Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
Hivi ndio siasa zetu ndani ya CCM imefikia katika kiwango hiki cha CHINI AJABU kiasi cha kuhonga watoto wasiofahamu kitu UBWABWA tu hivi!!!!!!!!!!!

Huu ni ufisadi usiosameheka jamani, duuuuuuhhhhhhhh!!!!!!!!!!!!!! Ama kweli usisikie kitu chama kikongwe kufilisika kisiasa kiasi hiki.


 
kila unapotokea uchaguzi mdogo najikuta namkumbuka Halima Mdee

yeye peke yake alizungumza kitu cha maana kuhusu hizi chaguzi ndogo...

alisema chaguzi ndogo zinapoteza muda na pesa nyingi

ni bora ukawekwa utaratibu wa chama kinachoshikilia jimbo hilo
kuchagua ni nani arithi jimbo......

hakuna anaesikiliza haya,but huu ndo ukweli mtupu....

hizi chaguzi ndogo its a waste of time and money.....

zipigwe marufuku......

Hivi utaratibu huu wa kuteua mtu wa kujaza nafasi kutoka katika chama kilichopoteza mbunge, si unatumika pale anapofariki mbunge wa kuteuliwa?
 
Sjiui kwa nini Mkapa ameamua kujiingiza kwenye front line politics kipindi hiki. Enzi za ubabe na majigambo zimepita & he should be greatful kwamba alikuwa rais kipindi ambacho mambo yalikuwa shwari kulinganisha na sasa. Lakini kujileta kwake anataka kuamsha hasira za wananchi kuhusu mikataba mibovu ya madini na sheria ya takrima.
 
AGIZO LA MUNGU KWA BINADAMU 'KUSHUKURU KWA KILA JAMBO':
KAMA SI MAREHEMU WETU WA AJALI YA PEMBA KUMGOMEA RAIS KIKWETE KWA SAFARI ZAIDI UGHAIBUNI, MAMILIONI HAYA YA GHARAMA WALIPAKODI TUNGEJIOKOLEA WAPI?????


Vipi sasa jamani inamaana baada ya Mhe Kikwete kulazimishwa na huu msiba wa kitaifa kule Pemba, vipi sasa walau balozi wetu huko nchini Marekani ataweza kupata fursa yake stahiki kuwakilisha serikali yetu kwenye hiyo minuso miwili ya PEACE CORPS na kule kwenye mkutano wa DICCOTA na kutuokolea walipa kodi gharama kubwa ya hela za usafiri, chakula, malazi, na posho kwa ujumbe wa zaidi ya watu 50 sio????????????

Ama kweli kila baya na afadhali yake; pengine ndio maana Mungu Muumba wetu ametuficha ujumbe mzito sana nyuma maneno 'SHUKURUNI KWA KILA JAMBO' eeeehhhh??????????

Hakika siku zote sie viumbe dhaifu hukumbuka tu na kukubali KUSHUKURU katika jema lakini baya linapotokea watu hatukawii kuanza ubishi ndani ya kughairi kwetu kwenye ukimya wa KUTOKUTEKELEZA agizo hilo la Mola wetu.

Ni vema waumini wa dini zote tukajifunza kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kila jambo, zuri au baya, kama maandiko yanavyotuagiza. Kwa mara nyingine, Marehemu zetu AJALI YA PEMBA pumzikeni kwa amani!!!!!!!!!
 
hakuna kujivua magamba ni usanii na kiini macho kwa watz.upo msemo wa banian mbaya kiatu chake dawa.si mmemwona waliemkataa?wana igunga mpo? ukila big G ikiisha utam iteme.hayo twayaona
 
Hivyo ndivyo CCM wanavyowachukulia wapiga kura wao and they mean it.
 
Ningekua Msajili wa vyama ningekifuta kabisa CCM,we huweai kusema safari za kiomba Suti,birth day,kunyoosha suti ugaibuni ni kutafuta mtaji.Watanzania tuna hali mbaya sana.
 
hiyo sio rice and beans ni rice and cabbage bob

I have seen rice and beens...ha ha ha haaaaaaaaaaaaaaa! bongo nomaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
 

Attachments

  • ROSTAM.jpg
    ROSTAM.jpg
    46.2 KB · Views: 25
Nashauri tujifunze kutofautiana hoja kwa kupinga hoja nyingine with substance without sounding too "condescending." Nafikiri tukifanya hivyo ndio tutafanikiwa ku-learn from each others perspectives without insulting one's views. Hii pia itasaidia watu/wachangiaji wengi ku-share their views, nasisi kujifunza without so much destructions. Tuelewe pia sisi ni asilimia ndogo sana ya watanzania waliobahatika kuwa na-uelewa fulani, tutafanikiwa kuelimisha jamii pale tu tunapotumia constructive arguments when we disagree. Ni mtizamo wangu tu.
 
All politics is local and in the final analysis the people of Igunga will judge CCM for what it have or not have done for them.
 
inawezekana lakini kama ni Halima kweli basi anasababu ambazo kama tungepewa full maelezo yake hoja yake pengine ana hoja na uthibisho
 
Kumbe nyomi lote hilo sababu ya mchele? Ama kweli magamba noma kudadadeki!
 
Huyo Halima Mdee mwenyewe ana jinsia gani, KE au ME. Kama KE mbona sijawahi kumuona na mpenzi hata siku moja na kama ME mbona hataki kuoa? Nikijibiwa ndiyo nitatoa mchango wangu.
 
Ni kweli kabisa tena kama sio CCM tungekuwa bado hatujafikisha miaka 5O ya uhuru.<br />
Kama sio CCM toka 1961 mpaka leo usikute tungekuwa na miaka 2 tu ya uhuru.<br />
Mnataka nini tena watz msio na shukrani?Yani mmepewa miaka hamsini bado hamridhiki?<br />
CCM hureeeeeeeeeee!!!<font color="#ff0000"> IDUMU MILELE MIAKA HAMSINI YA UHURU</font>.
<br />
<br />
Kikatiba una Haki ya kuandika hivyo ila katika uhalisia huo ni usengerema arif
 
lakini mimi sishangai! huko Tabora hakuna tofauti na mikoa ya ukanda wa pwani kama tanga, kilwa, mtwara bado elimu ya uraia hawaijui na ni mikoa ambayo ipo pembezoni kabisa hawajui nini kinaendelea ndani ya Tanzania hii. tusihofu sana wana CDM halijaaribika lolote pia tutakuwa tumeenda kutambulisha chama na kuwafungua wananchi wa igunga na tabora kwa ujumla.Huo ni umbumbumbu unawasumbua kama unavyojionea wanawake wameshapewa kanga na kofia basi wamesha sahau machungu ya mgao wa umeme na kuporwa rasilimali zao na mafisadi ambao ndo wamekaa high table.
 
Tatizo la watu wenye fikra finyu ndio wanaosema CUF, CCM B hizo propaganda hazisaidi, CUF ni chama kilichosajiliwa kwa mujibu wa sheria, mimi sitaki kuamini yanayosemwa kama Chadema ni chama cha Wachaga ukilinganisha uwiyano wa viti maalum vya wabunge.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom