Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
Una chuki binafsi na Mkapa, JK? Kama ni hapana, kipi huelewi kuhusu aliloongea Mkapa? Au wewe una uvivu wa kufikiri?
MBUMBUMBU MKUBWA WE.

Nimeamini kuwa kichaa huwa hajijui kuwa ni kichaa!!! Nyinyi watoto wa mafisadi mna matatizo. Hivi hayo maendeleo ya familia zenu mnataka wote tukubali kuwa tumeendelea? Shame on you!!!!
 
Mi kuna thread moja nimesoma jana usiku km saa sita hiv inasema mwita 25 kapigwa ban na moods, ss inakuaje tena?
<br />
<br />
Kutakuwa na Ban nyingi hapa JF baada ya Matokeo ya Igunga! Na Chama cha demokrasia ya Maandamano watakuwa wakali sana hapa JF,wataitisha maandamano hapa JF baada ya kushindwa Igunga!
 
<br />
<br />
Kaka/dada umetumwa? Tatizo siyo bilion 3 kutolewa bali ni kutolewa bila supporting docs. Sasa sijui ujinga wa huyu mtoa mada uko wapi? Labda tunahitaji uthibitisho tu wa madai yake na si kumbeza na kumtukana.
 
Naamini kama tungetawaliwa muda mrefu zaidi tungeendelea kuliko sasa hivi. Mkoloni alikuwa na strategy nzuri kuliko hao TANU na CCM. Afadhali mkoloni alijenga hata reli ya kati, n.k. Hawa CCM wanairudisha Tanzania RIVASI kimaendeleo, wanahamisha mbele kwa mbele kupeleka pes nje ya nchi. SHAME ON CCM!
 
hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahah maneno yenyewe hayapo poor poor poor poor poor poor poor poor English huna sera nakushanga unaitwa MWITA jina la kiume alafu mambo ya kikuda hahaaahaahaaa
 
Matatizo yanayowakabili waTZ ni pamoja na mfumuko wa bei, angegusia hili ili wana Igunga wajue kwa nini wana maisha ya shida
 
i think its better if you prove the lie by providing some criteria rather than simply dissing!
 
Endapo watamchagua kama alivyofanya mkewe,
Inamaana itakuwa wana IGUNGA=MRS KAFUMU!!!!!!!!!!!!!!
 
Ni afadhari ungesema mtu aliyekuwa anamfuati mbunge ndo arithi. Lakini hapo napo tutatengeza vita ya maisha kwa wagombeaji kwani atakuwa anasubiria/akiombea lolote litokee ili naye aende mjengoni. Bado huu utaratibu wa sasa siyo mbaya sema tu kwamba taratibu zilizopo zitumike vizuri au ziboroshwe kama swala la gharama na rushwa kwenye uchaguzi
 

Skewed opinon polls. Hivi kweli mtu anaweza kukaa Dar es Salaam aka-dictate utashi wa wapiga kura wa Igunga. Ifike wakati watu waache kujidanganya. What if Gazeti la Mzalendo nalo lingetoa kwamba CCM watashinda ingeleta tofauti gani?
 
hahahahaa.......the boooooooss.....

dah.achaguliwe mrithi?!!!

wacha tupige kampeni ili tujue huko mbele tuko vipi katika kuchukua nchi.
 
Hii si sawa hata kidogo
<br />
<br />

Jamani naomba kuelimishwa juu ya hii hali ~ Hivi watu wanapo pewa chakula kuna tofauti gani na kupewa fedha? mi kwa mtazamo wangu hii ni pure RUSHWAAAAAA!!!
 
Katika kipindi cha siasa zilivyo sasa hivi, kiongozi yeyote lazima achangue vizuri maneno ya kuongea lasivyo italeta mtafaruko.
 
<br />
<br />mkuu kama mfumo wetu ni kama wa us, ambao ni mzuri ukiulinganisha na wa uk, vp demokrasia ya TZ ukilinganisha na ya UK?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…