Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
changamoto je, mtaweza kuwashawishi mambumbumbu kukichagua chama chenu?!
Get smart daugg...
kila unapotokea uchaguzi mdogo najikuta namkumbuka Halima Mdee
yeye peke yake alizungumza kitu cha maana kuhusu hizi chaguzi ndogo...
alisema chaguzi ndogo zinapoteza muda na pesa nyingi
ni bora ukawekwa utaratibu wa chama kinachoshikilia jimbo hilo
kuchagua ni nani arithi jimbo......
hakuna anaesikiliza haya,but huu ndo ukweli mtupu....
hizi chaguzi ndogo its a waste of time and money.....
zipigwe marufuku......
hii ya watu kurudisha kadi za vyama vya upinzani tulishaizoea. Inabidi watafute propaganda nyingine. This is a very old trick.
Hayo ndio matunda ya shule za kata na vyuo vya kata[/LIST]SAU na UDP wamepata kura mojamoja.
Iyo pasenti imekaaje? Hata hesabu kama hizi lazima kupika?
igunga chadema iko juu kwa mtaji huu,ccm wanajisiriba kinyesi chao wamepanga watu wamsifu mtu waliyemtuhumu kwa miezi nane wakimuita gamba
![]()
<br />kila unapotokea uchaguzi mdogo najikuta namkumbuka Halima Mdee<br />
<br />
yeye peke yake alizungumza kitu cha maana kuhusu hizi chaguzi ndogo...<br />
<br />
alisema chaguzi ndogo zinapoteza muda na pesa nyingi<br />
<br />
ni bora ukawekwa utaratibu wa chama kinachoshikilia jimbo hilo<br />
kuchagua ni nani arithi jimbo......<br />
<br />
hakuna anaesikiliza haya,but huu ndo ukweli mtupu....<br />
<br />
hizi chaguzi ndogo its a waste of time and money.....<br />
<br />
zipigwe marufuku......
Nilitaka kuonyesha kwamba hata Hittler kama si kutumika kwa nguvu za ziada hata yeye kuna watu ambao mpaka dakika hii wanaamini kwamba alikuwa yuko sahihi kwa aliyoyafanya. Hata CCM inatakiwa tushikane mikono ili nguvu yake ya ushawishi iishe kabisa!Andiko zuri, lakini metaphor ya Hitler sio sahihi.
Hata mimi najua ni wengi hawaiungi mkono CCM, lakini uhalali wa CDM unatakiwa uwe wa kimantiki na wala si wa kimazingira. Ukiwa na watu wawili wabaya watu watamchagua aliye nafuu zaidi kwa mwenzie, CDM kwa sasa inakubaliwa kwa sababu ya Mning'ino (hang over) ya CCM kutawala kama chama dola kwa muda mrefu.Mkuu,
Tunaposema haingwi mkono wewe pia usikosee kutuelewa, nani kakwambia bondia aingiapo ulingoni kupambana husema atapingwa japo ngumi moja, au unadhani hajui kuwa mpinzani wake atarusha makonde. Hivyo basi unaposikia 'ccm haiungwi mkono' wewe malizia na neno hili 'na watanzania wengi' kuliko kuanza kuwatishia watu yakwamba ..........watakuwa wajinga kumbe wewe ndiyo umefikiri ndani ya box. Soma picha kwenye post #6, utatafuta mpaka kwa tochi hukuti cdm inawarubuni watu kwa peremende ili wakawasikilize.
CCM haina ubavu wa kuitisha mkutano igunga au sehemu yoyote isijifiche nyuma ya ze comedi, tot, usafiri na ubwabwa wa kumwaga, usijaribu kujenga hofu kwa wapiganaji wako, wajasiri wataku fire friendly, ndugu jamaa na marafiki wakaishia kukuombea u-rip.
<br />Akili matope hizo! Kwani CDM na CUF hawajagawa Tshirts huku Igunga! Acha hoja za kijinga jana CUF walikuwa wanagawa TSshirt na kofia kwa vijana the same CDM walifanya majuzi so tuite nini kwa hawa wengine? Mnachekesha sana watu wazima mnafikiri kwa kutumia masaburi.....
Huo ubwabwa tena vipi?