LGE2024 Uchaguzi huu uliopita ni kuwadharau Watanzania kwa kiwango cha juu sana

LGE2024 Uchaguzi huu uliopita ni kuwadharau Watanzania kwa kiwango cha juu sana

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mushkov

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2024
Posts
357
Reaction score
686
Ndugu zangu, binafsi nimetafakari kwa kina kile kilichofanyika kwenye kile kilichoitwa uchaguzi wa serikali za mitaa. Yaliyofanyika ni zaidi hata ya kinachosemwa. Ni hatari kweli kweli.

Uchaguzi huu umeonesha ni kwa jinsi gani waliopo madarakani wanavyowadharau wananchi wao.

Ebu fikirini kidogo hapa:-
1. Mwananchi aache shughuli zake asafiri kwenda kituo cha kupigia kura tena kwa gharama zake.

2. Mwananchi huyo apange foleni kwa muda mrefu ili kupiga kura.

3. Mwananchi huyo huyo apige kura yake akimchagua anayemtaka kisha aanze kurudi nyumbani tena kwa gharama zake.

Mwisho wa siku wanatupilia mbali machaguo ya wananchi na kuweka machaguo yao tena kikundi cha watu wachache tu kinachoamua kufanya hivyo. Huku ni kuwadharau Watanzania kwa kiwango cha juu sana.

Kutokana na hali ilivyo:-
1. Kila Mtanzania mwenye nia njema na Nchi hii atoe Elimu angalau kwa Watanzania 10 hivi kuhusu uchafu huu.

2. Mimi binafsi na Watanzania wenzangu, tusikubali tena kuingia kwenye uchaguzi mwingine wowote tukiwa katika hali hii hii.
3. Tuunge mkono kwa nguvu na hasira kubwa hatua zozote zile zinazolenga kubadili ujinga huu. Tuache kulia lia tu, bali tuchukue hatua madhubuti kupinga vitendo hivi lakini kuzingatia kwanza amani ya Nchi. Ili kufikia malengo mahsudi, naomba nijielekeze kwa wafuatao:-

1. VYOMBO VYETU VYOTE VYA ULINZI NA USALAMA.
Niombe vyombo hivi uzalendo wao uonekane katika kuwapigania Watanzania na si tu kutekeleza matakwa ya waliopo madarakani. Watanzania wanaviheshimu sana vyombo hivi. Wakati mwingine wakumbusheni watawala kwamba hili linalopangwa kufanyika si sahihi. Tena semeni hivyo bila ugomvi(politely). Mimi naamini majeshi yetu ni CHUMVI ya Nchi. Je, CHUMVI ikiharibika au ikiharibiwa kitu gani tena kitaifanya irudi hali yake ya awali?

2. TAASISI ZA DINI NK.
Kwa upande wa Taasisi za Dini, kuna uwanja mpana sana wa kuelimisha jamii kuhusu masuala mbalimbali. Naomba TEC, BAKWATA, CCT na WENGINEO turudi kwenye mstari ili kuiokoa Nchi hii. Tuweke maazimio kwamba kila siku ya ibada ni lazima anayeongoza ibada achopeke Elimu ya Uraia na kukemea vikali Mambo haya ya ovyo. Kama tulijisahau, basi tuamke kuanzia leo.

3. VYOMBO VYA HABARI.
Vyombo vyote vya habari Nchini veweke mkakati maalumu wa kutoa Elimu ya Uraia kwa Watanzania wote ikiwa ni pamoja na kukemea haya yasiyofaa.
Mimi naamini, kama vyombo hivi vingetumia vizuri platform zao, yaliyotokea yasingetokea na yasingekuja kutokea hata kidogo. Lakini bado hatujachelewa.

Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika. Amina.
 
Ndugu zangu, binafsi nimetafakari kwa kina kile kilichofanyika kwenye kile kilichoitwa uchaguzi wa serikali za mitaa. Yaliyofanyika ni zaidi hata ya kinachosemwa. Ni hatari kweli kweli.

Uchaguzi huu umeonesha ni kwa jinsi gani waliopo madarakani wanavyowadharau wananchi wao.

Ebu fikirini kidogo hapa:-
1. Mwananchi aache shughuli zake asafiri kwenda kituo cha kupigia kura tena kwa gharama zake.

