- Thread starter
- #21
Nimesema tuamke sasa. Inatosha.Mkuu hakuna asijua nini kimefanyika kwenye uchaguzi S.mtaa kwamba ulikua ni drama tu ,na kuaribu pesa za wananchi bure tu , funga hoja yako ,kwamba leo ndo unatafakari ,? Ulikuwa wapi kama sio unafiki