Fredrick Sanga
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 3,153
- 699
mkipewa taarifa mnasema mamluki, nyinyi kweli ma dikteta.nanai atakupa habari uanzotaka wewe tu kila siku? acha ushamba JF haina lengo la mono vision dominance!mamluki mmeanza!
Mkuu, kama una namba ya simu ya Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa Taifa, Erasto Tumbo, muulize kwa nini alilazimika kuliondoa jina lake dakika za mwisho?Mzushi mkubwa!!!
Kanyasu, unajua tatizo la Pro-CDM-JF, wao kila siku wanataka habari ya kuisifia CDM tu kila wakatimkipewa taarifa mnasema mamluki, nyinyi kweli ma dikteta.nanai atakupa habari uanzotaka wewe tu kila siku? acha ushamba JF haina lengo la mono vision dominance!
Siku moja kabla ya kuanza kwa kampeni za uchaguzi mdogo wa kiti cha ubunge jimbo la Igunga mkoani Tabora, viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) tayari wamekorofisha kwa kutuhumiana.
Habari za uhakika zilizopatikana kutoka katika chama hicho na kuthibitishwa na baadhi ya viongozi na maafisa wa ngazi ya juu kutoka Makao Makuu jijini Dar es Salaam na Igunga, zinasema ugomvi huo umekuwa ukifukuta polepole na huenda ukalipuka zaidi hapo baadae huku viongozi wa kitaifa wakidaiwa wanafanya mchezo wa "kufunika kombe mwanaharamu apite"
Kukorofishana kwa viongozi wake wa wilaya ya Igunga, na Makao Makuu, kunatokana na kukataliwa kwa sehemu kubwa ya mapendekezo yaliyotolewa na wenyeji huku wageni wakijitawalia mamlaka makubwa ya kuongoza shughuli nzima.
Ugomvi umefika mbali zaidi baada ya CDM Makao Makuu kuendelea kutomuunga mkono mgombea ubunge wa CDM Joseph Kashindye, kwa vile wao walikuwa wakimtaka Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa Taifa, Erasto Tumbo, dakika za mwisho alilazimika kuliondoa jina lake.
Hii picha inaonesha CCM imeibeba CUF.Mkuu hapa ni Zanzibar na hayo magorofa ni yale yanayopigiwa kelele kwa uchakavu. Hiyo picha ni inshara ya Muafaka, hapo sio Igunga Mzee, labda igunga ya kusadikika; muwe mnakuwa smart ya ujinga wenu, kichwa maji...
Siku moja kabla ya kuanza kwa kampeni za uchaguzi mdogo wa kiti cha ubunge jimbo la Igunga mkoani Tabora, viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) tayari wamekorofisha kwa kutuhumiana.
Habari za uhakika zilizopatikana kutoka katika chama hicho na kuthibitishwa na baadhi ya viongozi na maafisa wa ngazi ya juu kutoka Makao Makuu jijini Dar es Salaam na Igunga, zinasema ugomvi huo umekuwa ukifukuta polepole na huenda ukalipuka zaidi hapo baadae huku viongozi wa kitaifa wakidaiwa wanafanya mchezo wa "kufunika kombe mwanaharamu apite"
Kukorofishana kwa viongozi wake wa wilaya ya Igunga, na Makao Makuu, kunatokana na kukataliwa kwa sehemu kubwa ya mapendekezo yaliyotolewa na wenyeji huku wageni wakijitawalia mamlaka makubwa ya kuongoza shughuli nzima.
Ugomvi umefika mbali zaidi baada ya CDM Makao Makuu kuendelea kutomuunga mkono mgombea ubunge wa CDM Joseph Kashindye, kwa vile wao walikuwa wakimtaka Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa Taifa, Erasto Tumbo, dakika za mwisho alilazimika kuliondoa jina lake.
CDM Igunga wanalalamika hawa viongozi wa taifa walileta watu wao wakasimamia shughuli zote kuanzia kuchukuaji wa fomu ndani ya chama chenyewe hadi kwa msimamizi wa Uchaguzi wa serikali na hili kwetu limetukera sana, wametufanya sisi hatuna maana yoyote au ni watoto" amesema kiongozi mwingine wa chama hicho wilayani humoLisemwalo lipo, kama halipo? .......
Siku moja kabla ya kuanza kwa kampeni za uchaguzi mdogo wa kiti cha ubunge jimbo la Igunga mkoani Tabora, viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) tayari wamekorofisha kwa kutuhumiana.
Habari za uhakika zilizopatikana kutoka katika chama hicho na kuthibitishwa na baadhi ya viongozi na maafisa wa ngazi ya juu kutoka Makao Makuu jijini Dar es Salaam na Igunga, zinasema ugomvi huo umekuwa ukifukuta polepole na huenda ukalipuka zaidi hapo baadae huku viongozi wa kitaifa wakidaiwa wanafanya mchezo wa "kufunika kombe mwanaharamu apite"
Kukorofishana kwa viongozi wake wa wilaya ya Igunga, na Makao Makuu, kunatokana na kukataliwa kwa sehemu kubwa ya mapendekezo yaliyotolewa na wenyeji huku wageni wakijitawalia mamlaka makubwa ya kuongoza shughuli nzima.
Ugomvi umefika mbali zaidi baada ya CDM Makao Makuu kuendelea kutomuunga mkono mgombea ubunge wa CDM Joseph Kashindye, kwa vile wao walikuwa wakimtaka Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa Taifa, Erasto Tumbo, dakika za mwisho alilazimika kuliondoa jina lake.
Kwangu posts sio issue, angalia nimejiunga JF, lini na wastani wa posts zangu.
Kuna watu wana miezi mitatu JF, saizi wana posts 5000. ningekuwa kama wewe kila siku nimo humu JF, ningekuwa na posts 20.000. Turudi kwenye hoja ya msingi ebu jaribu na wewe kupiga simu Makao Makuu waulize ni kweli CDM wamekorofishana sawa mkuu wangu!
Habari ya Uhakika haiwezi at the same time ikawa Tetesi
Hapo kwenye red watakuwa:
1. Mwita25
2. Ritz
3. Ngongo
4. Mzee wa Mawe
5. Faiza Fox
6. Mlengo wa kati
7. Ibwe
8. John Marwa
9. Malaria Sugu
10. Mgungamwiba