mdogo kama wako maana watakufuata wasifike cos ya akili mgando.
 

Wasioitakia mema Katiba hii hawana jipya.
 
Acha unafiki waislamu wanaitaka.

Lolowapi acha kupoteza muda wako humu Ibara ya 41 kwenye katiba inayopendekezwa imepiga chini hii kitu, Ujue kabisa Kadhi sio Watanzania bila kadhi maisha yanaenda wewe tumeshatinga miaka 53 wewe umechoka!
 
Huyo Ishmael anapenda ligi kutaka kutuvurugia katiba na kuleta ya kwake tusiyoijua hapa, wala hatukupi nafasi.
Jibuni swali bana.

Waislam wanasema kuwa, wao wapewe Mahakama ya Kadhi.

SWALI:

WAPI Allah kasema katika Quran kuwa Waislam watumie Mahakama ya Kadhi?
 
Kuna mbunge wa ccm anaitwa jafo alipaniki kweli akasema jamani naomba wabunge waislamu tukutane msikitini baadaye tuweke msimamo kwa ajili ya kesho...waislamu ndugu zangu mara zote mnatumika kwa ajili ya uzuzu na kupenda ubwabwa..
 
Kuna mbunge wa ccm anaitwa jafo alipaniki kweli akasema jamani naomba wabunge waislamu tukutane msikitini baadaye tuweke msimamo kwa ajili ya kesho...waislamu ndugu zangu mara zote mnatumika kwa ajili ya uzuzu na kupenda ubwabwa..
hahahahaha duh
 
Jibuni swali bana.

Waislam wanasema kuwa, wao wapewe Mahakama ya Kadhi.

SWALI:

WAPI Allah kasema katika Quran kuwa Waislam watumie Mahakama ya Kadhi?

Ishameil naona karibia unaehuka na kudai mahakama ya kadhi sijui unataka uwe hakimu?Hivi hao waislam wachache wanaodai Mahakama ya Kadhi unaowasema wanaidai wapi ili wapewe? Imekuwa biscut, bigji au mshahara? Kwani hiyo serikali ndio imeichukua ikaifungia kwenye makabati hadi mtake iwarudishie? serikali haina dini na wala hiyo mahakama hawaijui ndo maana piga chini fasta,
 
Kuna mbunge wa ccm anaitwa jafo alipaniki kweli akasema jamani naomba wabunge waislamu tukutane msikitini baadaye tuweke msimamo kwa ajili ya kesho...waislamu ndugu zangu mara zote mnatumika kwa ajili ya uzuzu na kupenda ubwabwa..

duuu jumbe nyingine ucpime, ningekua ni mimi nimeleta hoja hii ya udini ningeiondoa,
 
Nimeweka maswali mengi sana ya msingi lakini hayajibiwi:

1. Wapi Allah kasema kuwa Waislam watumie Mahakama ya Kadhi?
2. Wapi kwenye Quran panasema na au toa Wadhifa wa nani awe hakimu/kadhi?
3. Je, Sunni na Shia watatumia Mahakama hiyo hiyo na hakimu wa Shia atatoa hukumu kwa Sunni?
4. Kwanini Wanawake wa Kiislam hawaruhusiwi kuwa Mahakimu wa hizo Mahakama?

Haya jaribu kutafuta majibu ya hao maswali.
 

Ishameil Mie najaribu kujibu kama ifuatavyo hao wananchi kudai mahakama ya kadhi sijui wanataka nini Afu hao ni waislam wachache sana wanaodai Mahakama ya Kadhi afu nashangaa sijui wanaidai wapi ili wapewe? Imekuwa biscut, bigji au mshahara? Kwani hiyo serikali ndio imeichukua ikaifungia kwenye makabati hadi mtake iwarudishie? serikali haina dini na wala hiyo mahakama hawaijui ndo maana piga chini fasta,

Sijui nimekujibu hapa naomba mwongozo.
 

Wasioitakia mema Katiba hii hawana jipya.

Jibuni swali bana.

Waislam wanasema kuwa, wao wapewe Mahakama ya Kadhi.

SWALI:

WAPI Allah kasema katika Quran kuwa Waislam watumie Mahakama ya Kadhi?

Kuna mbunge wa ccm anaitwa jafo alipaniki kweli akasema jamani naomba wabunge waislamu tukutane msikitini baadaye tuweke msimamo kwa ajili ya kesho...waislamu ndugu zangu mara zote mnatumika kwa ajili ya uzuzu na kupenda ubwabwa..


duuu jumbe nyingine ucpime, ningekua ni mimi nimeleta hoja hii ya udini ningeiondoa,


Wee mwenyewe huelewi unaongea nini ndio maana unaishia kulia.


Kwahiyo hamtaki Mahakama ya Kadhi lakini mnataka Ushoga.
 
Kwahiyo hamtaki Mahakama ya Kadhi lakini mnataka Ushoga.
1. Wapi Allah kasema kuwa Waislam watumie Mahakama ya Kadhi?
2. Wapi kwenye Quran panasema na au toa Wadhifa wa nani awe hakimu/kadhi?
3. Je, Sunni na Shia watatumia Mahakama hiyo hiyo na hakimu wa Shia atatoa hukumu kwa Sunni?
4. Kwanini Wanawake wa Kiislam hawaruhusiwi kuwa Mahakimu wa hizo Mahakama?
 

So you know a good Muslim and a Bad Muslim according to your standards,
 
So you know a good Muslim and a Bad Muslim according to your standards,

Jamani, dini zetu zote zipo kwa ajiki ya kumsaida mwadamu aishi maisha mema ya kumpendeza Mwenyezi Mungu. Naamini Tanzania tuna dini za aina hiyo endapo waumini wa dini hizo hawazitumii kulingana na maagizo ya mwenyezi Mungu maana yake hata wao wamekiuka miiko ya dini hizo. Kwa hiyo dini ziwe kichocheo cha maisha mema hapa duniani na hatimaye zitufikishe kwa Mola
 
Kuna mbunge wa ccm anaitwa jafo alipaniki kweli akasema jamani naomba wabunge waislamu tukutane msikitini baadaye tuweke msimamo kwa ajili ya kesho...waislamu ndugu zangu mara zote mnatumika kwa ajili ya uzuzu na kupenda ubwabwa..

Vipi kukutana kanisan nao ni uzuzu?
 
Bigteacher nawe umefufukia wapi! Inallah Maswabrina. Wabillah Tawfiq. Soma katiba Inayopendekezwa ujue mambo usizoee kumeza kama ulivyomeza hiyo aya isiyo aya!

Hakuna hata cha maana ulichoandika hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…