Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

Status
Not open for further replies.
mamluki mmeanza!
mkipewa taarifa mnasema mamluki, nyinyi kweli ma dikteta.nanai atakupa habari uanzotaka wewe tu kila siku? acha ushamba JF haina lengo la mono vision dominance!
 
Mzushi mkubwa!!!
Mkuu, kama una namba ya simu ya Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa Taifa, Erasto Tumbo, muulize kwa nini alilazimika kuliondoa jina lake dakika za mwisho?
 
mkipewa taarifa mnasema mamluki, nyinyi kweli ma dikteta.nanai atakupa habari uanzotaka wewe tu kila siku? acha ushamba JF haina lengo la mono vision dominance!
Kanyasu, unajua tatizo la Pro-CDM-JF, wao kila siku wanataka habari ya kuisifia CDM tu kila wakati
 
Siku moja kabla ya kuanza kwa kampeni za uchaguzi mdogo wa kiti cha ubunge jimbo la Igunga mkoani Tabora, viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) tayari wamekorofisha kwa kutuhumiana.

Habari za uhakika zilizopatikana kutoka katika chama hicho na kuthibitishwa na baadhi ya viongozi na maafisa wa ngazi ya juu kutoka Makao Makuu jijini Dar es Salaam na Igunga, zinasema ugomvi huo umekuwa ukifukuta polepole na huenda ukalipuka zaidi hapo baadae huku viongozi wa kitaifa wakidaiwa wanafanya mchezo wa "kufunika kombe mwanaharamu apite"

Kukorofishana kwa viongozi wake wa wilaya ya Igunga, na Makao Makuu, kunatokana na kukataliwa kwa sehemu kubwa ya mapendekezo yaliyotolewa na wenyeji huku wageni wakijitawalia mamlaka makubwa ya kuongoza shughuli nzima.

Ugomvi umefika mbali zaidi baada ya CDM Makao Makuu kuendelea kutomuunga mkono mgombea ubunge wa CDM Joseph Kashindye, kwa vile wao walikuwa wakimtaka Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa Taifa, Erasto Tumbo, dakika za mwisho alilazimika kuliondoa jina lake.

hahahahahaaa!!!
kicheche kimeliwa na kuku!!
 
Mkuu hapa ni Zanzibar na hayo magorofa ni yale yanayopigiwa kelele kwa uchakavu. Hiyo picha ni inshara ya Muafaka, hapo sio Igunga Mzee, labda igunga ya kusadikika; muwe mnakuwa smart ya ujinga wenu, kichwa maji...
Hii picha inaonesha CCM imeibeba CUF.
CCM na CUF vinaonekana pia kama ng'ombe mmoja ambaye kichwa ni CCM na kiwiliwili ni CUF.
 
Upuuzi mtupu, picha hii si ya Igunga, ni ya Zanzibar wakati wa kampeni ya uchaguzi 2010. Inaashiria ndoa ya ccm na cuf
 
Ni lazima tuwapongeze sana wana MDEBWEDO kwa kufunikia

Hongereni nyumba ndogo
 
Siku moja kabla ya kuanza kwa kampeni za uchaguzi mdogo wa kiti cha ubunge jimbo la Igunga mkoani Tabora, viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) tayari wamekorofisha kwa kutuhumiana.

Habari za uhakika zilizopatikana kutoka katika chama hicho na kuthibitishwa na baadhi ya viongozi na maafisa wa ngazi ya juu kutoka Makao Makuu jijini Dar es Salaam na Igunga, zinasema ugomvi huo umekuwa ukifukuta polepole na huenda ukalipuka zaidi hapo baadae huku viongozi wa kitaifa wakidaiwa wanafanya mchezo wa "kufunika kombe mwanaharamu apite"

Kukorofishana kwa viongozi wake wa wilaya ya Igunga, na Makao Makuu, kunatokana na kukataliwa kwa sehemu kubwa ya mapendekezo yaliyotolewa na wenyeji huku wageni wakijitawalia mamlaka makubwa ya kuongoza shughuli nzima.

Ugomvi umefika mbali zaidi baada ya CDM Makao Makuu kuendelea kutomuunga mkono mgombea ubunge wa CDM Joseph Kashindye, kwa vile wao walikuwa wakimtaka Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa Taifa, Erasto Tumbo, dakika za mwisho alilazimika kuliondoa jina lake.

Kwani cha ajabu ni kipi?? hata kama ni kweli kutofautiana ni kitu cha kawaida kwa binadamu. Ndio maana hata sura zinatofautiana. Hakuna chama cha siasa katika tanzania chenye nafuu, vyote vimejaa matatizo matupu. Ukiwaona magamba sasa hivi wako kama mkate uliokatwa slices. Ukiwaona cdm humo ndani kuna wengine wamepandikizwa na magamba na hawana hata aibu ya kufanya kazi waliyopewa. Ukifika cuf siku hizi huyu ni mke wa mtu hatusemi kazi yake ni kuwananga wenzake na kutafuta namna ya kumfurahisha mzee. Huko tlp uongozi wa juu ni magamba kwa hiyo unategemea usikie uvundo gani?? na tlp ni ndugu wa damu na nccr mapinduzi hawa ni nyani na ngedere. Fikiria la kwako wewe binafsi la kufanya kama hujafikia kiwango cha kufikiri kwa masaburi.
 
Lisemwalo lipo, kama halipo? .......
CDM Igunga wanalalamika hawa viongozi wa taifa walileta watu wao wakasimamia shughuli zote kuanzia kuchukuaji wa fomu ndani ya chama chenyewe hadi kwa msimamizi wa Uchaguzi wa serikali na hili kwetu limetukera sana, wametufanya sisi hatuna maana yoyote au ni watoto" amesema kiongozi mwingine wa chama hicho wilayani humo
 
Siku moja kabla ya kuanza kwa kampeni za uchaguzi mdogo wa kiti cha ubunge jimbo la Igunga mkoani Tabora, viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) tayari wamekorofisha kwa kutuhumiana.

Habari za uhakika zilizopatikana kutoka katika chama hicho na kuthibitishwa na baadhi ya viongozi na maafisa wa ngazi ya juu kutoka Makao Makuu jijini Dar es Salaam na Igunga, zinasema ugomvi huo umekuwa ukifukuta polepole na huenda ukalipuka zaidi hapo baadae huku viongozi wa kitaifa wakidaiwa wanafanya mchezo wa "kufunika kombe mwanaharamu apite"

Kukorofishana kwa viongozi wake wa wilaya ya Igunga, na Makao Makuu, kunatokana na kukataliwa kwa sehemu kubwa ya mapendekezo yaliyotolewa na wenyeji huku wageni wakijitawalia mamlaka makubwa ya kuongoza shughuli nzima.

Ugomvi umefika mbali zaidi baada ya CDM Makao Makuu kuendelea kutomuunga mkono mgombea ubunge wa CDM Joseph Kashindye, kwa vile wao walikuwa wakimtaka Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa Taifa, Erasto Tumbo, dakika za mwisho alilazimika kuliondoa jina lake.

Habari ya Uhakika haiwezi at the same time ikawa Tetesi
 
Kwangu posts sio issue, angalia nimejiunga JF, lini na wastani wa posts zangu.
Kuna watu wana miezi mitatu JF, saizi wana posts 5000. ningekuwa kama wewe kila siku nimo humu JF, ningekuwa na posts 20.000. Turudi kwenye hoja ya msingi ebu jaribu na wewe kupiga simu Makao Makuu waulize ni kweli CDM wamekorofishana sawa mkuu wangu!

sijui kwa hili mimi nisemeje?
 
Hapo kwenye red watakuwa:
1. Mwita25
2. Ritz
3. Ngongo
4. Mzee wa Mawe
5. Faiza Fox
6. Mlengo wa kati
7. Ibwe
8. John Marwa
9. Malaria Sugu
10. Mgungamwiba

Du, kumbe wenzetu wapo kazini!
 
chadema wameanza kutumia propaganda kupitia magazeti, Leo wanazindua kampeni zao na habari tulizozipata mambo ni magumu sana
 
Gazeti la Rai linalomilikiwa na Rostam Aziz limetoa matokeo ya kura ya maoni iliyofanywa na gazeti hilo huko Igunga.

Kwa mujibu wa taarifa hiyo mgombea wa ccm peter kafumu anatarajiwa kushinda kwa asilimia 44, mgombea wa CHADEMA Joseph Kashindye atakuwa wa pili kwa asilimia 36, mgombea wa CUF Leopold mahona atakuwa wa 3 kwa asilimia 11 huku asilimia 9 kati ya waliohojiwa wakiwa hawajaamua.

Utafiti huo unadai matokeo ya mwisho hayatatofautiana sana na hayo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom