Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
Hivi ccm wana mganga wa aina gani ambaye hafi? Maana hata sheikhe yahaya husein alikufa na hata huyo waliye naye atakufa na adhabu zitawarudia jamani muwe na woga na pia kuna Mungu
 
Kamanda siro amemuumbua mnafiki mtatiro. Kawafungulia mashtaka kwa kuingilia msafara wa cdm sasa sjui atasema nini tena.
Ukweli ni kwamba JULY amejipotezea imani ambayo japo kidogo watu walikuwa nayo kwake.
Hivi amekuwa Igunga kitambo ili kusoma ramani ya jinsi ya kuwavurugia cdm?
Bro hapa sasa umekwishney, we kalagabaho!
 
Mkapa huwa anatumia neno moja tu linalowakilisha wapinzani, KOKOTO. Huyu mzee namkubali sana.
<br />
<br />
na kwel hyu ndo kboko yao cdm na cuf,wanamjua na kumtambua kwenye awam yake,
 
Sasa CUF ndio mambo gani kujiaibisha hivi na kuamua kuhujumu ushirikiano kati ya vyama vya upinzani?????????????
 
Ukombozi wa Igunga sasa waanza rasmi leo Igunga; Wapiganaji wa ukweli ndio hao mwendo mdundo.

Boniface Meena na Geofrey Nyang'oro, Igunga

CHAMA cha Wananchi (CUF), kimewawekea pingamizi wagombea ubunge kupitia vyama vya Chadema na CCM kwa madai kuwa hawakurudisha fomu kwa kufuata kanuni na sheria za uchaguzi. Hata hivyo, akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana, Msimamizi wa Uchaguzi, Magayane Protas alisema ametupilia mbali pingamizi hilo."Mgombea wa CUF, Ndugu Mahona amewasilisha pingamizi dhidi ya wagombea wa Chadema na CCM akidai kuwa walirudisha fomu kinyume cha sheria. Lakini nimeangalia sheria inavyoeleza na kuona hawakufanya kosa lolote wakati wakirudisha fomu hivyo, nimelitupilia mbali pingamizi hilo."

CHADEMA Kuzindua Kampeni Igunga Leo

Chadema kinatarajia kuzindua kampeni zake rasmi leo. Mkurugenzi wa Sera na Utafiti wa chama hicho, Waitara Mwita alisema kuwa watawapokea viongozi wa kitaifa kwa maandamano kuanzia saa 6:00 mchana ili kuelekea kwenye eneo la mkutano katika Uwanja wa Sokoine.

"Tutaanza maandamano yatakayoongozwa na Mwenyekiti, Freeman Mbowe na Katibu Mkuu, Dk Willibrod Slaa na wajumbe wa kamati kuu pamoja na wabunge na mkutano utaanza saa 8:00 mchana na kumalizika saa 12:00 jioni," alisema
Chanzo: CUF yakwama kuvizuia CCM, Chadema Igunga
 
Inasikitisha kuona watetezi wa Mk na Jk wakiwatenga watu hawa na ufisadi. Ziko wapi nyumba za serikali, iko wapi meremeta, nani alianzisha biashara ikulu, nani aliasisi kagoda, nani Epa?
 
mimi nawaomba polisi wajishughulishe na usalama wa nchi siyo siasa za vyama.juzi ccm walifanya kusanyiko lisilo halali hadi mtoto akagonga sikuona mtu akihojiwa.tuachie wana igunga wachague wenyewe.haiwezekani sheria iwe ya vyama vingine sio ccm.mia
 
Ningekuwa sina akili ningepata GPA ya 4.0?

Nina wasiwasi na chuo ulichosoma, na ninahisi hiyo ni GPA ya 'vi memo'. Michango yako huwa haitofautiani na ya watu wa STD VII. GPA hiyo, unakubalije kutumiwa kama 'caterpillar'? Ukiganga njaa kwa viposho vya Tshs 55,000/= kwako mwisho wa matatizo.

Hiyo ni pepo ya m.a.b.w.e.g.e ambayo b.w.e.g.e. anaipata kwa kuuza utu wake. (Ref: kasome pepo ya mabwege by Harison Mwakyembe utaijua nafasi yako katika jamii).
 
Inawezekana kwa kuwa waandishi wetu wanajali maslahi binafsi na siyo wananchi.
 
Magwanda kama kawa, siasa za maji taka. Kumbe wanaenda Igunga kuongelea watu na si sera!
<br />
<br />
Moja ya sera yetu ni vita dhidi ya ufisadi na hakuna vita dhidi ya ufisadi bila kumuingelea fisadi.
 
NAFIKIRI UNA MTINDIO WA UBONGO, HIVI NDANI YA CCM KUNA KIONGOZI MWENYE AKILI? NAPE MWENEZI ANA D MBILI MTIHANI WA FORM FOUR YA CIVICS NA KISWAHILI, MAKAMBA JNR KAMA SIYO HURUMA YA ROSTAM SAA HIZI ANGEKUWA ANACHEZA MDUMANGE KULE LUSHOTO, MAKAMBA SNR ANA NUNDU,KIKWETE FORM SIX TANGA SCHOOL ALIKUWA NA DIVISION 3 YA MWISHO NA UDSM ANA GENTLEMAN DEGREE, WENGINE ENDELEZA MWENYEWE , UWEZO WA KUFIKIRIA WA NAAPE KWA KISWAHILI NI BELOW 25, NA CIVICS NAYO HIVYO SASA KWENYE MAENEO MENGINE YOTE ZERO ANAWEZA KUPAMBANA NA MTU KAMA ZITTO KABWE AU jOHN MNYIKA AMBAYE MTIHANI WA FORM FOUR MAUA SEMINARY ANA A ZOTE?
 
Kuna baadhi ya mapingamizi yanaashiria kufilisika kisiasa, hili la CUF ni mojawapo. Kama kweli CUF inatarajia ushindi wa mezani basi sio Igunga kwa maana pingamizi lao linaihusisha na Chama Cha Magamba. Ingekuwa ni CHADEMA peke yao ndio wanawekewa pingamizi, naamini Tendwa angepiga simu mara moja kutoa muongozo kwa msimamizi, lakini vilaza wa CUF wamejichanganya kwa kumjumuisha na mtoto wa baba mwenye nyumba (Magamba).

 
wakiongozwa na katibu mkuu wa chama hicho Seif Sharif Hamad wakiwa na magari zaidi ya 30 na pikipiki zaidi 100 na umati wa watu waliotembea kwa miguu, huu ni mwanzo wa kuashiria kuanza kwa kampeni hapo kesho.

Leo igunga imezizima japo police walimwagwa kila kona lakini wanainchi wamejitokeza, kweli wanainchi wanataka mabadiliko, macho na masikio yetu tunasubiri hapo tarehe 2/10/2011 tuone ni nana atakaye nyakua kiti hicho.

Mtoaji wa habari ni mgeni ambaye nipo hapa igunga kwa shughuli ya kikazi


No substance. Mambo ya kufunika kwa idadi ya magari na watu tumeyaona saaana kwenye siasa za bongo. Kwani unaweza kugawa kofia, t-shirt na jero jero na watu wakajaa kwenye shughuli kinoma. Tunachohitaji ni wananchi kufanya maamuzi sahihi katika uchaguzi bila ya influence ya rushwa ya aina yoyote.
 
polisi wanafungua jalada la malalamiko (RB) katika kituo chao wenyewe cha polisi .. duh hii kali
 
Wewe Mwita 25... nahitaji kukuona kwenye midahalo... tukupime na hiyo GPA ya 4.0 then tutajua tu... sitishiwi na GPA za bongo bwana... wachache ndiyo wana deserve.. nyingi ni magumashi!
 
polisi wanafungua jalada la malalamiko (RB) katika kituo chao wenyewe cha polisi .. duh hii kali

Sirro Nyakoro ni kamanda mzuri, lkn katika siasa za Igunga na mchaka mchaka mzima wa uchaguzi huu mdogo ajiangalie sana.akiteleza akakubali kutumiwa na ccm credibility yake itaporomoka/kuanguka kabisa na kuturnish image ya jeshi la polisi ambayo hata hivo ni yenye mashaka linapokuja suala la siasa na chama tawala
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom