<br /><b>Maandalizi ya uzinduzi</b><br />
Kuanzia juzi CCM imekuwa ikihamasisha wafuasi wake waweze kufika kwenye ufunguzi wa kampeni zao, huku magari ya chama hicho yakionekana kupita kona mbalimbali za Igunga.<br />
Jana kuanzia asubuhi mashangingi ya viongozi wa ngazi za juu ya CCM yalionekana yakipita sehemu mbalimbali katika mji wa Igunga na baadhi ya wananchi wakiwa kuvaa nguo za rangi za kijani na njano. Bendera za CCM zilikuwa zinapepea kila kona ya mji wa Igunga.
<br />yaani hakuna ubishi, nyomi linatisha ni zaidi ya mara 5 ya lile la chadema, yaani mpaka hapa ccm imeshashinda; cdm na cuf ni wasindikizaji tu ktk mtinange huu!
<br />Ni kweli kabisa wananchi ni lazima wafika mahali waiambie ccm basi! Maneno ya kudangaanya kila siku hayafai! makusanyo makubwa ya kodi lakini matumizi ni kwa manufaa ya watu wachache! Tizama Rais juzi kasafiri safari ya 316 tangu aingie madadarakani! Jamani! safari za Rais sawa na mwaka mzima?
hata kwa kuangalia kwa macho tu! linganisha umati uliyojitokeza ciku ya cdm wakati wanazindua na ule wa ccm wakati wanazindua kampeni zao igunga! ccm imefungasha na ndio maana nadiriki kusema kuwa ccm itashina! cdm na cuf ni wasindikizaji tu!<br />
ccm imeshinda kwa kuwadanganya watu na mpunga Kama kuku!!?,au na wewe ni mmojawapo!?.
Tatizo la chama cha magamba wanashindwa kuweka wazi walichokifanya kwani hakipo. Nchi ni sawa na any other living organism ambayo hukua hupende usipende. Hii natural process huwa more impressive if there is human effort Hii effotndio chama cha magamba wameshindwa kuonyesha kwa miaka yote 50.
Ndio kusema kwamba tangu tanzania ipate uhuru imekuwa ikikua naturally ndio maana ina marasmus na kwashakor. ie.migao ya kijinga ya umeme ,maji, sukari, elimu duni, huduma zza afya za babu wa Loliondo, nk.
Kwanza hakuna anayesema tangu uhuru magamba hawajafanya chochote. Mbona wamefanya vingi - mifano iko mingi: kuota magamba, ufisadi, wizi wa twiga kuuza Arabuni, kugawa pesa bungeni (jairo), kujichotea rasilimali za uma hasa migodi, kuhongwa suti, nk.
hata kwa kuangalia kwa macho tu! linganisha umati uliyojitokeza ciku ya cdm wakati wanazindua na ule wa ccm wakati wanazindua kampeni zao igunga! ccm imefungasha na ndio maana nadiriki kusema kuwa ccm itashina! cdm na cuf ni wasindikizaji tu!
mimi nimekuelewa lakini c vyema chama kilichoshinda kikichagua awali then kichague mtu mwingine kwani mtu huyo hatakuwa chaguo la wananchi; labda achukuliwe aliyeshika nafasi ya pili wakati wa uchguzi mkuu, mfano kama mh. halima mdee atashindwa kwenye kesi iliyofunguliwa na mbatia dhidi yake, basi badala ya kurudia uchaguzi, tume ya uchaguzi imtangaze aliyemfuatia mdee kwenye uchaguzi mkuu kuwa mbunge wa jimbo la kawe!kila unapotokea uchaguzi mdogo najikuta namkumbuka Halima Mdee
yeye peke yake alizungumza kitu cha maana kuhusu hizi chaguzi ndogo...
alisema chaguzi ndogo zinapoteza muda na pesa nyingi
ni bora ukawekwa utaratibu wa chama kinachoshikilia jimbo hilo
kuchagua ni nani arithi jimbo......
hakuna anaesikiliza haya,but huu ndo ukweli mtupu....
hizi chaguzi ndogo its a waste of time and money.....
zipigwe marufuku......
Bora ungesubiri uone kuliko kuleta tathmini njaa hapa.
sorry hakuna wa kukujuza hilo hapa, kwani hapa hatujadili jinsia za watu bali tunajadili chaguzi ndogo hasara na faida zake! pili hatuna haki kisheria ya ku-access taarifa za mtu binafsi na kuzijadili hadharani bila ya ridhaa ya mhusika mwenywe, kwani kufanya hivyo ni kosa la jinai:Huyo Halima Mdee mwenyewe ana jinsia gani, KE au ME. Kama KE mbona sijawahi kumuona na mpenzi hata siku moja na kama ME mbona hataki kuoa? Nikijibiwa ndiyo nitatoa mchango wangu.
kila unapotokea uchaguzi mdogo najikuta namkumbuka Halima Mdee
yeye peke yake alizungumza kitu cha maana kuhusu hizi chaguzi ndogo...
alisema chaguzi ndogo zinapoteza muda na pesa nyingi
ni bora ukawekwa utaratibu wa chama kinachoshikilia jimbo hilo
kuchagua ni nani arithi jimbo......
hakuna anaesikiliza haya,but huu ndo ukweli mtupu....
hizi chaguzi ndogo its a waste of time and money.....
zipigwe marufuku......
Nimeangalia kura za maoni kwa jimbo la Igunga kwenye site ya mwanahalisi, ingawa kura hizi hupiwa na Watanzania wote lakini pia inawapa taswira hawa wanaojiita wamiliki wa nchi (CCM) jinsi waTZ walivyochoshwa na Uzemba na udhalimu wao.
Kwa leo: 11/09/2011
Maggid Mjengwa Blog
Joseph Kashindye (Chadema)) 270 (73%)
Leopard Mahona (CUF) 26 (7%)
Dr Peter Kafumu (CCM) 72 (19%)
Votes so far: 368
Mwanahalisi
Leopold Mahona (CUF) 4%
Joseph Kashindye (CHADEMA) 89%
Peter Kafumu (CCM) 5%
Said Makeni (DP) 1%
Lazaro Ndageya (UMD) 0%
John Maguma (SAU) 1%
Total votes: 305
Kwa matokeo zaidi bofya hapa: Gazeti la MwanaHalisi
RAI
CCM (42%, 180 Votes)
Chadema (29%, 122 Votes)
CUF (28%, 121 Votes)
UDP (0%, 2 Votes)
SAU (1%, 1 Votes)
Total Voters: 426
hata kwa kuangalia kwa macho tu! linganisha umati uliyojitokeza ciku ya cdm wakati wanazindua na ule wa ccm wakati wanazindua kampeni zao igunga! ccm imefungasha na ndio maana nadiriki kusema kuwa ccm itashina! cdm na cuf ni wasindikizaji tu!