2. Mwananchi huyo apange foleni kwa muda mrefu ili kupiga kura.

3. Mwananchi huyo huyo apige kura yake akimchagua anayemtaka kisha aanze kurudi nyumbani tena kwa gharama zake.

Mwisho wa siku wanatupilia mbali machaguo ya wananchi na kuweka machaguo yao tena kikundi cha watu wachache tu kinachoamua kufanya hivyo. Huku ni kuwadharau Watanzania kwa kiwango cha juu sana.

Kutokana na hali ilivyo:-
1. Kila Mtanzania mwenye nia njema na Nchi hii atoe Elimu angalau kwa Watanzania 10 hivi kuhusu uchafu huu.

2. Mimi binafsi na Watanzania wenzangu, tusikubali tena kuingia kwenye uchaguzi mwingine wowote tukiwa katika hali hii hii.
3. Tuunge mkono kwa nguvu na hasira kubwa hatua zozote zile zinazolenga kubadili ujinga huu. Tuache kulia lia tu, bali tuchukue hatua madhubuti kupinga vitendo hivi lakini kuzingatia kwanza amani ya Nchi. Ili kufikia malengo mahsudi, naomba nijielekeze kwa wafuatao:-

1. VYOMBO VYETU VYOTE VYA ULINZI NA USALAMA.
Niombe vyombo hivi uzalendo wao uonekane katika kuwapigania Watanzania na si tu kutekeleza matakwa ya waliopo madarakani. Watanzania wanaviheshimu sana vyombo hivi. Wakati mwingine wakumbusheni watawala kwamba hili linalopangwa kufanyika si sahihi. Tena semeni hivyo bila ugomvi(politely). Mimi naamini majeshi yetu ni CHUMVI ya Nchi. Je, CHUMVI ikiharibika au ikiharibiwa kitu gani tena kitaifanya irudi hali yake ya awali?

2. TAASISI ZA DINI NK.
Kwa upande wa Taasisi za Dini, kuna uwanja mpana sana wa kuelimisha jamii kuhusu masuala mbalimbali. Naomba TEC, BAKWATA, CCT na WENGINEO turudi kwenye mstari ili kuiokoa Nchi hii. Tuweke maazimio kwamba kila siku ya ibada ni lazima anayeongoza ibada achopeke Elimu ya Uraia na kukemea vikali Mambo haya ya ovyo. Kama tulijisahau, basi tuamke kuanzia leo.

3. VYOMBO VYA HABARI.
Vyombo vyote vya habari Nchini veweke mkakati maalumu wa kutoa Elimu ya Uraia kwa Watanzania wote ikiwa ni pamoja na kukemea haya yasiyofaa.
Mimi naamini, kama vyombo hivi vingetumia vizuri platform zao, yaliyotokea yasingetokea na yasingekuja kutokea hata kidogo. Lakini bado hatujachelewa.

Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika. Amina.
Watanzania wenyewe wanasemaje baada ya kujua kwamba wamedharauliwa au wamechukua hatua gani?
 
Ndugu zangu, binafsi nimetafakari kwa kina kile kilichofanyika kwenye kile kilichoitwa uchaguzi wa serikali za mitaa. Yaliyofanyika ni zaidi hata ya kinachosemwa. Ni hatari kweli kweli.

Uchaguzi huu umeonesha ni kwa jinsi gani waliopo madarakani wanavyowadharau wananchi wao.

Ebu fikirini kidogo hapa:-
1. Mwananchi aache shughuli zake asafiri kwenda kituo cha kupigia kura tena kwa gharama zake.

2. Mwananchi huyo apange foleni kwa muda mrefu ili kupiga kura.

3. Mwananchi huyo huyo apige kura yake akimchagua anayemtaka kisha aanze kurudi nyumbani tena kwa gharama zake.

Mwisho wa siku wanatupilia mbali machaguo ya wananchi na kuweka machaguo yao tena kikundi cha watu wachache tu kinachoamua kufanya hivyo. Huku ni kuwadharau Watanzania kwa kiwango cha juu sana.

Kutokana na hali ilivyo:-
1. Kila Mtanzania mwenye nia njema na Nchi hii atoe Elimu angalau kwa Watanzania 10 hivi kuhusu uchafu huu.

2. Mimi binafsi na Watanzania wenzangu, tusikubali tena kuingia kwenye uchaguzi mwingine wowote tukiwa katika hali hii hii.
3. Tuunge mkono kwa nguvu na hasira kubwa hatua zozote zile zinazolenga kubadili ujinga huu. Tuache kulia lia tu, bali tuchukue hatua madhubuti kupinga vitendo hivi lakini kuzingatia kwanza amani ya Nchi. Ili kufikia malengo mahsudi, naomba nijielekeze kwa wafuatao:-

1. VYOMBO VYETU VYOTE VYA ULINZI NA USALAMA.
Niombe vyombo hivi uzalendo wao uonekane katika kuwapigania Watanzania na si tu kutekeleza matakwa ya waliopo madarakani. Watanzania wanaviheshimu sana vyombo hivi. Wakati mwingine wakumbusheni watawala kwamba hili linalopangwa kufanyika si sahihi. Tena semeni hivyo bila ugomvi(politely). Mimi naamini majeshi yetu ni CHUMVI ya Nchi. Je, CHUMVI ikiharibika au ikiharibiwa kitu gani tena kitaifanya irudi hali yake ya awali?

2. TAASISI ZA DINI NK.
Kwa upande wa Taasisi za Dini, kuna uwanja mpana sana wa kuelimisha jamii kuhusu masuala mbalimbali. Naomba TEC, BAKWATA, CCT na WENGINEO turudi kwenye mstari ili kuiokoa Nchi hii. Tuweke maazimio kwamba kila siku ya ibada ni lazima anayeongoza ibada achopeke Elimu ya Uraia na kukemea vikali Mambo haya ya ovyo. Kama tulijisahau, basi tuamke kuanzia leo.

3. VYOMBO VYA HABARI.
Vyombo vyote vya habari Nchini veweke mkakati maalumu wa kutoa Elimu ya Uraia kwa Watanzania wote ikiwa ni pamoja na kukemea haya yasiyofaa.
Mimi naamini, kama vyombo hivi vingetumia vizuri platform zao, yaliyotokea yasingetokea na yasingekuja kutokea hata kidogo. Lakini bado hatujachelewa.

Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika. Amina.
Uko sahihi kabisa, ni dharau kubwa sana kutupotezea muda wetu kushiriki upuuzi huu, na mbaya zaidi ni kutumia mamia ya mabilioni ya kodi zetu kufanya uchafuzi walioita uchaguzi.
 
Ndugu zangu, binafsi nimetafakari kwa kina kile kilichofanyika kwenye kile kilichoitwa uchaguzi wa serikali za mitaa. Yaliyofanyika ni zaidi hata ya kinachosemwa. Ni hatari kweli kweli.

Uchaguzi huu umeonesha ni kwa jinsi gani waliopo madarakani wanavyowadharau wananchi wao.

Ebu fikirini kidogo hapa:-
1. Mwananchi aache shughuli zake asafiri kwenda kituo cha kupigia kura tena kwa gharama zake.

2. Mwananchi huyo apange foleni kwa muda mrefu ili kupiga kura.

3. Mwananchi huyo huyo apige kura yake akimchagua anayemtaka kisha aanze kurudi nyumbani tena kwa gharama zake.

Mwisho wa siku wanatupilia mbali machaguo ya wananchi na kuweka machaguo yao tena kikundi cha watu wachache tu kinachoamua kufanya hivyo. Huku ni kuwadharau Watanzania kwa kiwango cha juu sana.

Kutokana na hali ilivyo:-
1. Kila Mtanzania mwenye nia njema na Nchi hii atoe Elimu angalau kwa Watanzania 10 hivi kuhusu uchafu huu.

2. Mimi binafsi na Watanzania wenzangu, tusikubali tena kuingia kwenye uchaguzi mwingine wowote tukiwa katika hali hii hii.
3. Tuunge mkono kwa nguvu na hasira kubwa hatua zozote zile zinazolenga kubadili ujinga huu. Tuache kulia lia tu, bali tuchukue hatua madhubuti kupinga vitendo hivi lakini kuzingatia kwanza amani ya Nchi. Ili kufikia malengo mahsudi, naomba nijielekeze kwa wafuatao:-

1. VYOMBO VYETU VYOTE VYA ULINZI NA USALAMA.
Niombe vyombo hivi uzalendo wao uonekane katika kuwapigania Watanzania na si tu kutekeleza matakwa ya waliopo madarakani. Watanzania wanaviheshimu sana vyombo hivi. Wakati mwingine wakumbusheni watawala kwamba hili linalopangwa kufanyika si sahihi. Tena semeni hivyo bila ugomvi(politely). Mimi naamini majeshi yetu ni CHUMVI ya Nchi. Je, CHUMVI ikiharibika au ikiharibiwa kitu gani tena kitaifanya irudi hali yake ya awali?

2. TAASISI ZA DINI NK.
Kwa upande wa Taasisi za Dini, kuna uwanja mpana sana wa kuelimisha jamii kuhusu masuala mbalimbali. Naomba TEC, BAKWATA, CCT na WENGINEO turudi kwenye mstari ili kuiokoa Nchi hii. Tuweke maazimio kwamba kila siku ya ibada ni lazima anayeongoza ibada achopeke Elimu ya Uraia na kukemea vikali Mambo haya ya ovyo. Kama tulijisahau, basi tuamke kuanzia leo.

3. VYOMBO VYA HABARI.
Vyombo vyote vya habari Nchini veweke mkakati maalumu wa kutoa Elimu ya Uraia kwa Watanzania wote ikiwa ni pamoja na kukemea haya yasiyofaa.
Mimi naamini, kama vyombo hivi vingetumia vizuri platform zao, yaliyotokea yasingetokea na yasingekuja kutokea hata kidogo. Lakini bado hatujachelewa.

Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika. Amina.
Wenzetu mnaishi msitu upi unaohitaji utumie ghalama kwenda kupiga kura za viongozi wa vijiji/mitaa na vitongoji? Amazon?
 
Hakuna Uchaguzi Ule Ulikataliwa Na Kizazi Cha 2000
CCM Wakaanza Kuleta Kura Tukiuliza Wapi Waliposhtakiwa Hatuoni
 
Kwani mmedharauliwa kitu hapo mkuu? Subiri 2025 utajua maana ya kudharauliwa
 
Ndugu zangu, binafsi nimetafakari kwa kina kile kilichofanyika kwenye kile kilichoitwa uchaguzi wa serikali za mitaa. Yaliyofanyika ni zaidi hata ya kinachosemwa. Ni hatari kweli kweli.

Uchaguzi huu umeonesha ni kwa jinsi gani waliopo madarakani wanavyowadharau wananchi wao.

Ebu fikirini kidogo hapa:-
1. Mwananchi aache shughuli zake asafiri kwenda kituo cha kupigia kura tena kwa gharama zake.

2. Mwananchi huyo apange foleni kwa muda mrefu ili kupiga kura.

3. Mwananchi huyo huyo apige kura yake akimchagua anayemtaka kisha aanze kurudi nyumbani tena kwa gharama zake.

Mwisho wa siku wanatupilia mbali machaguo ya wananchi na kuweka machaguo yao tena kikundi cha watu wachache tu kinachoamua kufanya hivyo. Huku ni kuwadharau Watanzania kwa kiwango cha juu sana.

Kutokana na hali ilivyo:-
1. Kila Mtanzania mwenye nia njema na Nchi hii atoe Elimu angalau kwa Watanzania 10 hivi kuhusu uchafu huu.

2. Mimi binafsi na Watanzania wenzangu, tusikubali tena kuingia kwenye uchaguzi mwingine wowote tukiwa katika hali hii hii.
3. Tuunge mkono kwa nguvu na hasira kubwa hatua zozote zile zinazolenga kubadili ujinga huu. Tuache kulia lia tu, bali tuchukue hatua madhubuti kupinga vitendo hivi lakini kuzingatia kwanza amani ya Nchi. Ili kufikia malengo mahsudi, naomba nijielekeze kwa wafuatao:-

1. VYOMBO VYETU VYOTE VYA ULINZI NA USALAMA.
Niombe vyombo hivi uzalendo wao uonekane katika kuwapigania Watanzania na si tu kutekeleza matakwa ya waliopo madarakani. Watanzania wanaviheshimu sana vyombo hivi. Wakati mwingine wakumbusheni watawala kwamba hili linalopangwa kufanyika si sahihi. Tena semeni hivyo bila ugomvi(politely). Mimi naamini majeshi yetu ni CHUMVI ya Nchi. Je, CHUMVI ikiharibika au ikiharibiwa kitu gani tena kitaifanya irudi hali yake ya awali?

2. TAASISI ZA DINI NK.
Kwa upande wa Taasisi za Dini, kuna uwanja mpana sana wa kuelimisha jamii kuhusu masuala mbalimbali. Naomba TEC, BAKWATA, CCT na WENGINEO turudi kwenye mstari ili kuiokoa Nchi hii. Tuweke maazimio kwamba kila siku ya ibada ni lazima anayeongoza ibada achopeke Elimu ya Uraia na kukemea vikali Mambo haya ya ovyo. Kama tulijisahau, basi tuamke kuanzia leo.

3. VYOMBO VYA HABARI.
Vyombo vyote vya habari Nchini veweke mkakati maalumu wa kutoa Elimu ya Uraia kwa Watanzania wote ikiwa ni pamoja na kukemea haya yasiyofaa.
Mimi naamini, kama vyombo hivi vingetumia vizuri platform zao, yaliyotokea yasingetokea na yasingekuja kutokea hata kidogo. Lakini bado hatujachelewa.

Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika. Amina.

Unachokisema ni sahihi kabisa na kwa bahati mbaya na sisi wananchi tumekubali kudharauliwa kwa kiasi hiki. Kilichotokea hakikuwa cha kuwaachia vyama vya upinzani pekee kupigania, ilihitajika nguvu ya umma ambayo ni sisi. Kifupi tuu tutahitajika kujilaumu wenyewe maana tumekubali akili ndogo iongoze akili kubwa.
 
Ule haukuwa uchaguzi bali maigizo na uhalifu uliorasimishwa.

Kura bandia zilitamalaki karibu kila kituo cha kupigia kura.

Kwa mfano, msimamizi kwenye kituo kimojawapo Dar anasema wapiga kura waliokuja kituoni hapo na kupiga kura hawakufika 20.

Wagombea wote wa hapo walikuwa ccm maana wengine walienguliwa.

Baada ya kubaini kuwa wapiga kura ni wachache mno, wasimamizi wa kituo waliletewa mifuko ya karatasi za kura wakaelekezwa kupigia kura hao wagombea wa ccm ili masanduku yajae.

Ilipofika jioni wakaambiwa hakuna haja ya kufungua masanduku na kuhesabu kura zilizomo. Walipewa tu karatasi zenye tarakimu za kura za uongo ili wajaze kwenye fomu za matokeo, kama hivi:-

Jina la mgombea: XYZ..
Waliojiandikisha 590
Waliopiga kura 581
Kura halali 572
Kura zilizoharibika 9

Inasikitisha sana sana!!!
 
Unachokisema ni sahihi kabisa na kwa bahati mbaya na sisi wananchi tumekubali kudharauliwa kwa kiasi hiki. Kilichotokea hakikuwa cha kuwaachia vyama vya upinzani pekee kupigania, ilihitajika nguvu ya umma ambayo ni sisi. Kifupi tuu tutahitajika kujilaumu wenyewe maana tumekubali akili ndogo iongoze akili kubwa.
Tupo pamoja sana. Hata mimi binafsi nikiri wazi nilikuwa na ujinga huo wa kudhani kwamba kupigania haki katika Nchi ni suala la vyama vya siasa kitu ambacho si kweli. Ni suala la kila anayeitwa Mtanzania. Kwa hiyo, tuendelee kupeana Elimu hii, polepole hatimaye tutaelewana tu na tutasimama imara kupinga vitendo vyovyote vya kijinga.
Hata watawala wetu wanatumia nafasi hiyo hiyo ya Watanzania wengi kutojua haki zao na kuzipambania.
 
Ni kweli, uchaguzi huu ulivyofanywa na CCM kwa kutumia Serikali ni dharau tu kwa watanganyika bali ni matusi tena ya nguoni.
 
Ule haukuwa uchaguzi bali maigizo na uhalifu uliorasimishwa.

Kura bandia zilitamalaki karibu kila kituo cha kupigia kura.

Kwa mfano, msimamizi kwenye kituo kimojawapo Dar anasema wapiga kura waliokuja kituoni hapo na kupiga kura hawakufika 20.

Wagombea wote wa hapo walikuwa ccm maana wengine walienguliwa.

Baada ya kubaini kuwa wapiga kura ni wachache mno, wasimamizi wa kituo waliletewa mifuko ya karatasi za kura wakaelekezwa kupigia kura hao wagombea wa ccm ili masanduku yajae.

Ilipofika jioni wakaambiwa hakuna haja ya kufungua masanduku na kuhesabu kura zilizomo. Walipewa tu karatasi zenye tarakimu za kura za uongo ili wajaze kwenye fomu za matokeo, kama hivi:-

Jina la mgombea: XYZ..
Waliojiandikisha 590
Waliopiga kura 581
Kura halali 572
Kura zilizoharibika 9

Inasikitisha sana sana!!!
Ni hatari kweli kweli kwa mustakabali wa Taifa letu. Mimi naamini hayo yamefanyika almost kila kituo Tanzania nzima.
Hatuwezi kuendelea kukubali ujinga huu.
Sisi huku mtaani kwetu tuna kampeni ya chini kwa chini ya kuwaelimisha Watanzania kuzijua haki na wajibu wao hasa kwenye masuala yanayohusu Nchi yao.
 
Ni kweli, uchaguzi huu ulivyofanywa na CCM kwa kutumia Serikali ni dharau tu kwa watanganyika bali ni matusi tena ya nguoni.
Kabisaa. Ni dharau kubwa sana tena sana.
 
Ndugu zangu, binafsi nimetafakari kwa kina kile kilichofanyika kwenye kile kilichoitwa uchaguzi wa serikali za mitaa. Yaliyofanyika ni zaidi hata ya kinachosemwa. Ni hatari kweli kweli.

Uchaguzi huu umeonesha ni kwa jinsi gani waliopo madarakani wanavyowadharau wananchi wao.

Ebu fikirini kidogo hapa:-
1. Mwananchi aache shughuli zake asafiri kwenda kituo cha kupigia kura tena kwa gharama zake.

2. Mwananchi huyo apange foleni kwa muda mrefu ili kupiga kura.

3. Mwananchi huyo huyo apige kura yake akimchagua anayemtaka kisha aanze kurudi nyumbani tena kwa gharama zake.

Mwisho wa siku wanatupilia mbali machaguo ya wananchi na kuweka machaguo yao tena kikundi cha watu wachache tu kinachoamua kufanya hivyo. Huku ni kuwadharau Watanzania kwa kiwango cha juu sana.

Kutokana na hali ilivyo:-
1. Kila Mtanzania mwenye nia njema na Nchi hii atoe Elimu angalau kwa Watanzania 10 hivi kuhusu uchafu huu.

2. Mimi binafsi na Watanzania wenzangu, tusikubali tena kuingia kwenye uchaguzi mwingine wowote tukiwa katika hali hii hii.
3. Tuunge mkono kwa nguvu na hasira kubwa hatua zozote zile zinazolenga kubadili ujinga huu. Tuache kulia lia tu, bali tuchukue hatua madhubuti kupinga vitendo hivi lakini kuzingatia kwanza amani ya Nchi. Ili kufikia malengo mahsudi, naomba nijielekeze kwa wafuatao:-

1. VYOMBO VYETU VYOTE VYA ULINZI NA USALAMA.
Niombe vyombo hivi uzalendo wao uonekane katika kuwapigania Watanzania na si tu kutekeleza matakwa ya waliopo madarakani. Watanzania wanaviheshimu sana vyombo hivi. Wakati mwingine wakumbusheni watawala kwamba hili linalopangwa kufanyika si sahihi. Tena semeni hivyo bila ugomvi(politely). Mimi naamini majeshi yetu ni CHUMVI ya Nchi. Je, CHUMVI ikiharibika au ikiharibiwa kitu gani tena kitaifanya irudi hali yake ya awali?

2. TAASISI ZA DINI NK.
Kwa upande wa Taasisi za Dini, kuna uwanja mpana sana wa kuelimisha jamii kuhusu masuala mbalimbali. Naomba TEC, BAKWATA, CCT na WENGINEO turudi kwenye mstari ili kuiokoa Nchi hii. Tuweke maazimio kwamba kila siku ya ibada ni lazima anayeongoza ibada achopeke Elimu ya Uraia na kukemea vikali Mambo haya ya ovyo. Kama tulijisahau, basi tuamke kuanzia leo.

3. VYOMBO VYA HABARI.
Vyombo vyote vya habari Nchini veweke mkakati maalumu wa kutoa Elimu ya Uraia kwa Watanzania wote ikiwa ni pamoja na kukemea haya yasiyofaa.
Mimi naamini, kama vyombo hivi vingetumia vizuri platform zao, yaliyotokea yasingetokea na yasingekuja kutokea hata kidogo. Lakini bado hatujachelewa.

Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika. Amina.
Mkuu hakuna asijua nini kimefanyika kwenye uchaguzi S.mtaa kwamba ulikua ni drama tu ,na kuaribu pesa za wananchi bure tu , funga hoja yako ,kwamba leo ndo unatafakari ,? Ulikuwa wapi kama sio unafiki
 
Back
Top Bottom